mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
- Thread starter
- #201
Haitokuja kutokea,Tanga ndio mkoa wenye diaspora wengi kuliko mkoa wowote nchini..sijawahi kusikia wananchi wa Tanga wakikabiliwa na njaa, au kuomba msaada serikalini.
Wamezagaa south africa,uarabunu,america na ukaya,kika mara wanatuma hela nyumbani,ni kama zanzibar tu