Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

Kaka Mshana Jr naanza sasa kuamini haya maneno yako. My cousin anaishi Korogwe, wamehudhuria kuaga hapo. Anasema kwamba hii familia walishapata ajali wakiwa wanasafirisha msiba hivyohivyo, wakafariki watu 4 wa familia moja.

Pia wakasema Marehemu, waliemsafirisha alitaka azikwe Dar. Wengine wakasema huenda wanapuuzia kufanya mila. Hayo yanasemwa ila kifo ni fumbo kubwa sana.
hawa jamaa wana ndugu yao anaitwa emmma hapa gerrezani k/koo anaendela kujenga gorofa bila kujali msiba na bar yake haijwafugwa jmn hii hatari
 
Halafu mrema inasemekana aliachana na mkewe miaka 20 iliyopita. Alichukua demu mwingine ndo akaja kuanza nae maisha dasilamu. Inasemekana alisema asizikwe rombo hata akifa azikiwe dasilam watoto wa marehemu wakasema hapana twendeni nyumbani. Sijui kama ni kweli
.sitaki hata kujipa stress mimi
Sasa alisema asizikwe dar wala rombo ,alitaka wamzikie wapi??

Ova
 
hawa jamaa wana ndugu yao anaitwa emmma hapa gerrezani k/koo anaendela kujenga gorofa bila kujali msiba na bar yake haijwafugwa jmn hii hatari
Sisi wenyewe yuko mpishi katika ofisi yetu hajashtuka hata. Na yuko vere. Na hata sijajisumbua kumwuliza aisee. Ila hapo kelamfua kuna migogoro sana kwa kina mrema
 
Mkuu wa mkoa alikuwa wapi mda wote, ilitakiwa awe wa kwanza eneo la tukio
 
Kijiji cha Ubaha. Unashuka posta ya zamani unaelekea shule ya ubaha unafika sehemu panaitwa maviloni. Hapo unaweza uliza ukaelekezwa. .

au unashuka kiboro unapanda mpaka ukute njia panda then hapo unauliza. .
Ukweni kwangu kabisa....poleni sana
 
Ajali ile ni masuala ya kimila zaidi katoto kalikopona ni mtot wa shemeji yangu, ila ye alikuwapo gari ya nyuma ndo pona yake mtoto alikutwa chini ya siti ajakwaruzika hata kidogo,. Marehemu alitowa wosia. Asizikwe Rombo ila wakakaid ndio matokeo yake ila ni kwamba aliepewa ayo maagizo hakusema ndo shida ilipoanzia,
Mila za uchagani bana huwaga hazikwepeshi, pamoja na kutolewa gari jingine marehemu amalizie safari gari ligawagomea pia tair zikachomoka,

Walichokifanya walipakia lile jeneza miguu ikaelekea moshi kichwa dar wakaitamkia maneno kwamba tunakurudisha kukuzika dar ukapumzike ndo safari ikawa simple na wakamzika uko rombo,

Katk hizi ajali kuna mengi uzembe wa dereva ni asilimia chache sana
 
Back
Top Bottom