Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

Rudia tena kwa herufi kubwa.
Mzee bila njia za highway kuwekwa kwa mfumo kama wa Ubungo-Mbezi ajali zitaendelea kuua sana kwa head on head collisions. Hii ndio solution.

Njia nyembamba watu wanafosi ku overtake kishenzi. It killed innocent souls. Huyo dereva wa Fuso atakuwa alikuwa anatanua kwenye down asijue kuna mtu anakuja upande wa pili huko.
 
Barabara zetu ni nyembamba

Barabara zetu ni giza

Barabara zetu zina viraka au mashimo

Magari mengi ya mizigo hayana Taa nzuri

Magari mengi ya mizigo huendeshwa na watu wasiojali gari au watumiaji wengine wa barabara

Madereva wengi wa magari (Binafsi, Mizigo, Umma) wanaendeshwa kwa mazoea.

Madereva wengi wa Coaster hutumia vilevi
Yote ni hakika ila suluhu ni highway ijengwe kama Ubungo-Mbezi. Ajali zitapungua by 80%
 
Hizi ndo sababu za ajali nyingi Kwa Tanzania na Africa Kwa ujumla , magar yanaongezeka kila sku miundombinu Ile Ile ,
Sio magari kuongezeka mkuu halafu huko highway wala magari si mengi kama mjini hapa. Shida ni barabara zetu zilivyo ndio zinapelekea ajali. Huwezi kumchunga dereva kwa kujaza askari barabarani.

Utamchunga mchana ila usiku utamchunga vipi? Ajali zetu nyingi ni sababu ya miundo mbinu mibovu na finyu. Solution ni kuweka barabara walau 4 lanes zenye separating blocks katikati kama ilivyo ubungo mbezi au Tanzanite bridge . Overtaking za kijinga zimeua kwenye blind spots watu wengi sana na zitaendelea kuua. Ni very rare kumgonga mtu wa mbele yako kwa nyuma.
 
Yanni hawa ni wa kuwakemea mno, wamewaibia hadi waliokuwa kwenye coaster ya pili waliokuwa wanatoa msaada kwa majeruhi, simu na fedha, hakii nimeumia mno sijui wana roho za namna gani aarghhhh

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Ndomana ikitokea ajali kama hiyo vyombo vya ulinzi na uokoaji zinatakiwa kufika haraka sana eneo la tukio

Ova
 
Kuendesha gari kwa uangalifu, makini na kufuata sheria za baravarani siyo kwausalama wako tu bali pia kwa usalama wa wengine wanaotumia barabara.

Inahuzinisha maisha kupotea kea uzembe na uchoyo.

Mungu awarehemu
Kwahizi barabara zetu hata ukiwa makini kufa ni chap.

Hivi unazijua zile up-down za ubena zomozi?
Hebu chukulia unatoka Moro umeiva unachochea ili ushuke na upande kilima chap. Kumbe kuna mtu ametokea Chalinze nae anachochea ashuke apande ila upande alioko kuna malori yanaenda slow anaamua kuyakata so anachochea mwendo ili akifika mwisho mlimani awe kasharudi upande wake. Kabla hajaumaliza mlima wewe shwaa unatokezea ghafla unaanza down tena unafikiri kitakachowakuta nini?

Atakaemlamu mwenzie ni nani maana wewe uko site yako. Yeye kakuingilia.
 
Huu msafara wa Msiba nilikutana nao Jana Saa 9.05 alasiri pale Madale Kituo Cha Polisi,Kulikuwa na Coaster mbili zimeongozana,hii coaster iliyobeba mwili wa marehemu ilikuwa mbele na nyingine ikifuata nyuma!!,Kiufupi hizi Coaster zilikuwa Spidi Sana!!,
Coaster lazma iwe speed, usicheze na 1HD-T Cable 🤣🤣🤣
 
Coaster iliyokuwa imebeba mwili wa marehemu na abiria 26 Ikitokea Dar es Salaam Kuelekea Moshi Kilimanjaro kwa ajili ya mazishi.[emoji848][emoji2827]
Marehemu hakuwa tayari kusafirishwa? Ama kuna mtu hakupenda awepo kwenye msafara?
Hapa unamaanisha nini , sijakuelewa. Marehemu hakuwa tayari kusafirishwa au hakupenda mtu awepo ?
 
Mzee bila njia za highway kuwekwa kwa mfumo kama wa Ubungo-Mbezi ajali zitaendelea kuua sana kwa head on head collisions. Hii ndio solution.

Njia nyembamba watu wanafosi ku overtake kishenzi. It killed innocent souls. Huyo dereva wa Fuso atakuwa alikuwa anatanua kwenye down asijue kuna mtu anakuja upande wa pili huko.
Kwa taarifa Coaster ndio iliovateki. Watu wazembe hata uwawekee dual carriageway wataua tu.
 
Kaka sidhani kama ndivyo..ni uzembe tu wa madereva..Sisi wenyewe tuliwahi koswa na fuso mwaka Jana mwezi wa sita MITA kama hiyo tulikuwa tunamsafirisha mwili..pona yetu dereva wetu alikuwa yuko smart na anawafahamu vizuri madereva wa fuso..baada ya kuukwepa huo mtego nilimuuliza alijuaje..
Akaniambia hawa madereva wa fuso wanatakiwa fika sokoni kabla ya saa 11 asubuhi Ili mzigo uuzike..so usiku lazima wakimbie Sana..aliwaona wakiwa wa nafukuzana..wa nyuma alitaka kuovertake hapo maeneo ya korogwe ..kutuona akarudi site yake..ila dereva akasema huyo amerudi tu kwa mshtuko ila najua Hana breki za kumzuia kumvaa wa mbele yake alikuwa yuko kibati..so hatakuwa na jinsi Zaid ya kutoka tena liwalo na liwe..maana ni either amvae mwenzake au atoke upambane nae .ndio maana nikaamua punguza mwendo na kukaa pembeni..Na kweli ndicho kilichotokea.ina maana dereva angejisahau baada ya kumuona amerudi site yake..yangetukuta.
Rai kwa wanaoendesha usiku..jamani kuweni makini sana
Dereva wenu alijiongeza ila pia mshukuru mlikuwa hata na sehemu ya kubana. Maana sisi kuna siku gari ilipasuliwa kioo cha nyuma na taa.

Kuna Canter ilikuwa inakuja wangu wangu nyuma yetu kumbe breki zake ziko mbali. Mbele yetu tunaianza down kukawa na Fuso inaovertake mwenzie mlimani dereva wetu akanyunyuzia breki kusudi jamaa wa fuso amalize arudi site yake nyuma yetu huyo boya wa canter kaja katuvagaa kidogo atusukumie kwenye ngema ya mlima pemben halafu kulikuwa na mtaro ina maana gari ingeingia mtaroni ingelalia kwenye ngema pembeni, dereva alijiongeza akaongeza mafuta chap gari ikarudi kati kisha akasimama mbele kidogo.
 
Mz
Kuanzia wami kwenda mbele
Vijiji vingi wanaishi wezi tu hapo
Kuna wezi wanaiba magari ya mafuta,magari ya mizigo,mataili nk
Hiyo njia haifai kabisa.

Ova
Ee umewasagia kunguni sana
 
Back
Top Bottom