Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

[emoji23][emoji23][emoji23] dah, wako makini mno na kazi yao aiseee. Nawakubali. Inawezekana kbs ni vibaka hawa. Na kweli mtu na akili timamu itaishi vipi mitaa ile[emoji23][emoji23]
Nawajuwa watu kama wawili wanaishi huko,kuna wakati nlipita huko nkaenda wasabai nkawabana
Hku mnafanya mishe gani mnalima,mnafuga wako ahaa
Nkajuwa ah watu wa michezo wanaiba magari mizigo,bidhaa nk
Kuna vijiji ndani huko hakuna madem madume tupu na wote weziii tu
Ukienda sehemu zao unakuta wana masukari, mataili ya magari mapya,betri za magari magodoro
Yaani vurugu tupu huko [emoji1]
Alafu wana style usiku wana mwagq mafuta ya kula barabarani gari zikipita
Zitereze [emoji1]
Siku itokee polisi wapige operation huko utaona wakatavyo kutana na mambo [emoji1]
Huko ukienda sukari unaweza uziwa hata kg1 1000 [emoji1]

Inshort hapafai na jamaa wale makatili kweli ujue

Ova
 
Hivi uislam hautakiwi,kusafirisha maiti

Nimeuliza tu

Ova
Yes si katika mafundisho yetu labda kupatikane sababu yenye nguvu sana kupelekea hilo ila asili ni haramu kabisa, ardhi ni ileile mtu azikwe alipofia hakuna haja ya kugharamika na kuzidisha huzuni kwa wafiwa kwa kule kuwa wanamuona ndugu yao au wanajua yuko mortuary anasubiri wao wakamilishe taratibu za safari na mambo mengine, hili ni jambo baya sana.
 
Ufinyu wa bara bara pia , hzi highways better zikawa angalau 4 lanes
Chini ya ccm ni uwongo wao wapo salama ninyi wengine mtajua wenyewe!

Kama hivi watu watakufa mkuu wa mkoa sijui kamanda wa polisi watatoa taarifa tutasahau ikitokea ajali imemuuwa mwenzao DED mkuu wa wilaya au mkuu wa mkoa wataenda kuweka matuta sehemu husika madai yao wanapunguza ajali hawaangalii kama chanzo ni wembamba wa barabara au vinginevyo (refer ajali iliyouwa yule mama DED huko Tabora last year)
 
Nawajuwa watu kama wawili wanaishi huko,kuna wakati nlipita huko nkaenda wasabai nkawabana
Hku mnafanya mishe gani mnalima,mnafuga wako ahaa
Nkajuwa ah watu wa michezo wanaiba magari mizigo,bidhaa nk
Kuna vijiji ndani huko hakuna madem madume tupu na wote weziii tu
Ukienda sehemu zao unakuta wana masukari, mataili ya magari mapya,betri za magari magodoro
Yaani vurugu tupu huko [emoji1]
Alafu wana style usiku wana mwagq mafuta ya kula barabarani gari zikipita
Zitereze [emoji1]
Siku itokee polisi wapige operation huko utaona wakatavyo kutana na mambo [emoji1]
Huko ukienda sukari unaweza uziwa hata kg1 1000 [emoji1]

Inshort hapafai na jamaa wale makatili kweli ujue

Ova
Hahahahaha uwuuuui. Umeniuaaa. Wanamwaga kbs mafuta? Hawa ni ajira yao hii aisee. Aisee wasambaa wezi
Hawa watani zetu kumbe wa hovyo hivi? Hahahaha nafwaaaa
 
Chini ya ccm ni uwongo wao wapo salama ninyi wengine mtajua wenyewe!

Kama hivi watu watakufa mkuu wa mkoa sijui kamanda wa polisi watatoa taarifa tutasahau ikitokea ajali imemuuwa mwenzao DED mkuu wa wilaya au mkuu wa mkoa wataenda kuweka matuta sehemu ya husika madai yao wanapunguza ajali hawaangalii kama chanzo ni wembamba wa barabara au vinginevyo (refer ajali iliyouwa yule mama DED huko Tabora last year)
Chama gani kinaweza.?
 
Chama gani kinaweza.?
Chochote kile muhimu kiongozi mkuu wa nchi kupitia chama husika ajue anasimamia watu wa aina gani na awathibiti vipi ktk utendaji wao hata CWT kile mwenyekiti wake alichaguliwa u-DC akagoma kinaweza.

Uongozi wa nchi ni kama mtu anavyosimamia nyumba yake mfano baba ndani ya nyumba akiruhusu mlinzi alale sebuleni huku yeye akikesha bar ajiandae baadae kulea mtoto wa mlinzi hivyo hivyo kiongozi wa nchi akiacha kila mteuliwa afanye anavyotaka yeye mwisho watanajisi rasilimali za taifa ila akiyajua majukumu yake usimamizi mzuri wa hazina ya taifa kila aliyepangiwa kazi anaifanya inavyotakiwa asiyeweza anawekwa pembeni hizi issue za barabara kuwa nyembamba maji kukosekana au umeme kukatika mara kwa mara zisingekuwepo.
 
Rais amesema wanagharamia msiba. Watu wameeaibia wafiwa eneo la ajali. Binadamu sisi ni wakatili sana
Nimesikia hizi habari nimeumia sana, hivi mtu unapata wapi ujasiri ktk tukio la namna hii unaiba, hata hofu ya kifo haikuingii unawaza kuiba. Mungu anawaona, tabia chafu sana na ya kukemewa

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Kaka sidhani kama ndivyo..ni uzembe tu wa madereva..Sisi wenyewe tuliwahi koswa na fuso mwaka Jana mwezi wa sita MITA kama hiyo tulikuwa tunamsafirisha mwili..pona yetu dereva wetu alikuwa yuko smart na anawafahamu vizuri madereva wa fuso..baada ya kuukwepa huo mtego nilimuuliza alijuaje..
Akaniambia hawa madereva wa fuso wanatakiwa fika sokoni kabla ya saa 11 asubuhi Ili mzigo uuzike..so usiku lazima wakimbie Sana..aliwaona wakiwa wa nafukuzana..wa nyuma alitaka kuovertake hapo maeneo ya korogwe ..kutuona akarudi site yake..ila dereva akasema huyo amerudi tu kwa mshtuko ila najua Hana breki za kumzuia kumvaa wa mbele yake alikuwa yuko kibati..so hatakuwa na jinsi Zaid ya kutoka tena liwalo na liwe..maana ni either amvae mwenzake au atoke upambane nae .ndio maana nikaamua punguza mwendo na kukaa pembeni..Na kweli ndicho kilichotokea.ina maana dereva angejisahau baada ya kumuona amerudi site yake..yangetukuta.
Rai kwa wanaoendesha usiku..jamani kuweni makini sana
Maroli si yamezuiwa kuendesha usiku
 
Narudia tena Tanzania ni miongoni mwa nchi hatarishi uwapo barabarani.
Ajali za namna hii zinaakisi akili za watu wetu kwamba sisi ni taifa la wajinga wengi.

Siku moja, nimepewa lift na ndugu yangu mtu mwenye elimu yake na kazi nzuri, lakini namna alivyokua anaendesha ovyo barabarani nikasema huyu lazima apate ajali. Wamenishusha zangu Moro, wao wakielekea Dodoma, baadaye napata taarifa wamekula mzinga gari haifai, yeye na mkewe wameumia vibaya.
Jamaa alikuwa ana overtake kipuuzi bila shaka
 
Back
Top Bottom