Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

Tanga, Korogwe: Ajali yaua 17 na kujeruhi 12

Marehemu kaondoka na watoto wake dah ni hatari sana
Yaan leo rombo ni kilio. Natamani kuupload videos. Kuna waliofanyiwa ibada huruma hospital again saa tano wengine wakafanyiwa ibada parolia ya mrakatifu katarina wa sienna mkuu rombo. Kuna wengi watazikwa kesho. Ni huzuni sana. Wa mashati ndo watazikwa kesho. Leo ni hapo mkuu[emoji24][emoji24]
 
[emoji26]
Screenshot_20230206-135740_WhatsApp.jpg
 
Yaan leo rombo ni kilio. Natamani kuupload videos. Kuna waliofanyiwa ibada huruma hospital again saa tano wengine wakafanyiwa ibada parolia ya mrakatifu katarina wa sienna mkuu rombo. Kuna wengi watazikwa kesho. Ni huzuni sana. Wa mashati ndo watazikwa kesho. Leo ni hapo mkuu[emoji24][emoji24]
Poleni sana jmn
 
Hawa ni wengine parokiani kwetu Mkuu rombo Mt. Katarina wa Sienna[emoji24][emoji24] nashangaa sioni updates kwa vyombo vya habari
 
Hizi huwa si ajali za kawaida

Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
Jana wakati wanashusha majeneza, jeneza la yule mzee aliyefariki awali lilibaki la mwisho kushushwa, na hiyo ni baada ya damu kuchuruzika kiasi kwamba mlangoni mwa gari palitapakaa damu, ikabidi viongozi wa kiroho waitwe!
Hii kitaalam mkuu imekaaje..?!
 
Hizi huwa si ajali za kawaida

Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
Kaka Mshana Jr naanza sasa kuamini haya maneno yako. My cousin anaishi Korogwe, wamehudhuria kuaga hapo. Anasema kwamba hii familia walishapata ajali wakiwa wanasafirisha msiba hivyohivyo, wakafariki watu 4 wa familia moja.

Pia wakasema Marehemu, waliemsafirisha alitaka azikwe Dar. Wengine wakasema huenda wanapuuzia kufanya mila. Hayo yanasemwa ila kifo ni fumbo kubwa sana.
 
Jana wakati wanashusha majeneza, jeneza la yule mzee aliyefariki awali lilibaki la mwisho kushushwa, na hiyo ni baada ya damu kuchuruzika kiasi kwamba mlangoni mwa gari palitapakaa damu, ikabidi viongozi wa kiroho waitwe!
Hii kitaalam mkuu imekaaje..?!
Halafu mrema inasemekana aliachana na mkewe miaka 20 iliyopita. Alichukua demu mwingine ndo akaja kuanza nae maisha dasilamu. Inasemekana alisema asizikwe rombo hata akifa azikiwe dasilam watoto wa marehemu wakasema hapana twendeni nyumbani. Sijui kama ni kweli
.sitaki hata kujipa stress mimi
 
Kaka Mshana Jr naanza sasa kuamini haya maneno yako. My cousin anaishi Korogwe, wamehudhuria kuaga hapo. Anasema kwamba hii familia walishapata ajali wakiwa wanasafirisha msiba hivyohivyo, wakafariki watu 4 wa familia moja.

Pia wakasema Marehemu, waliemsafirisha alitaka azikwe Dar. Wengine wakasema huenda wanapuuzia kufanya mila. Hayo yanasemwa ila kifo ni fumbo kubwa sana.
Hata siyo mambo ya mila hawa ndugu zetu wa nyumbani wanakuaga wa hovyo sana na limbukeni wa mapenzi hasa wakishakujaga dar. Wanakua wahuni mno. Yawezekana mke ana mapungufu yake ila wanaume wa kichagga wa hovyo sana baba zangu.
 
Halafu mrema inasemekana aliachana na mkewe miaka 20 iliyopita. Alichukua demu mwingine ndo akaja kuanza nae maisha dasilamu. Inasemekana alisema asizikwe rombo hata akifa azikiwe dasilam watoto wa marehemu wakasema hapana twendeni nyumbani. Sijui kama ni kweli
.sitaki hata kujipa stress mimi
Dah noma kweli
 
Hata siyo mambo ya mila hawa ndugu zetu wa nyumbani wanakuaga wa hovyo sana na limbukeni wa mapenzi hasa wakishakujaga dar. Wanakua wahuni mno. Yawezekana mke ana mapungufu yake ila wanaume wa kichagga wa hovyo sana baba zangu.
Mapenzi hayana fundi kmmmk walai.
 
Halafu mrema inasemekana aliachana na mkewe miaka 20 iliyopita. Alichukua demu mwingine ndo akaja kuanza nae maisha dasilamu. Inasemekana alisema asizikwe rombo hata akifa azikiwe dasilam watoto wa marehemu wakasema hapana twendeni nyumbani. Sijui kama ni kweli
.sitaki hata kujipa stress mimi
Inasemekana hivyo, na Hilo laweza kuwa la kweli!
Huh msiba una mazito mengi!
Kumbe hata yule kijana waliyesema mwanzoni ni mwanae ambaye walifariki wote, si moto wake huyo mzee! Wamezikwa maeneo tofauti daah...
Maisha yetu yamejaa Siri nyingi, siku zikiamua kufumuka aiseeh....!
 
Inasemekana hivyo, na Hilo laweza kuwa la kweli!
Huh msiba una mazito mengi!
Kumbe hata yule kijana waliyesema mwanzoni ni mwanae ambaye walifariki wote, si moto wake huyo mzee! Wamezikwa maeneo tofauti daah...
Maisha yetu yamejaa Siri nyingi, siku zikiamua kufumuka aiseeh....!
Weeee, uchaggani kuna siri za watoto we acha tu[emoji23][emoji23] mbona kawaida sana kupeana watoto huko
 
Back
Top Bottom