hawa jamaa wana ndugu yao anaitwa emmma hapa gerrezani k/koo anaendela kujenga gorofa bila kujali msiba na bar yake haijwafugwa jmn hii hatariKaka Mshana Jr naanza sasa kuamini haya maneno yako. My cousin anaishi Korogwe, wamehudhuria kuaga hapo. Anasema kwamba hii familia walishapata ajali wakiwa wanasafirisha msiba hivyohivyo, wakafariki watu 4 wa familia moja.
Pia wakasema Marehemu, waliemsafirisha alitaka azikwe Dar. Wengine wakasema huenda wanapuuzia kufanya mila. Hayo yanasemwa ila kifo ni fumbo kubwa sana.
Kumbe mnayajua haya mpo kimya,hapo bar itajaa wateja kama wotehawa jamaa wana ndugu yao anaitwa emmma hapa gerrezani k/koo anaendela kujenga gorofa bila kujali msiba na bar yake haijwafugwa jmn hii hatari
Poleni,media zetu wanaonesha makata mauno tuHawa ni wengine parokiani kwetu Mkuu rombo Mt. Katarina wa Sienna[emoji24][emoji24] nashangaa sioni updates kwa vyombo vya habariView attachment 2508397
Sasa alisema asizikwe dar wala rombo ,alitaka wamzikie wapi??Halafu mrema inasemekana aliachana na mkewe miaka 20 iliyopita. Alichukua demu mwingine ndo akaja kuanza nae maisha dasilamu. Inasemekana alisema asizikwe rombo hata akifa azikiwe dasilam watoto wa marehemu wakasema hapana twendeni nyumbani. Sijui kama ni kweli
.sitaki hata kujipa stress mimi
Sisi wenyewe yuko mpishi katika ofisi yetu hajashtuka hata. Na yuko vere. Na hata sijajisumbua kumwuliza aisee. Ila hapo kelamfua kuna migogoro sana kwa kina mremahawa jamaa wana ndugu yao anaitwa emmma hapa gerrezani k/koo anaendela kujenga gorofa bila kujali msiba na bar yake haijwafugwa jmn hii hatari
Hahaha nilikuja ona kwa millard baadae sana. Yaan tukio kubwa vile wakaliacha lipite? Hatari sanaPoleni,media zetu wanaonesha makata mauno tu
Ova
Alitaka dar. Aendelee kula mishikaki[emoji23][emoji23][emoji119]Sasa alisema asizikwe dar wala rombo ,alitaka wamzikie wapi??
Ova
Ukweni kwangu kabisa....poleni sanaKijiji cha Ubaha. Unashuka posta ya zamani unaelekea shule ya ubaha unafika sehemu panaitwa maviloni. Hapo unaweza uliza ukaelekezwa. .
au unashuka kiboro unapanda mpaka ukute njia panda then hapo unauliza. .
Daaah...mkuu tuache kwanza hatutaki kuchekaPole sana mkuu, hii "RAHA YA MILLENNIUM" ndio Raha gani?
Usicheke msibani mkuuDaaah...mkuu tuache kwanza hatutaki kucheka
Jimbo la Naibu Waziri wa mambo ya NdaniBasi lapata ajali Butiama, 20 wakimbizwa hospitali
Mkuu wa wilaya ya Butiama (DC), Moses Kaegele amesema hadi sasa hakuna vifo ingawa kuna majeruhi ambao wamekimbizwa katika hospitali ya Wilaya ya Bunda kwa matibabu zaidi.www.mwananchi.co.tz