Tanga: Milioni 21 waliyoiomba Wazee kwa ajili ya Tambiko yakwamisha Ujenzi wa Barabara

Wote tugawane keki ya taifa kila inapopatikana fursa
 
LOoooh, maskini wazee hawajui kitu.

Yaani wamekaa chini na kuona milioni 21 ndiyo hela inayoendana na kazi hiyo muhimu? Kwa nini hawakuifanya iwe 21 bilioni angalawa!

Hivi hawa wazee wanajua jinsi serikali inavyochezea hela za wananchi!

Kwanza wajiulize tu, shughuli zingine za aina hiyo, kama zile za futari na nyakati za Kristmas, ni fedha kiasi gani hutumika huko!
Hawa wazee wanakosa uongozi wa kuwapanua mawazo waendane na hali halisi ya sasa. Bado hawa wazee wanaishi kwenye enzi za Mwalimu Nyerere.
 
Ndio maana kuna wakati tunasema hakuna demokrasia kwa mpumbavu, ona sasa watu wanakosa barabara eti kisa tambiko na mizimu..
Huku ni kukosa akili kwa upande wako, halafu unaona wengine ndio hawana akili.
Kuna kitu gani hapa cha kubeza, hilo tambiko?
Mbona hujahoji matumizi makubwa ya mali za wananchi kwenye shughuli za aina hiyo zinazohusu tamaduni za wazungu au waarabu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…