Tanga Pazuri Sana Sema Sijui kwa Nini Pako Vile

Tanga Pazuri Sana Sema Sijui kwa Nini Pako Vile

Mji
Salaam wote:

Tanga ni moja ya mikoa mizuri sana kuliko hata Arusha na Kilimanjaro iliyopo jirani na Tanga yenyewe. Nazungumzia hali ya hewa na mazingira masafi, Tanga wapenda usafi, nikisema Pazuri naamanisha Mazingira.

Watu wa kutokea Tanga ni wakarimu na wastaarabu kwani wengi wao ni waislamu na wanastaha sana.

Uzuri wa watu wa Tanga wanaishi vizuri sana amani tele vitendo vya mauaji ni nadra sana hii ni kwa jamii ya walio pale mjini, vile vile hata wa vijijini wapo vizuri kuliko hata mjini, hivyo huishi vizuri.

Watu wa Tanga ni wastaarabu na wameridhika, licha ya yote wengi wanaotoka Tanga kwenda dar es salaam wakirudi makwao Tanga hubadilika hivyo kuchukiza wenzao walio salia Tanga huja na tabia za ajabu ajabu kama wizi, ushoga, na ulevi wa pombe na madawa ya kulevya.

Tanga vyombo vya usafiri huendeshwa kistaarabu tofauti na mikoa mingine, ajali huwa ni nadra pia, madereva wa tanga wako makini.

Watu wa Tanga wanaotii dini sio watu wakupenda dhuluma kabisa.

Tanga pia kuna wakiristo wastaarabu sana na wapole sana, nilifurahi kusali kanisa la chumba geni pale Tanga, na kule sahare pia parokia ya Mashahidi wa Uganda kama sikukosea.

Mapishi ya Tanga hayaja wahi kuboa abadani, msosi wali nazi, wali nazi kweli, msosi samaki nazi samaki nazi kweli....

Kwenye swala la kuoa Tanga wacha kabisa watoto wamejaaliwa mashallah! yaani wafungishwa ndoa ya mkeka unapewa mwana kwa masharti ya kuishi naye kimaadili ya dini.

Mpaka sasa Tanzania nzima hakuna sehemu penye wanawake walio wazidi wanawake wa Tanga. Hii research nina uhakika nayo 100%% wanawake wa kitanga sifa ziende kwao, maua yao tuwape 😍😍😍🤩🤩

With All That bado Tanga pako na kasumba hizi ambazo zinafanya pawe pachungu kama shubiri.

1. Maendeleo Tanga hakuna. Ushirikishwaji wa chachu za kuindeleza tanga hakuna wadau hata wa nje ya tanga.

2. Watu wa Tanga wana kauvivu fulani cha kutokuwajibika kupambana na changamoto ndogo ndogo, mfano sio watu wa kupenda kufanya vitu vikubwa kama ujenzi, au kuwa na utegemezi yaani familia kubwa yakaa pamoja na mtegemezi ni mmoja au wawili kwa watu 8 au 10 ambao ni watu wazima.

3. Tanga ni wabinafsi kiasi kwa wageni yaani hupenda kujitenga hivyo hakuna mchanganyiko wa biashara wala muingiliano wa watu.

4. Tanga kwenye biashara ni 0% hawajui kuuza wala hawana bidii na mteja ni wakarimu kwa wenyewe lakini kwa mteja si wakarimu.

Nimetoka tanga 2017 pakiwa pako na hali hiyo ninayo sema ila kwa sasa sijui.
Hivi ni kwan nini Tanga pazuri vile ila pako na dosari ile.....????

Tanga wanaanza weekend ijumaa....alafu kuamka kwa mishe mishe kitaa ni saa 5 asubuhi na kufunga maduka yao ni saa 10 jioni isipokuwa barabara ya 9 pale na 10 ndiyo kidogo kuna biashara.

Ukiwahi kuamka Tanga hukuti duka lilo wazi yaani saa mbili kamili asubuhi maduka yamefungwa 😁😁😁

Nilisahahu kuwa Tanga mjini hapo machizi ni wengi sana....lakini mapaka kama yote. Nyau nyingi.
MJi wa starehe ule na kudaka watoto wazuri sio mji wa utafutaji
 
Ogopa sana mkoa ambao mchaga aliukimbia, enzi hizo makabila mageni yalipofika Tanga kuwekeza wenyeji waliwapa ardhi zenye mazindiko ya ajabu muda wa mavuno ukifika mnaumwa kufa
 
Salaam wote:

Tanga ni moja ya mikoa mizuri sana kuliko hata Arusha na Kilimanjaro iliyopo jirani na Tanga yenyewe. Nazungumzia hali ya hewa na mazingira masafi, Tanga wapenda usafi, nikisema Pazuri naamanisha Mazingira.

Watu wa kutokea Tanga ni wakarimu na wastaarabu kwani wengi wao ni waislamu na wanastaha sana.

Uzuri wa watu wa Tanga wanaishi vizuri sana amani tele vitendo vya mauaji ni nadra sana hii ni kwa jamii ya walio pale mjini, vile vile hata wa vijijini wapo vizuri kuliko hata mjini, hivyo huishi vizuri.

Watu wa Tanga ni wastaarabu na wameridhika, licha ya yote wengi wanaotoka Tanga kwenda dar es salaam wakirudi makwao Tanga hubadilika hivyo kuchukiza wenzao walio salia Tanga huja na tabia za ajabu ajabu kama wizi, ushoga, na ulevi wa pombe na madawa ya kulevya.

Tanga vyombo vya usafiri huendeshwa kistaarabu tofauti na mikoa mingine, ajali huwa ni nadra pia, madereva wa tanga wako makini.

Watu wa Tanga wanaotii dini sio watu wakupenda dhuluma kabisa.

Tanga pia kuna wakiristo wastaarabu sana na wapole sana, nilifurahi kusali kanisa la chumba geni pale Tanga, na kule sahare pia parokia ya Mashahidi wa Uganda kama sikukosea.

Mapishi ya Tanga hayaja wahi kuboa abadani, msosi wali nazi, wali nazi kweli, msosi samaki nazi samaki nazi kweli....

Kwenye swala la kuoa Tanga wacha kabisa watoto wamejaaliwa mashallah! yaani wafungishwa ndoa ya mkeka unapewa mwana kwa masharti ya kuishi naye kimaadili ya dini.

Mpaka sasa Tanzania nzima hakuna sehemu penye wanawake walio wazidi wanawake wa Tanga. Hii research nina uhakika nayo 100%% wanawake wa kitanga sifa ziende kwao, maua yao tuwape [emoji7][emoji7][emoji7][emoji2956][emoji2956]

With All That bado Tanga pako na kasumba hizi ambazo zinafanya pawe pachungu kama shubiri.

1. Maendeleo Tanga hakuna. Ushirikishwaji wa chachu za kuindeleza tanga hakuna wadau hata wa nje ya tanga.

2. Watu wa Tanga wana kauvivu fulani cha kutokuwajibika kupambana na changamoto ndogo ndogo, mfano sio watu wa kupenda kufanya vitu vikubwa kama ujenzi, au kuwa na utegemezi yaani familia kubwa yakaa pamoja na mtegemezi ni mmoja au wawili kwa watu 8 au 10 ambao ni watu wazima.

3. Tanga ni wabinafsi kiasi kwa wageni yaani hupenda kujitenga hivyo hakuna mchanganyiko wa biashara wala muingiliano wa watu.

4. Tanga kwenye biashara ni 0% hawajui kuuza wala hawana bidii na mteja ni wakarimu kwa wenyewe lakini kwa mteja si wakarimu.

Nimetoka tanga 2017 pakiwa pako na hali hiyo ninayo sema ila kwa sasa sijui.
Hivi ni kwan nini Tanga pazuri vile ila pako na dosari ile.....????

Tanga wanaanza weekend ijumaa....alafu kuamka kwa mishe mishe kitaa ni saa 5 asubuhi na kufunga maduka yao ni saa 10 jioni isipokuwa barabara ya 9 pale na 10 ndiyo kidogo kuna biashara.

Ukiwahi kuamka Tanga hukuti duka lilo wazi yaani saa mbili kamili asubuhi maduka yamefungwa [emoji16][emoji16][emoji16]

Nilisahahu kuwa Tanga mjini hapo machizi ni wengi sana....lakini mapaka kama yote. Nyau nyingi.
Siasa za chuki na ubaguzi ndio zimeiua tanga ila tanga ni moja ya mikoa yenye rasisilima na fursa nyingi za biashara.
 
Salaam wote:

Tanga ni moja ya mikoa mizuri sana kuliko hata Arusha na Kilimanjaro iliyopo jirani na Tanga yenyewe. Nazungumzia hali ya hewa na mazingira masafi, Tanga wapenda usafi, nikisema Pazuri naamanisha Mazingira.

Watu wa kutokea Tanga ni wakarimu na wastaarabu kwani wengi wao ni waislamu na wanastaha sana.

Uzuri wa watu wa Tanga wanaishi vizuri sana amani tele vitendo vya mauaji ni nadra sana hii ni kwa jamii ya walio pale mjini, vile vile hata wa vijijini wapo vizuri kuliko hata mjini, hivyo huishi vizuri.

Watu wa Tanga ni wastaarabu na wameridhika, licha ya yote wengi wanaotoka Tanga kwenda dar es salaam wakirudi makwao Tanga hubadilika hivyo kuchukiza wenzao walio salia Tanga huja na tabia za ajabu ajabu kama wizi, ushoga, na ulevi wa pombe na madawa ya kulevya.

Tanga vyombo vya usafiri huendeshwa kistaarabu tofauti na mikoa mingine, ajali huwa ni nadra pia, madereva wa tanga wako makini.

Watu wa Tanga wanaotii dini sio watu wakupenda dhuluma kabisa.

Tanga pia kuna wakiristo wastaarabu sana na wapole sana, nilifurahi kusali kanisa la chumba geni pale Tanga, na kule sahare pia parokia ya Mashahidi wa Uganda kama sikukosea.

Mapishi ya Tanga hayaja wahi kuboa abadani, msosi wali nazi, wali nazi kweli, msosi samaki nazi samaki nazi kweli....

Kwenye swala la kuoa Tanga wacha kabisa watoto wamejaaliwa mashallah! yaani wafungishwa ndoa ya mkeka unapewa mwana kwa masharti ya kuishi naye kimaadili ya dini.

Mpaka sasa Tanzania nzima hakuna sehemu penye wanawake walio wazidi wanawake wa Tanga. Hii research nina uhakika nayo 100%% wanawake wa kitanga sifa ziende kwao, maua yao tuwape 😍😍😍🤩🤩

With All That bado Tanga pako na kasumba hizi ambazo zinafanya pawe pachungu kama shubiri.

1. Maendeleo Tanga hakuna. Ushirikishwaji wa chachu za kuindeleza tanga hakuna wadau hata wa nje ya tanga.

2. Watu wa Tanga wana kauvivu fulani cha kutokuwajibika kupambana na changamoto ndogo ndogo, mfano sio watu wa kupenda kufanya vitu vikubwa kama ujenzi, au kuwa na utegemezi yaani familia kubwa yakaa pamoja na mtegemezi ni mmoja au wawili kwa watu 8 au 10 ambao ni watu wazima.

3. Tanga ni wabinafsi kiasi kwa wageni yaani hupenda kujitenga hivyo hakuna mchanganyiko wa biashara wala muingiliano wa watu.

4. Tanga kwenye biashara ni 0% hawajui kuuza wala hawana bidii na mteja ni wakarimu kwa wenyewe lakini kwa mteja si wakarimu.

Nimetoka tanga 2017 pakiwa pako na hali hiyo ninayo sema ila kwa sasa sijui.
Hivi ni kwan nini Tanga pazuri vile ila pako na dosari ile.....????

Tanga wanaanza weekend ijumaa....alafu kuamka kwa mishe mishe kitaa ni saa 5 asubuhi na kufunga maduka yao ni saa 10 jioni isipokuwa barabara ya 9 pale na 10 ndiyo kidogo kuna biashara.

Ukiwahi kuamka Tanga hukuti duka lilo wazi yaani saa mbili kamili asubuhi maduka yamefungwa 😁😁😁

Nilisahahu kuwa Tanga mjini hapo machizi ni wengi sana....lakini mapaka kaama yote. Nyau nyingi.
Sababu nu "Makobazi"!!!
 
Tanga mjini Raha Sana Kwa kweli tatizo Kwa mpambanaji hamna hela wanaishi kijamaa Sana , na wameridhika aisee , Kwa wafanyakaz Tanga ni sehemu Bora Sana, nimeishi miaka mitatu pale nguvu Mali , wadada wazuri , ngozi laini na wanajipenda
 
Tanga mjini Raha Sana Kwa kweli tatizo Kwa mpambanaji hamna hela wanaishi kijamaa Sana , na wameridhika aisee , Kwa wafanyakaz Tanga ni sehemu Bora Sana, nimeishi miaka mitatu pale nguvu Mali , wadada wazuri , ngozi laini na wanajipenda
Ni hatari tupu, wafanyakazi Tanga wanaenjoy sana.
 
Ogopa sana mkoa ambao mchaga aliukimbia, enzi hizo makabila mageni yalipofika Tanga kuwekeza wenyeji waliwapa ardhi zenye mazindiko ya ajabu muda wa mavuno ukifika mnaumwa kufa
Hili usemalo ni kweli wachagga Tanga tumekimbia sana....mikoa mingine yote wachagga tupo ila Tanga sasa ni balaa tupu.
 
Tanga ndio nchi pekee mwanamume unaweza kukaa mwaka usiguse kiwembe, yaani kucha utakatwa, nywele za chini zitanyolewa, utaoshwa miguu, na kuogeshwa utaogeshwa cha muhimu gauge isome vizuri tu.

Yanayotokea Tanga sijawahi kuona duniani kokote, ile ni nchi bwana.

Kuna hili la kidume "kusingwa" hahahaha acha niishie hapa.
Tanga raha sana mkuu 😁😁😁
 
Si miaka hii mkuu, lakini huwez fananisha na mikoa mingine kwenye muingiliano wa biashara.
Ni kweli, nadhani kinachokosekana ni muamko na kupambana na mabadiliko ya teknolojia na biashara, hata viongozi wa Tanga wapo slow sana yaani!!
 
Ni kweli, nadhani kinachokosekana ni muamko na kupambana na mabadiliko ya teknolojia na biashara, hata viongozi wa Tanga wapo slow sana yaani!!
Ila Tanga patamu, shida ya watu wa Tanga wamekaa kimchele mchele, wanaume walaini kuliko dada zao.
 
Kuna tofauti kati ya vigodoro na baikoko, ukisikia baikoko ni balaa tupu kabisa.
 
Tanga ni pazuri sema pamepoa kiuchumi.
Huo mkoa ni kama Umetelekezwa, Awamu ya kwanza alikua haupendi, hata barabara ya Lami kwenda Kenya imewekwa juzi juzi tu, pamoja na mkoa kuchangia pato kubwa kwenye Taifa kinachorudi kuendeleza mji ni kidogo sana.

Viongozi vichaa vichaa KAMA Magu walikua hawafuati hizo Taboo angalau kidogo alikuwa na Vision na mkoa wetu.
 
Tatizo ni tamaduni ya Uislam wa kale(kabla ya Uhuru). Sehemu yote ya pwani ya bahari ya Hindi kuanzia ghuba ya Aden, Mombasa, Tanga, Mtwara Hadi Sofala ilikaliwa sana na Waislam na kumepoa kiuchumi. Pia Angalia mikoa yenye Waislam wengi kama Tabora na Kigoma Kisha angalia Hali ya uchumi.

Tatizo ni kwamba Uislam wa kale ulijali Sana Maendeleo ya elimu ya dini ukilinganisha na Ukristo wa kabla ya Uhuru ambao ulijali elimu ya darasani, uchumi na Maendeleo ya Jamii.

Zamani Kila kulipofunguliwa Kanisa, kulifunguliwa shule au hospitali ukilinganisha na palipoanzishwa misikiti ambapo hakuna jipya zaidi ya matenki ya maji. At least sikuhizi wanafungua shule, zahanati na vyuo ambayo kiasili siyo utamaduni wa Uislam
Si kweli, hayo maeneo yote kabla ya Ukoloni yalikuwa yamenawiri, kwa Case ya Tanga 1956 kabla ya Uhuru Tanga ni Manispaa, ule mji unaouona upo kabla ya Uhuru, hii miji imekuja Kufa baadae.

Na waarabu wameacha Shule, Hospitali na miradi kibao, we unafikiri Shule, za Bakwata zimetoka wapi? Hapo Tanga kuna Maawa na Jumuia zote ni shule za kale, toka wapewe Bakwata shule zipo Ovyo na wamebaki tu kutoa frame.
 
Mkuu vipi mbususu za huko bei elekezi inaanzia kiasi gani?
Nataka kwenda huko mwezi ujao kisha ntaelekea Mombasa nikajifunze dhambi mpya
Huwaga kuna wabibi sana pale Chichi night Club, mara ya mwisho nilikuwa napata burudani pale Tanga Club bonge la bata point new Tanga Club.

Kama wewe mshua zama V.i.p Tanga beach resort au Nyumbani Hotel.
 
Back
Top Bottom