Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amini nakuambia utachoka na kukata tamaa.
Kaa kwa kutulia utapata taarifa zote baada ya upelelezi wote kukamilika.hizo ni taarifa za awali juu kukamatwa kwao.hata hawaja simulia waliwakamataje, wana uhusiano gani na marehemu.
Kuchoka kufanya nini ewe mtanzania uliyejaa msongo wa mawazoAmini nakuambia utachoka na kukata tamaa.
Basi unahusika wewe.Ukiona hivyo hawausiki.
Mengine hawatakaa wawapate wauaji.unahusika
Na wewe 🤣🤣🤣.Basi unahusika wewe.
Kwa mujibu wa ripoti hii ya Polisi, hapa namuona Mkaguzi wa ndani wa Halmashauri dhidi ya wakulima na mfanyabiashara.
Ungewaachia wenye akili Timamu na wanaojitambua ndio wajadili hoja 😀😀Inahitaji akili ya mwendawazimu kuwaamini polisiccm
Kwahiyo hii inahusiana na kitu gani hapa kwenye jukwaa la siasa?
Wengine au wewe🤣🤣🤣🤣🤣😂😂🤣.Ungewaachia wenye akili Timamu na wanaojitambua ndio wajadili hoja 😀😀
Wewe papai nakupuuza tuUngewaachia wenye akili Timamu na wanaojitambua ndio wajadili hoja 😀😀
Huyu Mwashambwa, ni wazi, kwa kipimo chochote kile, ni low IQ yakeķ, lakini anataka kuficha mapungufu yake kwa kuwaambia watu wengine eti hawana akili!! Sijui alidanganywa na nani kuwa akiwaambia watu wengine hawana akili, basi nao watakuwa hawana akili kama yeye!!Wewe papai nakupuuza tu
Usijali watakamatwa tu Boni yai akisha kubali tu kutoa codes za simu zake watajulikana tu!!Safi sana Jeshi kwa weledi wa hali ya juu katika kupeleleza na kukamata.
Ila sasa mbona wauaji wa Mzee Kibao na wengine hawakamatwi??????????????