404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
Swali zuri hili wakishakujibu nitagHyo inawasaidiaje?
✍️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali zuri hili wakishakujibu nitagHyo inawasaidiaje?
Kigoma hata umaskini wake ni wa kutengenezea -Wewe Bado una kiwango kikubwa sana Cha ujinga.Ukitoa Kigoma sijawahi sikia Mikoa Mingime ni maskini, yaani Mikoa Maskini imebakia..
Hata Kigoma is no more kwenye umaskini Kwa Sasa
Kwanza hao watu wamekariri hawajui chochote kinachoendea MikoaniKigoma hata umaskini wake ni wa kutengenezea -
# imagine mikoa yote ilishapata barabara za lami lkn kwenyewe ndio zinajengwa
# Imepakana na nchi za DRC, Burundi na jirani ipo Rwanda lkn bado hakukuwa na mikakati ya kuzitumia fursa hizo;
Nenda sasa Singida kwenyewe ukajionee umasikini ulivyokoleaSingida Wasomi watupu
Prof Kitila Mkumbo
Dr Mwigullu Nchemba PhD
Dr Dorothy Gwajima
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Kumbe na nyie huwa mnahisi kubaguliwa?Mwana, Geita, Kagera , Simiyu, Shinyanga na Mara tunao
1. Angelina
2. Bashungwa
3. Kundo ( naibu)
Mama anaupinga mwingi kwa ubaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Status Anxiety.Mkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
Ni wakati wenu huu watu wa mwambao kucueza mdumange ndo maana mnagawa nchi kwa DP World!Mkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
Gwajima na Kitila hawawakilishi SingidaSingida Wasomi watupu
Prof Kitila Mkumbo
Dr Mwigullu Nchemba PhD
Dr Dorothy Gwajima
Kanisa Moja Takatifu la Mitume 😀
Mkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
Tatizo kuna mikoa hata watoe Raisi inakuwa nyuma tu kimaendeleo sababu ya aina ya watu wa hiyo mikoa kama ya Tanga ,Dodoma,Pwani,Mara,Pemba,Kigoma ,Ruvuma,Iringa na Mtwara hata wapewe baraza zima la mawaziri na Raisi kwa mpigo hamna kitu utaiona iko chini tu kimarndeleo
Wewe kuna kitu umelenga au ndiyo zile tetesi rimoti ipo Tanga????? Funguka tu.Mkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
Mgekuwa Wasukuma ama Wachaga kungechimbika. Ila Kwa kua Watanga hakuna shida. Nchi hii Wasukuma Wachanga ndo Kwa Sasa wanapigwa maweMkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
Kuna Abdla Ulega pia, wote ni wa ijumaaMkoa wa Tanga Twadeka tumitoa Mawaziri wanne
1. Ummy - Afya,
2. Awesso - Maji,
3. Mwinjuma - Michezo,
4. Makamba - Nishati.
NB: Inshallah 2030 tutamileteeni Kiongozi mkubwa zaidi.
Hakika umenena mkoa mzima wa Kilimanjaro Waziri ni mmoja tu na wakati wajimbo yote ni CCM, Arusha hakuna hata wakusingiziwa, ukweli wasukuma na wachaga awamu hii hawapendwi hata kidogoMgekuwa Wasukuma ama Wachaga kungechimbika. Ila Kwa kua Watanga hakuna shida. Nchi hii Wasukuma Wachanga ndo Kwa Sasa wanapigwa mawe