Huu ndio ule msemo alieturoga kafa, alitema sumu halafu kabla ya kuweka mafaili sawa akaondoka...kuna ndugu yangu kajifungua mwezi uliopita, nilimsikia anaogopa kumpeleka mtoto kufuata taratibu za chanjo zilizobakia alivyosikia chanjo ya COVID-19 imefika, anasema wasije wakamdanganya na kumchanja mtoto bil yeye kujuaHayati ameacha legacy ya kuogopa chanjo
Tanga ni kubwa,nafikiri ina wilaya karibia 11,kwa hiyo ni wilaya IPI,na ni shule gani hiyo?Leo Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Samia Suluhu Hassan Ameongoza Viongozi Wa Juu Wa Serikali
Kuchanjwa Chanjo Ya COVID 19 Aina Ya Johnson And Johnson
Sasa Huko Tanga Wanafunzi Wamekimbia Shule Hasa Hasa Wakihofia Kuchanjwa,Huku Wazazi Wakiwaambia Wasijekuchanjwa Maana
Wataambukiza Wengine Kwa Haraka Sana!!
Mwalim Alipoulizwa Anasema Hali Tete Sana
Wanafunzi Na Watanzania Wapate Elimu
CHANZO: TBC
Me sielew, kwani kinachofanya watu waikimbie hii kitu ni nn?Sio huko tu hata huku kwetu tena wazz wameandamana hawataki watoto wao wachanjwe
Hatutaki tuMe sielew, kwani kinachofanya watu waikimbie hii kitu ni nn?
Ni uzumbukuku tu wa watanzania kunakosababishwa na elimu duni.Me sielew, kwani kinachofanya watu waikimbie hii kitu ni nn?
Na wachuna ngozi, kanda ya ziwa enzi hizo ilikuwa hatari sana!! hahahhahahha!Duh!
Imenikumbusha enzi za wanyonya damu
Isije ikawa mnataka tu kutuchafua watu wa Tanga ili tuonekane ndiyo Washaamba!!Taarifa Hiyo Haikutaja Shule Gani Hata Mwalim Hakutajwa Jina
Wasiotaka chanjo wapo duniani kote sio Tanzania tu, sasa tusimtwishe tu mzigo Magufuli kana kwamba bila ya yeye Tanzania wasingekuwepo wasiotaka kuchanjwa. Muhimu hapo ni kutoa elimu tu maana hao wanataka kuchanjwa sio wote wana elimu sahihi wengine mkumbo tu na ndio maana hata huko Marekani kuna watu wanachoma dozi moja ya chanjo halafu hawaendi tena kwa dozi ya pili wanaona inatosha ile dozi moja wengine zile side effects walizopata kwa dozi ya kwanza huwafanya wasirudi tena kwa dozi ya pili.Huu ndio ule msemo alieturoga kafa, alitema sumu halafu kabla ya kuweka mafaili sawa akaondoka...kuna ndugu yangu kajifungua mwezi uliopita, nilimsikia anaogopa kumpeleka mtoto kufuata taratibu za chanjo zilizobakia alivyosikia chanjo ya COVID-19 imefika, anasema wasije wakamdanganya na kumchanja mtoto bil yeye kujua
Leo Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Samia Suluhu Hassan Ameongoza Viongozi Wa Juu Wa Serikali
Kuchanjwa Chanjo Ya COVID 19 Aina Ya Johnson And Johnson
Sasa Huko Tanga Wanafunzi Wamekimbia Shule Hasa Hasa Wakihofia Kuchanjwa,Huku Wazazi Wakiwaambia Wasijekuchanjwa Maana
Wataambukiza Wengine Kwa Haraka Sana!!
Mwalim Alipoulizwa Anasema Hali Tete Sana
Wanafunzi Na Watanzania Wapate Elimu
CHANZO: TBC