Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Newton 3rd Law...Mfumo ukiwa wa kufanya mambo ya kikatili automatically raia nao wanakuwa makatili,na wao wanasema Acha na sisi tufanye
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Newton 3rd Law...Mfumo ukiwa wa kufanya mambo ya kikatili automatically raia nao wanakuwa makatili,na wao wanasema Acha na sisi tufanye
Ova
Viumbe hasa wa kijani na group laoBinadamu ni mnyama.
Ukichukulia wale waliomuuwa yule mzee wa Kisambaa sijui Mdigo kisa siasa utaelewa namna sisi viumbe "watu" tunavyo-behave.
Sio mchezomwili mwingine ambao umeungua moto hadi kupoteza sura na haijabainika ni wa jinsia gani.
Yani miili miwili ikutwe nje na mmoja ukutwe ndani tena siti ya nyuma!?Watu watatu wamefariki dunia baada ya kuungua moto katika eneo la ndani ya Msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel katika Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni Mkoa wa Tanga.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema Septemba 23, 2024 majira ya saa 03:45 usiku walipokea taarifa kwamba ndani ya msitu huo kuna watu wameungua moto.
"Askari Polisi walifika eneo hilo na kukuta kweli kuna gari aina ya IST lenye namba T T 305 EAL linaungua moto na pambeni yake kukiwa na watu wawili wameungua kwa moto".amesema Kamanda Mchunguzi
Soma pia: Jeshi la Polisi lawashikilia watu watatu akiwemo mtoto anayedaiwa kuiba watoto sita
Ameongeza baada ya uchunguzi wa awali wa miili iliyokuwa nje ya gari ilibainika ni ya jinsia ya kike na ndani ya gari kiti cha nyuma ulionekana mwili mwingine ambao umeuungua moto hadi kupoteza sura na haujabainika ni wa jinsia gani.
Miili ya watu hao imehifadhiwa katika Hospitali ya Handeni huku Jeshi la Polisi likiendelea na uchunguzi kwa kushirikiana na vyombo vingine vya uchunguzi ili kubaini watu hao walioteketea kwa moto ni akina nani , na nini kiliwatokea kabla ya umauti na waliofanya tukio hilo ni watu gani ili waweze kukamatwa na kufikishwa mahakamani.
Source: TBC Online
Sio kirahisi hivyo hiyo ni trivial reasoning.Walitoka nje ya gari inamaana hyo wakiwa tayari wameshika moto. Reason hata kidgo basi.
Polisi wafanye kuwatambuaVifo vingine hata havielezeki,, tumwachie tu Mungu kusema kweli 🤔🤔
R I P
ofcourse ni muhimu sana kuheshimiana kwenye ndoa,Sahivi tz watu wanafanyiana umafia tu,sahv mtu akikuambia anakupoteza anakupoteza kweli
Mmedhulumiana,mmechukuliana mke au mme watu wanafanyiana
Yajayo yanafurahisha,muanze kuishi kwa kuzoea mambo haya sasa Tlaatlaah
Ova

Kamanda huko anakuambia tunaomba ushirikiano wa raia watupe taarifaWale division IV na mitutu yao wakisema wako doria barabarani wameshindwa kuwaokoa?
Unashangaa nini wewee?Daaah
Kuna siku watanzania watamwelewa Mbowe!Yani miili imeteketea kwa moto pembeni ya gari? Mbona haiingii akilini?
Kwamba hao watu walisimama pembeni ya gari linalowaka moto hadi wakateketea?
Huyo aliyetekea ndani ya gari naweza kuelewa.
Anyways, wapumzike kwa amani.
Yajayo yatazidi kufurahishaofcourse ni muhimu sana kuheshimiana kwenye ndoa,
lakini pia ni ustaarabu kutodhulumiana fedha, mali au hata uongozi kwa tamaa binfsi...
kuna watu hawawezi kuvumilia hali hiyo, wala hawawezi kuongea neno kujibizana mwizi wa mke wake au mdhulumati wa fedha kwa maneno, wao hujibu kwa matendo tu.
unaweza kumdhulumu fedha, mke au mali, nae baada ya muda ukijisahau, akakudhulumu uhai wako. Tuishi kistaarabu.
Pole sana waliopoteza wazazi, ndugu, jamaa na marafiki kwenye tukio hili baya sana..![]()
Mfumo ukishakuwa wa kikauzuKuna siku watanzania watamwelewa Mbowe!
hiyo sifahamu na sina hakika mrangi,Yajayo yatazidi kufurahisha
Ila elewa,sahv mtu akikuambia
Ntakupoteza ujue anakupoteza kweli syo masiharaa
Ova
Yaani waweze kutoka ndani ya gari halafu wakutwe eneo hilo hilo? Halafu abiria aliekaa nyuma si ndio angetoka mwanzo, kama walitoka wao wenyewe. Dunia ina mengi. Labda kama walichomwa kwanza.Walitoka nje ya gari inamaana hyo wakiwa tayari wameshika moto. Reason hata kidgo basi.