Tanga: Watu watatu wafariki dunia kwa kuchomwa moto ndani ya gari Handeni

Tanga: Watu watatu wafariki dunia kwa kuchomwa moto ndani ya gari Handeni

Watu watatu wamekutwa wamefariki dunia kwa kuchomwa moto na watu wasiojulikana eneo la msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni mkoani Tanga.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 24, 2024 kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema tukio hilo limetokea jana Septemba 23, saa tatu usiku.

Amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi kuwatafuta wahusika.

Kamanda amesema walipokea taarifa ndani ya msitu huo kuna gari ndogo inaungua moto na pembeni yake kuna watu wawili wanaungua.

Kamanda amesema askari polisi walifika eneo hilo na kukuta kuna gari ndogo linaungua moto na pembeni yake kukiwa na watu wawill wameungua kwa moto na kufariki dunia wakiwa pembeni ya gari hilo.

Mchunguzi amesema baada ya uchunguzi wa awali ilibainika miili iliyokuwa nje ya gari ni ya jinsia ya kike na ndani ya gari kiti cha nyuma ulionekana mwili mwingine ambao umeungua moto hadi kupoteza sura na haijabainika ni wa jinsia gani.

Amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi kwa kushirikisha na vyombo vingine vya uchunguzi kubaini walioteketea kwa moto ni kina nani, nini kiliwatokea kabla ya umauti na waliofanya tukio hilo ni watu gani ili wakamatwe na kufikishwa mahakamani.

Amesema miili ya marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Handeni, kwa ajili ya uchunguzi.

Kamanda Mchunguzi ametoa rai kwa wananchi kushirikiana na Polisi kwa kutoa taarifa zitakazosaidia kukamilisha uchunguzi wa tukio hilo.

Msitu wa Korogwe Fuel unamilikiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wilaya ya Handeni.

MWANANCHI
Watu wasiojulikana
 
Watu watatu wamekutwa wamefariki dunia kwa kuchomwa moto na watu wasiojulikana eneo la msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni mkoani Tanga.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 24, 2024 kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema tukio hilo limetokea jana Septemba 23, saa tatu usiku.

Amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi kuwatafuta wahusika.

Kamanda amesema walipokea taarifa ndani ya msitu huo kuna gari ndogo inaungua moto na pembeni yake kuna watu wawili wanaungua.

Kamanda amesema askari polisi walifika eneo hilo na kukuta kuna gari ndogo linaungua moto na pembeni yake kukiwa na watu wawill wameungua kwa moto na kufariki dunia wakiwa pembeni ya gari hilo.

Mchunguzi amesema baada ya uchunguzi wa awali ilibainika miili iliyokuwa nje ya gari ni ya jinsia ya kike na ndani ya gari kiti cha nyuma ulionekana mwili mwingine ambao umeungua moto hadi kupoteza sura na haijabainika ni wa jinsia gani.

Amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi kwa kushirikisha na vyombo vingine vya uchunguzi kubaini walioteketea kwa moto ni kina nani, nini kiliwatokea kabla ya umauti na waliofanya tukio hilo ni watu gani ili wakamatwe na kufikishwa mahakamani.

Amesema miili ya marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Handeni, kwa ajili ya uchunguzi.

Kamanda Mchunguzi ametoa rai kwa wananchi kushirikiana na Polisi kwa kutoa taarifa zitakazosaidia kukamilisha uchunguzi wa tukio hilo.

Msitu wa Korogwe Fuel unamilikiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wilaya ya Handeni.

MWANANCHI
Wananchi mlipumzishwa kama siku tatu hivi, naona sasa mmerudishwa tena kwenye maisha mliyojizoelea
 
Watu watatu wamekutwa wamefariki dunia kwa kuchomwa moto na watu wasiojulikana eneo la msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni mkoani Tanga.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 24, 2024 kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema tukio hilo limetokea jana Septemba 23, saa tatu usiku.

Amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi kuwatafuta wahusika.

Kamanda amesema walipokea taarifa ndani ya msitu huo kuna gari ndogo inaungua moto na pembeni yake kuna watu wawili wanaungua.

Kamanda amesema askari polisi walifika eneo hilo na kukuta kuna gari ndogo linaungua moto na pembeni yake kukiwa na watu wawill wameungua kwa moto na kufariki dunia wakiwa pembeni ya gari hilo.

Mchunguzi amesema baada ya uchunguzi wa awali ilibainika miili iliyokuwa nje ya gari ni ya jinsia ya kike na ndani ya gari kiti cha nyuma ulionekana mwili mwingine ambao umeungua moto hadi kupoteza sura na haijabainika ni wa jinsia gani.

Amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi kwa kushirikisha na vyombo vingine vya uchunguzi kubaini walioteketea kwa moto ni kina nani, nini kiliwatokea kabla ya umauti na waliofanya tukio hilo ni watu gani ili wakamatwe na kufikishwa mahakamani.

Amesema miili ya marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Handeni, kwa ajili ya uchunguzi.

Kamanda Mchunguzi ametoa rai kwa wananchi kushirikiana na Polisi kwa kutoa taarifa zitakazosaidia kukamilisha uchunguzi wa tukio hilo.

Msitu wa Korogwe Fuel unamilikiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wilaya ya Handeni.

MWANANCH
Tuombe mwisho mema..
 
Yaani huu mchezo huu aliyeubuni kama alijua atakuwa peke yake sasa hivi na wengine wameanza kumuiga
Mbaya zaidi hawa wana usalama hawajataka kuelekeza nguvu zao kwenye haya matukio ila tu wakisikia kuna watu wanataka kulitaka jeshi la polisi lisimamie hili wao ndio wanasimama imara kuzuia hili lisifanikiwe.

Mbaya sana na inadikitisha kuona watu wanauza utu wao kwa slogan ya kudumisha amani na mshikamano huku kundi la watu fulani wenye power ambao hata 10% hawafiki wakiendelea kupata manufaa lkn 90% wakidumaa na kati yao wakiendeshwa bila kujitambua.
 
Hii nayo vp,au kapatwa na gonjwa la moyo

Ova
 

Attachments

  • IMG-20240924-WA0002.jpg
    IMG-20240924-WA0002.jpg
    63.2 KB · Views: 3
Watu watatu wamekutwa wamefariki dunia kwa kuchomwa moto na watu wasiojulikana eneo la msitu wa Hifadhi ya Korogwe Fuel, uliopo Kijiji cha Sindeni wilayani Handeni mkoani Tanga.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Septemba 24, 2024 kuhusu tukio hilo Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi amesema tukio hilo limetokea jana Septemba 23, saa tatu usiku.

Amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi kuwatafuta wahusika.

Kamanda amesema walipokea taarifa ndani ya msitu huo kuna gari ndogo inaungua moto na pembeni yake kuna watu wawili wanaungua.

Kamanda amesema askari polisi walifika eneo hilo na kukuta kuna gari ndogo linaungua moto na pembeni yake kukiwa na watu wawill wameungua kwa moto na kufariki dunia wakiwa pembeni ya gari hilo.

Mchunguzi amesema baada ya uchunguzi wa awali ilibainika miili iliyokuwa nje ya gari ni ya jinsia ya kike na ndani ya gari kiti cha nyuma ulionekana mwili mwingine ambao umeungua moto hadi kupoteza sura na haijabainika ni wa jinsia gani.

Amesema Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi kwa kushirikisha na vyombo vingine vya uchunguzi kubaini walioteketea kwa moto ni kina nani, nini kiliwatokea kabla ya umauti na waliofanya tukio hilo ni watu gani ili wakamatwe na kufikishwa mahakamani.

Amesema miili ya marehemu imehifadhiwa katika Hospitali ya Halmashauri ya Mji wa Handeni, kwa ajili ya uchunguzi.

Kamanda Mchunguzi ametoa rai kwa wananchi kushirikiana na Polisi kwa kutoa taarifa zitakazosaidia kukamilisha uchunguzi wa tukio hilo.

Msitu wa Korogwe Fuel unamilikiwa na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wilaya ya Handeni.

MWANANCHI
Tanzania 🇹🇿 nchi yangu NAKUPENDA kwa moyo wote
 
Back
Top Bottom