Tanga: Watu watatu wafariki dunia kwa kuchomwa moto ndani ya gari Handeni

Yani miili miwili ikutwe nje na mmoja ukutwe ndani tena siti ya nyuma!?
Haya ni mauaji yamefanyika kabisa.
Typically killing.
 
Sahivi tz watu wanafanyiana umafia tu,sahv mtu akikuambia anakupoteza anakupoteza kweli
Mmedhulumiana,mmechukuliana mke au mme watu wanafanyiana
Yajayo yanafurahisha,muanze kuishi kwa kuzoea mambo haya sasa Tlaatlaah

Ova
ofcourse ni muhimu sana kuheshimiana kwenye ndoa,
lakini pia ni ustaarabu kutodhulumiana fedha, mali au hata uongozi kwa tamaa binfsi...

kuna watu hawawezi kuvumilia hali hiyo, wala hawawezi kuongea neno kujibizana mwizi wa mke wake au mdhulumati wa fedha kwa maneno, wao hujibu kwa matendo tu.

unaweza kumdhulumu fedha, mke au mali, nae baada ya muda ukijisahau, akakudhulumu uhai wako. Tuishi kistaarabu.

Pole sana waliopoteza wazazi, ndugu, jamaa na marafiki kwenye tukio hili baya sana..
 
Yajayo yatazidi kufurahisha
Ila elewa,sahv mtu akikuambia
Ntakupoteza ujue anakupoteza kweli syo masiharaa

Ova
 
Yajayo yatazidi kufurahisha
Ila elewa,sahv mtu akikuambia
Ntakupoteza ujue anakupoteza kweli syo masiharaa

Ova
hiyo sifahamu na sina hakika mrangi,

ila kuheshimiana ni jambo la kistaarabu mno hasa tunapochangamana miongoni mwa jamii zinazotuzunguka 🐒
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…