Tanga: Watu watatu wafariki dunia kwa kuchomwa moto ndani ya gari Handeni

Sio kirahisi hivyo hiyo ni trivial reasoning.
Watoke nje ya gari washindwe hata kuhangaika kutapatapa na wakaonekana nje ya eneo la tukio!?
Aisee reasoning yako inatia mashaka.
DUUUh kwamba wakitoka wakitapatapa moto unazimika ushawahi ona moto ukimshka mtu?
Hamchelewi kusema polisi wamehusika.
 
Yaani waweze kutoka ndani ya gari halafu wakutwe eneo hilo hilo? Halafu abiria aliekaa nyuma si ndio angetoka mwanzo, kama walitoka wao wenyewe. Dunia ina mengi. Labda kama walichomwa kwanza.
Gari inaweza lipuka mtu stranded akawa wa siti ya nyuma, vile vile hakuna maelezo ya kina hawa watu wapo mazingira ya barabara au porini ndani.
 
Kazi ya Mafwele hiyo
 
KUMBE ABDUL NOMAAAAAA
 
Tena Hawa wanawake wanaodai talaka na kukimbilia Mali huko mbeleni kutakujakuwa na matukio ya ajabu sana, Sheria ya Ndoa Ni ya kuangaliwa upya kisiwe kichaka Cha wanawake kuwaumiza wanaume!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…