welding1682
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 2,151
- 4,681
Na WATOTO Ana wang'ng'ania huwa inaumiza sana, mtu uliacha upweke ukiwa na miaka 28-30 unafikisha 45-50 mke anakurudisha kwenye maisha ya upweke tena inaumiza sana!Mwanaume umekaa kutafuta Mali badae mtu anakuambia tugawane😞😞😞