Tanga Wilaya nyingi na Wabunge wengi lakini Watu wake Maskini tofauti na kwetu Iringa

Wasukuma mikokoteni wote wa Kariakoo na masoko yote ya DSM wanatokea Tanga
...wanasaidia sana nyinyi matajiri kuongezekewa....humkuti Mzaramo ,Mndengereko akisukuma mikokoteni kwani ni mamwinyi....

Kwa wanaoijua Tanga watakushangaa kwa kufanya "generalization" kwani hata hukohuko utamaizi wafanyakazi kazi hizo ngumu ni WASAMBAA....na si wadigo na wasegeju kwani hao nao ni MAMWINYI.....

Tuwashukuru sana wavuja jasho hawa kwa kuongezeka mzunguko wa fedha kwa hizo kazi za "blue collar jobs", ni sawa ewe dadangu mnyakyusa tajiri wa "White collar jobs"?!!
 
Uswahili mwingi huko, kwanza wanaume walio oa wanawake wa Tanga tabu na shida wanazo tena zakutosha, mwanamke hamalizi wiki yupo kwao, kuna shughuli! Sasa huyo mke chinga!
 
Tanga sio masikini si kwa GDP wala Gdp per capita, na matajiri wakubwa Tanga sio wachaga, ukitoa wahindi na waarabu kuna wasambaa wengi tu wenye ukwasi mkubwa kuliko wachaga.

Fun fact Iringa ni katika mikoa inayoongoza kwa utapiamlo, maybe mna ya kujifunza mengi toka Tanga?
 
Exactly mtu anaemiliki Ng'ombe 200 sio masikini kama vile mtu mwenye Ekari kadhaa za minazi sio masikini hata kama anaishi nyumba iliowezekwa na makuti.
 
Watu wa Tanga hii isiwasumbue hata kidogo,ishini katika nyumba zenu kwa utakatifu na kutenda haki Kati ya ndugu na majirani zenu wa mikoani

Kwa maana siyo nyumba peke yake zinazojengwa Kwa udongo bali hata miili yetu iliumbwa Kwa udongo.Kwahiyo ukiidharau nyumba ya udongo umeudharau mwili wako mwenyewe.
 
Wasukuma mikokoteni wote wa Kariakoo na masoko yote ya DSM wanatokea Tanga
Ni wasambaa and trust me hio kazi ni above average kwa malipo kwa Mtanzania.

Msukuma mkokoteni na wabeba mizigo wengi wanalaza 20-30K kwa siku atleast hapa Kkoo.

hii hela ni zaidi ya Take home ya Tra, Mwalimu, Wahasibu, Hr Na wafanyakazi wengi wa serikalini, nafahamu maafisa Kata na Tarafa hawapati hio hela Take home, inakaribiana na hela ya Daktari.

So kwa wao kujipatia kipato cha halali bila kufanya ufisadi kikubwa hivyo ni mfano wa kuigwa kabisa.
 
. Umetoa hoja kwa hasira sana, ila tanga ni jiji la hovyo sana..


. Jiji la tanga kwa Sasa limeshikiliwa na wabena.. Ila wazawa hamna kitu pale ni mwendo wa kulala vibarazani tu kama wajawazito.. πŸ™‚ πŸ™‚

. Hata sa100 leo ameamua kutembelea chopa tu, maana barabara za tanga hazieleweki..
 
Wala sijabisha mkuu, lakini mbona wanalala kwenye kolido za maduka?
 
Wala sijabisha mkuu, lakini mbona wanalala kwenye kolido za maduka?
Sio wasambaa aisee, utofautishe wasambaa na waha, wasambaa wengi wanajielewa, nadra kuwa kuta wanalala ovyo nje unless labda ana tatizo kama pombe zilizopitiliza, drug addict etc.
 
Tanga wabena ni kina nani, ht hivyo km ni kwl hewana, ni watanzania, nchi yetu ni moja tuache ukabila. Tuache ligi za kikabila, Tanga is a great region.
 
Cheki sasa chuki yako kwa wachagga inakutoa ufahamu, mtu anaongelea tanga wewe unamwambia kaiga wachagga upumbavu, kuna upumbavu zaidi ya huo? Jinga kabisa
Mi sina udumavu wa akili km wachaga, ukome we bwege
 
Msambaa miaka 15 anatafuta kazi ya kufanya hao jamaa ni mwisho sijapata kuona 🀣🀣...Msambaa anauza karanga ila miaka akienda kuoa akirudi unasikia ana duka .
 
Wala sijabisha mkuu, lakini mbona wanalala kwenye kolido za maduka?
Ile ni kutafuta ukija mila za wasambaa basi utanielewa , wasambaa kwanza kupambana kwao ni jadi yaani ,hapa home alikuja mmoja miaka 16 anataka kazi na kwao wana nyumba fresh .

Jaribu kuwauliza sema sio watu wa kik kwa sana ni wapenda biashara ndogo ndogo kikubwa atoke jasho .
 
Iringa inaongoza kwa baridi tu
Watu wa huko Iringa na kanda yao wanapenda attention sana na kujipa umuhimu kweny mikoa ya watu ,wana asili ya ukimbizi hawapendi kukaa kwao ....Wanashindwa kujua Tanga mjini ni mji wa kale sana ila haukuwahi kufanyiwa marekebisho kwa miaka mingi ..Hivyo vimkoa vyao hata hatuvijui ila wanapenda kujiona sana ushamba ni mwingi mno.
 
Tanga wabena ni kina nani, ht hivyo km ni kwl hewana, ni watanzania, nchi yetu ni moja tuache ukabila. Tuache ligi za kikabila, Tanga is a great region.
. Tanga ni kubwa kwa eneo na asilimia kubwa ni pori lakini haina Maendeleo...

. Tanga ni pakame sana..

. Tanga vyazo vikuu vya mapato ni ile bandari ndogo na Kiwanda cha cement, zaidi ya hapo hamna kiwanda kingine ni vinyumba tu vidogo vidogo..πŸ™‚ πŸ™‚

. Watu wa tanga ni wavivu kufanya kazi, kila nyumba inadaiwa mikopo ya uchochoroni( wanapenda bata lakini hawataki kufanya kazi nakufikia hatua kudumbukia kwenye mikopo isiyoeleweka)
 
Yaani historia ya mandeleo kati ya Tanga na Iringa,ni kufananisha Mbuyu na mchicha.
 
πŸ™‹β€β™‚οΈβœοΈπŸŽ―πŸ‘πŸ‘ŒπŸ‘πŸ‘ŠπŸ€πŸ™
 
Tanzania yote masikini tu, hao unaowaona wana afadhari Wanamudu kula nakulala tu.

Vita yote inapaswa kuelekezwa Kwa CCM iache kunyonya watu wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…