Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Shout out to baba - mwajuma !Exactly mtu anaemiliki Ng'ombe 200 sio masikini kama vile mtu mwenye Ekari kadhaa za minazi sio masikini hata kama anaishi nyumba iliowezekwa na makuti.
Sehemu yoyote ambapo wanaikumbatia sana CCM kuna umasikini wq kutisha. Kuna uhusiano mkubwa kati ya CCM na umasikini na ujinga.Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? π
Jo ina maaana zile nyumba za tembe kule Dodoma hujawahi kuziona?Sikuwahi kuamini kwamba Tanzania bado kuna Nyumba za udongo lakini huku Tanga unakutana nazo nyingi tu
Handeni na Korogwe walau Matajiri wa kichagga wamechangamsha
Huu mkoa uliathiriwa na siasa za Manamba enzi za Mkoloni
Bwashee Retired upo Tanga IPI tukuletee KADI? π
Hizi za Tanga zimezidi Bwashee πJo ina maaana zile nyumba za tembe kule Dodoma hujawahi kuziona?
Mmeamua kuwananga watani zangu ha ha haUswahili mwingi huko, kwanza wanaume walio oa wanawake wa Tanga tabu na shida wanazo tena zakutosha, mwanamke hamalizi wiki yupo kwao, kuna shughuli! Sasa huyo mke chinga!
Ha ha ha Tanga kuna joto na si Iringa....Hizi za Tanga zimezidi Bwashee π
Hata Bagamoyo ilikuwaga hivyo πHa ha ha Tanga kuna joto na si Iringa....
75 % ya mabekitatu ni kutoka Iringa hiki ni kiashiria kuwa huko kuna umasikini wa kutishaKwenu Iringa kuna maendeleo gani. Niambie Iringa ukiacha zile squater za Mafinga ni wilaya ipi ina makao makuu yake yana hadhi ya mji (Town council?) Tanga wilaya ya Korogwe utalinganisha na wilaya ipi huko kwenu? Bado Handeni ni Town council. Tanga ni jiji, kale kamji kenu kanatakiwa kashushwe hadhi ni kadogo kamedumaa. We Tanga umefika wapi au unaishi kwa hisia! Iringa ingekuwa na maendeleo watoto wangekuwa na udumavu wa lishe? Mmeiga upumbavu kwa wachaga siyo? Nyie waandunje bado sana
Mahousegirl wote wanatoka IringaWasukuma mikokoteni wote wa Kariakoo na masoko yote ya DSM wanatokea Tanga
Baada ya Lowasa kuanzisha Shule za Kata Hakunaga beki tatu wa kinyalu tena ππ75 % ya mabekitatu ni kutoka Iringa hiki ni kiashiria kuwa huko kuna umasikini wa kutisha
Umekariri πππMahousegirl wote wanatoka Iringa
Wacha uwongo mimi ninaye anatoka kijiji cha Nyololo.Baada ya Lowasa kuanzisha Shule za Kata Hakunaga beki tatu wa kinyalu tena ππ
Ni ukweli mna dhiki sana huko.Umekariri πππ
......kipi kilichowabadilisha wanabagamoyo ?!!Hata Bagamoyo ilikuwaga hivyo π
Zipo Tembe HouseJo ina maaana zile nyumba za tembe kule Dodoma hujawahi kuziona?
Uchumi wa Nyololo ni mkubwa mno nadhani huyo bekitatu wako ametokea Usafwani Kwa akina ChoiceVariableππWacha uwongo mimi ninaye anatoka kijiji cha Nyololo.
.....nimeliandika hili lakini mmikocheni mwenzangu kamarada Jonijo hajalijibia ,ha ha ha75 % ya mabekitatu ni kutoka Iringa hiki ni kiashiria kuwa huko kuna umasikini wa kutisha
....mimi mwenyewe nilikuwa naye....daah yule mtoto sitomsahau...alikuwa mtiifu kwenye mengi kwangu....Umekariri πππ