mahindi hayaoti mjini
JF-Expert Member
- Nov 29, 2022
- 2,120
- 2,709
Wapeni wenyewe inchi yao, kwani lazima?Nchi ya mateja na mikorogo zenji inajibu hivi malalamiko ya bandari
Mnafaifika na nini zaidi ya hasara tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapeni wenyewe inchi yao, kwani lazima?Nchi ya mateja na mikorogo zenji inajibu hivi malalamiko ya bandari
Inasemekana pia Marehemu Mzee Karume alisema huu muungano ni kama koti tu likikubana unalivua !!“Inasemekana” zipo katika aya sita.
Pascal katika hili hujui bora unyamaze tu. Rejea kitabu cha miaka 10 ya Mapinduzi na kile kwaheri ukoloni kwaheri uhuru utaona yaliyomo ni kinyume na uloyaandika.ndipo
Huo ndio ukweli wenyewe. Muhammed Shamte ambaye alikuwa Waziri Mkuu ni Mzanzibari.Sii kweli
Ikiwa iliweza kabla ya uhuru itashindwaje leo?Viongozi kutoka Zanzibar hata rais wa Zanzibar ndio wanaojua madhara ya kuvunja muungano, hao wengine wanajisemea tu. Zanzibar haijaweza bado kujitegemea kifedha siku wakiweza muungano utavunjika hapo hapo!
Ndivyo alivyosemaInasemekana pia Marehemu Mzee Karume alisema huu muungano ni kama koti tu likikubana unalivua !!
Muungano uvunjwe harakaMioyo ya Wazanzibar ilishaukataa Muungano siku nyingi. Tuko nao kimwili lakini si kifikra.
Ughaibuni huwa wanajitambulishaje? Mtanzania? Dhubutu!!!
Wanaojiita Watanzania ni Watanganyika. Mzanzibar akiwa ng'ambo hajiiti Mtanzania, bali Mzanzibar!!!
Kitabu hicho kililetwa humu na tukakichambua kuuonyeshea urongo wake wa wazi mchana kweupe!. Mapinduzi ya Zanzibar: Ukweli ni Upi?Pascal katika hili hujui bora unyamaze tu. Rejea kitabu cha kwaheri ukoloni kwaheri uhuru utaona yaliyomo ni kinyume na uloyaandika.
Inasemekana vile vile, hata Hayati Aboud Jumbe alipojaribu kukurukuka, aliambulia kupokonywa uhuru wake ndani ya nchi huru!Inasemekana pia Marehemu Mzee Karume alisema huu muungano ni kama koti tu likikubana unalivua !!
Sawa, lakini tujulishwe kwanza Tanganyika yetu iliko.Tusianze kubeza muungano. Tujikite kwenye hoja za kujenga nchi yetu ya Tanzania
Kwa kosa lipi?Kwahiyo Zanzibar iwaombe radhi watanganyika
Hivi ni kweli nchi kuubwa na nzuri, Tanganyika, imo tumboni mwa nchi ndoogo inayojiamini, Zanzibar?Ubovu wa mada yako nzima unauonyesha hapa.
Umetumia "inasemekana", katika sehemu zote, hata haya unayoyashuhudia mwenyewe, kana kwamba nawe huna akili za kuona na kutambua?
Tueleze, wewe leo hii unauonaje Muungano huu, ambao nchi moja iliyoungana na nyingine iliendelea kuwepo, na ile nyingine ikapotea, kama iliyomezwa. Sasa inaonyesha waziwazi nchi iliyobaki bila kumezwa, pamoja na udogo wake inaitawala ile iliyomezwa, na kuondoka!
Swali unalotakiwa kujiuliza kwa hofu kubwa ni hili: je ile nchi iliyomezwa itatapikwa na kurudi kuwepo?
Hilo liinchi lililomezwa likirudi, sidhani kwamba mtaendelea kujibaragaza kama mnavyofanya sasa hivi.
Ni wazanzibari wachache wamewamegea wenzao vya watanganyikaKwa kosa lipi?
Wametengewa na Watanganyika wenyewe, wao wangefanyeje zaidi ya kula?
Inasemekana alisema hivyo, na Wazanzibar wanatamani ingekuwa rahisi kulivua hilo "limkoti" kama hayati Karume alivyosema.Inasemekana pia Marehemu Mzee Karume alisema huu muungano ni kama koti tu likikubana unalivua !!
Ndiyo kusema viongozi wa Tanganyika wanawaonea huruma sana Wazanzibar na kupuuzia hisia za Watanganyika?Ikiwa iliweza kabla ya uhuru itashindwaje leo?
Issue kubwa kwetu ni usalama na ndicho ambacho kinafanya mpaka leo Zenji hatujataka kuiachiaTanganyika hatuna la kupoteza muungano ukivunjika ila Zanzibar watapoteza bajeti, nafasi tele za uteuzi, biashara, ajira nyingi, na mali nyingi ikiwemo ardhi wanazomiliki huku bara.
Wa kulaumiwa ni viongozi wa Tanganyika. Zanzibar hawauhitaji Muungano, wanalazimishwa na Tanganyika.Kweli jitu lina miaka 59 bado halijajitegemea
Zanzibar inafahamika, na Tanzania tunaijua, lakini Tanganyika iko wapi?Issue kubwa kwetu ni usalama na ndicho ambacho kinafanya mpaka leo Zenji hatujataka kuiachia
Usalama wetu ni muhimu sana tusipoulinda hiki kisiwa cha amani kinachoitwa Tanzania kitabaki historia
Tukiwaacha wenyewe wajiamulie masuala yao, siku si nyingi vitaanza vikundi vya kigaidi hapo na kwa jinsi ilivyo ngumu kulinda mpaka wa bahari itakuwa ni ngumu kujilinda kuanzia Tanga mpaka Mtwara
Huo upenyo watautumia kuvuruga amani yetu kwa kuleta silaha na kuzua taharuki huku bara kitu ambacho bora kisitokee
Watu wenye uwezo wa kulijibu swali lako hili ni akina Samia na CCM yake.Hivi ni kweli nchi kuubwa na nzuri, Tanganyika, imo tumboni mwa nchi ndoogo inayojiamini, Zanzibar?