Tanganyika iliitaka sana Zanzibar kuliko Zanzibar ilivyoitaka Tanganyika

Tanganyika iliitaka sana Zanzibar kuliko Zanzibar ilivyoitaka Tanganyika

Ukileta stori za Taiwan na China katika kutetea huu muungano unaonekana hujui lolote kuhusu historia ya dunia.
China wanaitaka sio kwa sababu wanaogopa adui kutokea Taiwan,wanaitaka Taiwan kwasababu Taiwan imekuwa sehemu ya China kwa miaka mingi mpaka 1949 walipojitenga.
Kwa mfano India wanaitaka Kashmir,Somalia wanaitaka Somaliland na Moroko wanaitaka Western sahara licha ya kwamba sehemu hizo zote sio visiwa.
Adui akitaka kuivamia Tanganyika uwepo au kutokuwepo kwa visiwa vya Zanzibar sio muhimu sana,refer Kagera war.
 
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.

Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa akina Lissu wenye fikra finyu sana.

Kumbuka security ni muhimu sana kuliko interest zenu na mihemko yenu.
Wewe ndiye mwenye fikra finyu. Akili yako imeshikiliwa sehemu fulani, unaendekeza njaa kwa kulipima vivoucher ili uandike upuuzi.

Nyerere hakuona kokote mbali. Aligubikwa na fikira za kijamaa kwa kutaka shirikisho la Africa Mashariki, matokeo yake akaambulia kuirubuni Zanzibar wakati huo wao Wazanzibar wakiwa na wasiwasi na Mwarabu waliyemfukuza kurejea tena.

Muungano hauna tena faida yoyote kwa kizazi hiki hasa kwa Watanganyika. Viongozi wa CCM wanaung'ang'ani kwasababu za kiutawala na si vinginevyo. Wengi wao wanaona aibu muungano kufa ktk kipindi chao. Mark my word, huu muungano hauna maisha tena, natoa miaka 15.
 
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.

Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa akina Lissu wenye fikra finyu sana.

Kumbuka security ni muhimu sana kuliko interest zenu na mihemko yenu.
Kumaaanisha zanzibar ingeweza ku acomodate troops wa kutosha kuvamia Tanganyika. Wangevamia kwa usafiri gan. Meli???. Ingeshindikana adui kutokea Kenya au Uganda??.
 
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.

Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa akina Lissu wenye fikra finyu sana.

Kumbuka security ni muhimu sana kuliko interest zenu na mihemko yenu.
We unachukulia poa kupindua inchi eti baba? [emoji848]
 
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.
Unaendelea kuishi enzi za ujima? Mapinduzi au hayo unayowaza wewe hayahusiani kivyovyote na uwepo wa Zanzibar hapo ilipo.

Hata hivyo, kinyume chake ndio ukweli uliofanya Zanzibar waililie Tanganyika ku'guarantee' usalama wa Mapinduzi yao.
Unapojaribu kupindisha ukweli ulio wazi, uwe unafahamu pia kwamba unaotaka kuwadanganya ni werevu zaidi yako.

Tanganyika haikuwa na mahitaji mengine yoyote kuhusu Zanzibar, mbali ya kuonyesha dunia kuwa tunaweza kuungana sisi kwa sisi.
 
Mzee Karume ndio alimkimbilia Nyerere kumuomba Zanzibar iwe kupe wa Tanzania kuepusha Zanzibar kupinduliwa.
Muungano haukuwa na manufaa yoyote kwa wananchi zaidi ya ushikaji wa yule mzee wa Kizanaki na mswahili wa mchongo wa pale unguja.
 
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.

Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa akina Lissu wenye fikra finyu sana.

Kumbuka security ni muhimu sana kuliko interest zenu na mihemko yenu.
Unatukosea sn watanganyika,kichwa cha habar kilipaswa kuandikwa'Nyerere aliitaka sana Zanzibar kuliko Karume alivyoitaka,sisi wananchi wa hiz nchi 2 hatujawahi kushiriki ujinga huo kwa namna yoyote iwe kufanya maamuz iwapo tunataka muungano au la
 
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.

Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa akina Lissu wenye fikra finyu sana.

Kumbuka security ni muhimu sana kuliko interest zenu na mihemko yenu.
Haya ni mawazo duni kabisa. Au hata kama miaka ya sitini yalikuwa na mashiko, lakini hayawezi kutufanya tuendelee kuwa na huu muungano wa 'ovyo' tulip nao leo. Nyerere alifanya makosa mengi hata mwenyewe alikiri. Miongoni mwa makosa yake ni ni kutuachia aina hii ya muungano na katiba hii ya ovyo. Hakuna asiyetaka muungano, bali wenye akili wanalalamikia muundo wa muungano tulionao.
 
Huo muungano unasaidia dhidi ya ugaidi, bila hivyo hicho kisiwa kingekua kama Somalia.
Jamaa hulazimisha kila mtu awaige kwenye ule mfungo wao wa kubadilisha masaa ya kula cc brazaj
 
Haya ni mawazo duni kabisa. Au hata kama miaka ya sitini yalikuwa na mashiko, lakini hayawezi kutufanya tuendelee kuwa na huu muungano wa 'ovyo' tulip nao leo. Nyerere alifanya makosa mengi hata mwenyewe alikiri. Miongoni mwa makosa yake ni ni kutuachia aina hii ya muungano na katiba hii ya ovyo. Hakuna asiyetaka muungano, bali wenye akili wanalalamikia muundo wa muungano tulionao.
We unataka muungano gani
 
Huo muungano unasaidia dhidi ya ugaidi, bila hivyo hicho kisiwa kingekua kama Somalia.
Jamaa hulazimisha kila mtu awaige kwenye ule mfungo wao wa kubadilisha masaa ya kula cc brazaj

maisha yako ni magumu sana, wewe ni chuki za kidini tu kwenda mbele
 
Back
Top Bottom