Tanganyika iliitaka sana Zanzibar kuliko Zanzibar ilivyoitaka Tanganyika

Tanganyika iliitaka sana Zanzibar kuliko Zanzibar ilivyoitaka Tanganyika

Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.

Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa akina Lissu wenye fikra finyu sana.

Kumbuka security ni muhimu sana kuliko interest zenu na mihemko yenu.
Muungano halikuwa wazo la Nyerere wala si Nyerere aliyeutaka. Nyerere alitumiwa tu kama kibaraka.

Huu muuungano ulishinikizwa na Muingereza na Mmarekani.
 
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.

Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa akina Lissu wenye fikra finyu sana.

Kumbuka security ni muhimu sana kuliko interest zenu na mihemko yenu.
HIYO NI DHANA

It's a freaking theory!

Nyerere sio mjinga kwa nini, Nyarere hakosei ? Nyerere Mungu ???????????? Mbona vijiji vya ujamaa mmevifuta kama Nyerere hakosei ?????????

Uvamizi kupitia Zanzibar. Idd Amin alihitaji bahari kuvamia Tanzania ? Kagame anahitaji bahari kuvamia Congo DR, Nchi zote zilizo pembeni ya visiwa zimevamiwa ?? Tuvamiwe kwa nini, tuvamiwe na nani, Sultani?

Mbona ma sultani wa Emirati wamevamia na kuchukua bandari na ardhi na hifadhi kwa kupitia upenyo wa Mzanzibari ??????

Tethering our country Tanganyika to a miniscule, unproductive, Island of Zanzibar in a super costly union was the most ignoramus decision in the annals of African nation formation history.
 
Huo muungano unasaidia dhidi ya ugaidi, bila hivyo hicho kisiwa kingekua kama Somalia.
Jamaa hulazimisha kila mtu awaige kwenye ule mfungo wao wa kubadilisha masaa ya kula cc brazaj

..Kenya ndio ilipaswa kuungana na Zanzibar kwasababu Mombasa ilikuwa eneo la Zanzibar.

..masuala ya ulinzi na usalama sio hoja. Tanganyika imesaidia ulinzi wa Seychelles na Comoro bila kulazimika kuungana nao.
 
..Kenya ndio ilipaswa kuungana na Zanzibar kwasababu Mombasa ilikuwa eneo la Zanzibar.

..masuala ya ulinzi na usalama sio hoja. Tanganyika imesaidia ulinzi wa Seychelles na Comoro bila kulazimika kuungana nao.

Wangetusumbua sana, hicho kisiwa kilipaswa kiwe mkoa na sio nchi, kwa mfano Kenya kuna kisiwa cha Lamu ambacho kimepewa utambulisho kama mojawapo wa gatuzi za nchi, humo ndani kina majimbo kadhaa lakini vyote hivyo ni ndani ya nchi moja ya Kenya.

Hapo Zanzibar niliona kwamba yaani mgeni anayefikia Tanzania bara na kutaka kuingia Zanzibar, inabidi apitie uhamiaji kwa mara ya pili, yaani umefika uwanja wa JNIA unapigiwa mhuri na uhamiaji, kisha ukiingia Dar uwaze kukatiza maji kuingia Zenji, inabidi upitie uhamiaji ugongewe mhuri kwamba unaingia nchi nyingine, na pia siku ukitoka lazima upitie hizo processes.
Taifa moja ila unapigiwa mihuri miine.
 
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.

Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa akina Lissu wenye fikra finyu sana.

Kumbuka security ni muhimu sana kuliko interest zenu na mihemko yenu.
Siyo kwamba hatutaki muungano lakini hebu kwanza jiulize yafuatayo:
- kwa nini muungano ulitokea fasta fasta bila hata majadiliano ya kueleweka? Mapinduzi ya Zanzibar yalitokea Januari 11 usiku, muungano umefanyika April 26 (siku ya kusaini) - ni kama siku 104 tu baada ya mapinduzi wakati hata nchi yenyewe bado ilikuwa ndiyo inajiimarisha. Hata viongozi wenyewe wa Afro Shirazi hawakuwa na taarifa ya yanayoendelea (tafuta kitabu cha Aboud Jumbe , yeye alikuwa Waziri wa Nchi kipindi hicho).

- nakushauri pia utafute taarifa za CIA (declassified reports) kuhusu Zanzibar katika kipindi kile cha mapinduzi na woga wao kuwa Zanzibar huenda ikatwaliwa na Eastern block (hasa adui yao Cuba), kwa hivyo kulikuwa na pressure kubwa sana kwa Nyerere na Karume kuwa waungane ili upatikane udhibiti wa visiwa.

- Pia katika kipindi kile walikuwepo vijana ambao walipata mafunzo ya kijeshi ya vita vya msituni kutoka Cuba (akina Ali Mahfoudh, Ali Sultan, Hashil Seif, Amour Dughesh na wengine), kwa hivyo hofu ya Marekani kuhusu kuenea ukomunisti Zanzibar ilizidi kuimarika.

-yeye mwenyewe Nyerere alikuwa ndiyo kwanza ametoka katika harakati za kutaka kupinduliwa na akaishia kuomba msaada kule kule kwa mabosi wake wa zamani (Waingereza).

Sasa wakati munamsifu Nyerere mutambue kuwa alikuwa amebanwa sana na mataifa ya magharibi, hizo nyingine ni stori za kufunika kombe.

Pia kama unaweza tafuta kitabu cha Amrit Wilson: US Foreign Policy and Revolution: The Creation of Tanzania
 
Mi ni kijani og ila nafikiri Lissu yuko sahihi na hoja zake na haiko sawa wazanzibari kupewa vyeo huku bara mf DC na pia kuhudhuria bunge letu,
Inawezekana ni sawa, ila hii iwe kwa pande zote mbili. Hata Watanganyika wasipewe uDC huku Zanzibar. Hivi sasa huenda kuna DC mmoja kutoka Zanzibar. Kule Zanzibar kuna maDC wawili Watanganyika. Zanzibar yenye idadi ya milioni 1.8 inaongozwa na maDC wawili Watanganyika. Kimahesabu, ili kuwe na usawa, ilitakiwa Tanganyika kuwe na maDC 67 kutoka Zanzibar. Hili unalionaje? Kuna haki hapa?
na pia kuhudhuria bunge letu, au inabidi kuwe na mabunge mawili moja la Tanganyika na jingine la muungano maana wao wana bunge lao
Unazungumzia bunge lenu? Lenu akina nani? Hivi unajua unachoongea? Hapa kuna bunge la JMT, na nadhani unajua ni nini JMT.
Kwasasa Lissu ni mshindi kwa maoni yangu ya kibara!! Hoja zake ni moto na hazijibiki kwa mifumo ya siasa iliyoko hivi sasa.
Haya ni maoni yako. Una haki ya maoni.
 
Huo muungano unasaidia dhidi ya ugaidi, bila hivyo hicho kisiwa kingekua kama Somalia.
Jamaa hulazimisha kila mtu awaige kwenye ule mfungo wao wa kubadilisha masaa ya kula cc brazaj
Kwamba Tanganyika iliopigana na Uganda ishindwe kupambana na kisiwa ambacho hakifiki ukubwa hata wa mkoa? Huu upumbavu wa kiwango cha medani kabisa.
 
HIYO NI DHANA

It's a freaking theory!

Nyerere sio mjinga kwa nini, Nyarere hakosei ? Nyerere Mungu ???????????? Mbona vijiji vya ujamaa mmevifuta kama Nyerere hakosei ?????????

Uvamizi kupitia Zanzibar. Idd Amin alihitaji bahari kuvamia Tanzania ? Kagame anahitaji bahari kuvamia Congo DR, Nchi zote zilizo pembeni ya visiwa zimevamiwa ?? Tuvamiwe kwa nini, tuvamiwe na nani, Sultani?

Mbona ma sultani wa Emirati wamevamia na kuchukua bandari na ardhi na hifadhi kwa kupitia upenyo wa Mzanzibari ??????

Tethering our country Tanganyika in a super costly union to a miniscule Island of Zanzibar was the most ignoramus decision in the annals of African nation formation history
Nyerere sasa hivi ni mtakatifu. Shauri yako
 
Mapinduzi ya Zanzibar yalikuwa tarehe 12/1/1964..

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulikuwa tarehe 26/4/1964..

Huoni kuwa Karume aliomba kuungana na bara ili apate ulinzi wa Mapinduzi yake..??
 
Nyerere aliona mbali sana si ajabu kusingekuwa na muungano tungalikwisha pinduliwa zamani au kuvamiwa na maadui kupitia kisiwa cha Zanzibar.

Kumbukeni Nyerere hakuwa mjinga kama mnavyofikri hasa akina Lissu wenye fikra finyu sana.

Kumbuka security ni muhimu sana kuliko interest zenu na mihemko yenu.
Muungano ni jambo jema,umoja ni nguvu utengano ni udhaifu.

Watu wote wanaolitakia taifa letu tukufu mambo mema wanataka au wangependa kuona muungano wa haki.

Muungano ambao Tanganyika haipo na Zanzibar haipo.Nchi zote mbili zife uwepo muungano ambao Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Muungano ambao Zanzibar ipo Tanganyika haipo ni muungano wa kinafiki,ni muungano usiokuwa wa haki,ni muungano wa mchongo.

Muungano ambao uraia umegawanywa sehemu mbili.Kuna mzanzibar ambaye ni Mtanzania na ni mzanzibar pia huu ni uhuni wa kiwango cha kutisha.Kuna mtanzania wa Tanganyika ambaye hana haki Zanzibar ni muungano wa fedhea na hata wanao shabikia wamejaa unafiki mkubwa.
 
Kwamba Tanganyika iliopigana na Uganda ishindwe kupambana na kisiwa ambacho hakifiki ukubwa hata wa mkoa? Huu upumbavu wa kiwango cha medani kabisa.

Magaidi ya kidini sio taifa, jifunze na kinachotendeka pale Gaza, kaeneo kadogo lakini inabidi aidha uchague kuua watu milioni ndio ufaulu kuua magaidi 30,000 waliojificha ndani ya hao watu.
 
Magaidi ya kidini sio taifa, jifunze na kinachotendeka pale Gaza, kaeneo kadogo lakini inabidi aidha uchague kuua watu milioni ndio ufaulu kuua magaidi 30,000 waliojificha ndani ya hao watu.
Askari wa islael wanauaw kinyama ila vyimbo vya magharibi havitangazi
 
Akuna anaekata muungano,tunataka Muungano wa haki, tumepakana na nchi ngapi mpaka useme bila muungano basi wenda nchi ingeisha pinduliwa?

Ieleweke Mwalim kama aliekua kiongonzi alikua na fikra zake juu ya Muungano huu lakini je kwa muundo wa Muungano ulivyo unawezaje kujua kwamba kwa wakati huu kama angekuepo basi angeshauri usukwe tena?

Watu wenye akili zao wameuzungumzia Muungano huu na kwa mapana
Wakiemo wakina Mchungaji Mtikila, Mzee wetu Warioba wewe ni nani upinge?

Hivi mfano wa mzee WARIOBA na utumishi wake katika Taifa hili unaweza ukawa unayajua Mengi kushinda yeye hasa linapokuja swala la Muungano,

Haya mambo tuwachie watahalam sio kila mtu anaweza yazungumzia Mambo aya ,tofauti nakuja na mihemuko isio na tija
Pumba
 
Back
Top Bottom