mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Yaan mkuu umasikin wako ameuleta nyerere?bandari nyerere ndio anaiuza?aisee...shida ya maji hapo kijijin kwako kaileta Nyerere...?shule imekaa miaka 10 Haina mwalimu,ni NYERERE KASABABISHA?Kila mmoja anajua kuwa wewe ni zezeta
Asante kwa ilm hii kubwa, mimi ni mtanganyika na sikuwahi kuona faida ya muungano huu hadi kulazimika kuizika Tanganyika.Wazenji kwa kudeka na kujidai mnaonewa hamujambo.
ASP alianzisha Nyerere usiku wa tarehe 5/2/1957 mtaa wa Kariakoo Michenzani Zanzibar.
Nyerere alianzisha akiwepo msaidizi wa Katibu wa Tanu Zubeir Mtemvu.
Mwalimu Nyerere aliwaajiri Mmalawi Abeid Karume aliekuwa anatetea wafanyakazi weusi wakati wa unyanyasaji na alitumia tawi la Tanganyika African Association ya Nyerere (Zanzibar yeye na Nyerere walikiita simple tu AFRICAN ASSOCIATION).
Mbinu za Zanzibar kujiondoa CCM ilikuwa ajenda ya Amani Karume Rais wa Zanzibar 2000 hadi 2010, sasa ajenda hiyo ipo kazini sana, ili Zanzibar iwe na Mamlaka kamili juu ya siasa. Hili ndio kosa halisi lililomfukuza Ali Karume kulikataa na kulipigia kelele kuwa sio jama jema Zanzibar kujitoa CCM taifa. (Ali Karume ndio kati ya watoto wa hayati Karume ndie anopenda Muungano) Amani hapana hata kidogo.
Unauliza maji kijijini ikiwa ni kosa la Nyerere!?..unavijua vijiji vya ujamaa!?..Leo mkoa wa tabora na shinyanga wanatumia maji ziwa Viktoria,shinyanga walianza kipindi Cha mkapa,tabora Cha magu!?..tabora mradi wa maji Viktoria umegharimu zaidi ya TSH 500b,unadhani mwinyi angekuta Nyerere kaacha nchi vizuri tabora wangesubiri maji ya uhakika kwa miaka zaidi ya 50 tangu uhuru!?..umasikini wa watz unatokana na kuuzwa bandari (ikiwa kweli imeuzwa)?..uwe unafikiri, viongozi wanaitwa hayati(kiarabu i.e aliye hai) kwa kuwa matendo yao milele yatagusa/athiri jamiiYaan mkuu umasikin wako ameuleta nyerere?bandari nyerere ndio anaiuza?aisee...shida ya maji hapo kijijin kwako kaileta Nyerere...?shule imekaa miaka 10 Haina mwalimu,ni NYERERE KASABABISHA?
MIAKA 25 IMEPITA MWACHEN MZEE WA WATU APUMZIKE...
HAJAKUSHIKIA AKILI,BADILISHA KILE UNACHOKIONA HAKIFAI...MUDA UNAO..ACHA KULALAMA KIBOYA
Cheza nafasi Yako,usijifanye hukioni kirusi kibaya Cha nchi HII
Namkumbuka hayati Oscar Kambona...Hallo,
Moja kwa moja kwenye uzi, katika kumzungumzia J.K.Nyerere upande wake wa mazuri ndio unaotukuzwa sana kwa sifa kedekede hali hii imefanya upande wake mbovu kutokuzungumzwa.
Katika makosa makubwa aliyofanya huyu mzee ni kutengeneza taifa la kijinga, sio upande wa Tanganyika wala sio huu muungano uchwara wa kipuuzi aliouasisi mambo kote hovyo hovyo.
Nyerere aligeuza kikundi chake (wanasiasa) Tanganyika na Tanzania kuwa miungu watu, wao ndio sheria, amri na watafasiri haki kwa Watanganyika na Watanzania.
Nyerere alitengeneza Watanganyika kuwa mazezeta yake ya ndio mzee kwa kila uchafu utakaofikiriwa na kiongozi yeyote mwenye mamlaka hapa nchini. Hali hii imepelekea kutumiwa na Marais wote waliomfuata sioni ikikoma mbele bila jitihada stahiki kuchukuliwa.
Leo Tanganyika na Tanzania anaweza akaongoza nchi hata mtoto mdogo wa miaka miwili na hakuna reaction yoyote itafanyika. Hata jiwe linaweza kugeuzwa Rais na hakuna kitu chochote kitatokea nchini.
Mwalimu Nyerere alijenga taifa la kifala sana kuwahi kuliona duniani mpaka sasa kwa umri huu nilio nao.
Next thread nita zungumzia makosa yake katika vyombo vya ulinzi na usalama, vyama vya ushirika, vyama vya siasa.
Kwani Lissu ni malaika?Uliwahi kumuona Lissu akimtukana Nyerere live? Jionee.
Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu
Katika mwendelezo wa kupinga mawazo na mfumo wa utawala wa Mwl. Nyerere. Tundu Lissu amepasua jipu ambalo wengi huwa wanaogopa kulipasua pale aliposema kuwa Mwl. Nyerere alikuwa ni "msanii wa kisiasa" kwa sababu aliyokuwa anayasema siyo yale aliyokuwa anayatenda kuhusiana na suala la Muungano...www.jamiiforums.com
Siku nilivyomuona Lissu akisema hivyo nikasena huyu sasa kajichoka.
Waache hao, ni wajinga wapumbavu maana hata nikiwaita wajinga nitakuwa nawahurumia, wana chuki binafsi na Nyerere wasikusumbue.Yaan mkuu umasikin wako ameuleta nyerere?bandari nyerere ndio anaiuza?aisee...shida ya maji hapo kijijin kwako kaileta Nyerere...?shule imekaa miaka 10 Haina mwalimu,ni NYERERE KASABABISHA?
MIAKA 25 IMEPITA MWACHEN MZEE WA WATU APUMZIKE...
HAJAKUSHIKIA AKILI,BADILISHA KILE UNACHOKIONA HAKIFAI...MUDA UNAO..ACHA KULALAMA KIBOYA
Cheza nafasi Yako,usijifanye hukioni kirusi kibaya Cha nchi HII
Nyerere huyo,ili awatawale vizuri.Mwenyekiti wa CCM. Mzee huyu alipenda madaraka kweli kweli.Karume aliuawa mwaka 1972, aliacha chama cha ASP kikiwa madarakani. Miaka mitano baadaye ASP ikauunganishwa na TANU kuunda CCM.
Natafakari tu kama Karume alitaka vyama navyo viunganishwe, ikawa sababu ya kuuawa. 💬 🤔
Kwani Lissu ni malaika?
Miaka yote ukiona jina la Nyerere miaka yote unahemkwa sana bibi.
Kabisa !Kuna akili ndogo zinaztaka kutawala hapa JF, sharti zipigwe matofali zikafie mbali.
Nimewahi kusikiliza Interview ya Kambona Jamaa alikuwa na maono sana na ni mtu Smart.Kambona baada ya kuleta upinzani Mchonga akaanza kumwita Malaya..
Kambona angetupaisha sana kuliko tulivyo sahivi.
Nchi ngapi ambazo uchumi wao ulikuwa sawa wakati Nyerere anatoka madarakani na Leo imetuacha mbali sana ?Kwamba miaka 24;ya utawala wa Nyerere Haina athari kwa Tanzania?!..kufukia shimo la miaka 24 so kazi ndogo, ujerumani ilichakaa WWII,Leo uchumi mkubwa ulaya,ilichukua miaka mingapi?..unajua nchi aliyorithi mwinyi!?..hovyo,raia viraka tu,njaa,shule hakuna,hebu fikiria mwinyi angerithi nchi kiuchumi imechangamka Kama kipindi Cha jakaya,Leo tungekua wapi?..scent ya Nyerere itakuwepo walau kwa miaka 30 ijayo
Lakini matokeo yake alifukuzwaNimewahi kusikiliza Interview ya Kambona Jamaa alikuwa na maono sana na ni mtu Smart.
Wapo watu ambao walizaliwa wakati Nyerere siyo Rais na sasa ni millionaires.Kwamba miaka 24;ya utawala wa Nyerere Haina athari kwa Tanzania?!..kufukia shimo la miaka 24 so kazi ndogo, ujerumani ilichakaa WWII,Leo uchumi mkubwa ulaya,ilichukua miaka mingapi?..unajua nchi aliyorithi mwinyi!?..hovyo,raia viraka tu,njaa,shule hakuna,hebu fikiria mwinyi angerithi nchi kiuchumi imechangamka Kama kipindi Cha jakaya,Leo tungekua wapi?..scent ya Nyerere itakuwepo walau kwa miaka 30 ijayo
Watu,wawili watatu siyo!?..wakati wa Nyerere ikiwa na baiskeli na radio we tajiriWapo watu ambao walizaliwa wakati Nyerere siyo Rais hawana kitu na saivi ni millionaires.
Mi najua Malaysia tu ndo mfano wenu, Malaysia haikupigana senseless warNchi ngapi ambazo uchumi wao ulikuwa sawa wakati Nyerere anatoka madarakani na Leo imetuacha mbali sana ?
Zaidi ya asilimia 80 ya watanzania walizaliwa baada ya Nyerere kutoka madarakani. Ni mamilionea wanagapi saivi Tanzania walizaliwa baada ya Nyerere kutoka madarakani? Nyerere alimkataza Mwinyi kufanya mabadiliko, je alimkataza Mkapa,Kikwete na Magufuli kufanya mabadiliko? Je Nyerere anahusikaje kumzuia Samia asifanye mabadiliko ambayo anaona yanaweza kujenga nchi?Aliacha msingi mbovu
Kama huwezi unasubiria Nyerere afufuke?Sasa mkuu,
Kwa mifumo iliyopo ya wanasiasa na viongozi wakubwa kuwa na kinga kubwa ya kuto kukosolewa una anzaje kurekebisha makosa?
Mtu mzima kupambana na Marehemu ni upungufu wa akiliUliwahi kumuona Lissu akimtukana Nyerere live? Jionee.
Tundu Lissu: Mwl. Nyerere alizoea kuishi kwa uongo na udanganyifu
Katika mwendelezo wa kupinga mawazo na mfumo wa utawala wa Mwl. Nyerere. Tundu Lissu amepasua jipu ambalo wengi huwa wanaogopa kulipasua pale aliposema kuwa Mwl. Nyerere alikuwa ni "msanii wa kisiasa" kwa sababu aliyokuwa anayasema siyo yale aliyokuwa anayatenda kuhusiana na suala la Muungano...www.jamiiforums.com
Siku nilivyomuona Lissu akisema hivyo nikasena huyu sasa kajichoka.