Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

Tanganyika na Zanzibar zinatumia kikokotoo gani kugawana fedha?

Articles za union, ziliweka Tume ya pamoja ya fedha. Zanzibar na Tanzania Bara, zilitakiwa kuchangia gharama za uendeshaji wa serikali ya muungano. Ili Zanzibar ichangie gharama za uendeshaji wa muungano, ni kwanza gharama hizo ziainishwe. Ili gharama za uendeshaji wa muungano ziainishwe, lazima tuwe na serikali 3. SMZ Zanzibar wajibebe, STB, Tanzania Bara wajibebe, na serikali ya JMT, hii ndio ichangiwe na SMZ na STB.

Kwa sasa ndani ya serikali ya JMT, there is no demarcation ya gharama za uendeshaji wa muungano kwa sababu serikali hiyo hiyo ya JMT ndio serikali ya muungano kwa wizara za muungano, at the same time ndio serikali ya Tanganyika kwa shughuli ambazo sio za muungano. Zanzibar ina haki na uhalali wa kugomea kuchangia gharama zisizojulikana, as a result, ni Tanzania Bara pekee ndio inagharimikia gharama za uendeshaji wa muungano.
P
Hii ni habari kubwa sana
 
Articles za union, ziliweka Tume ya pamoja ya fedha. Zanzibar na Tanzania Bara, zilitakiwa kuchangia gharama za uendeshaji wa serikali ya muungano. Ili Zanzibar ichangie gharama za uendeshaji wa muungano, ni kwanza gharama hizo ziainishwe. Ili gharama za uendeshaji wa muungano ziainishwe, lazima tuwe na serikali 3. SMZ Zanzibar wajibebe, STB, Tanzania Bara wajibebe, na serikali ya JMT, hii ndio ichangiwe na SMZ na STB.

Kwa sasa ndani ya serikali ya JMT, there is no demarcation ya gharama za uendeshaji wa muungano kwa sababu serikali hiyo hiyo ya JMT ndio serikali ya muungano kwa wizara za muungano, at the same time ndio serikali ya Tanganyika kwa shughuli ambazo sio za muungano. Zanzibar ina haki na uhalali wa kugomea kuchangia gharama zisizojulikana, as a result, ni Tanzania Bara pekee ndio inagharimikia gharama za uendeshaji wa muungano.
P
Kura za 2025 zitaongozwa na mambo kama haya.
 
There's no first and hard rules, Zanzibar ni wenzetu, tunaweza kugawana hadi 50/50 na hakuna ubaya wowote, Ila uwiano wa kuwianika kati ya Tanzania Bara na Tanzania Visiwani ni asilimia 4.5% kwa 95.5%.
P
Kama Zanzibar ni wenzetu, kwahiyo Mtanganyika akitaka kununua ardhi Zanzibar ili aishi huko atauziwa?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kama Zanzibar ni wenzetu, kwahiyo Mtanganyika akitaka kununua ardhi Zanzibar ili aishi huko atauziwa?

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kila Mzanzibari, pia ni Mtanzania, ana haki zote za kiraia za Mtanzania ikiwemo kumiliki ardhi, lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari, haki milki ya ardhi ya Zanzibar ni Kwa Wanzanzibari pekee.

Ukioa mahali, ndugu zako wanaendelea kuwa ni ndugu zako na na unawajumlisha ndugu wa mkeo kuwa ndugu zako, wanaweza kuja kulala kwako wakati wowote, lakini wewe kwa upande wa ukweni huwezi tuu kujiendea ukweni kama unavyoweza kujiendea kwenu.

Muungano ni kama ndoa, ndani ya muungano, Zanzibar ni ukweni, wakwe wako huru kuja kwako anytime, na kufanya chochote lakini lakini wewe huwezi kujiendea tuu ukweni na kufanya chochote. Wanaoweza kufanya chochote ukweni ni wakwe tuu!.
P
 
Tanganyika/Tanzania Bara na Zanzibar zina idadi tofauti la ukubwa wa eneo, idadi ya watu, mikoa, Wilaya, majimbo, bila shaka na kata, vijiji na vitongoji.

Juzi nikasikia kuwa kwa zoezi la kuweka anuani za makazi Tanganyika imepewa sh. 1billion kila mkoa na Zanzibar sh. 500,000,000 (nusu bil.) Kila mkoa. Nikajiuliza hivi tunatumia formula gani katika kugawana fedha kati ya Tanganyika na Zanzibar?

Anaefahamu naomba anijuze tafadhali.
duh hivi hawaangalii hata idadi ya watu? zote zinapewa flat rate? Maana kuna tofauti ya mkoa na Mkoa, mikoa mengine jiografia yake na idadi ya watu sio rafiki sana, na kuna mikoa baadhi ambayo idadi yake sio kubwa sana na eneo lake sio kubwa.

Sijajua hii ipoje lakini natumai kuna namna ambavyo imetumika ili kufidia
 
Articles za union, ziliweka Tume ya pamoja ya fedha. Zanzibar na Tanzania Bara, zilitakiwa kuchangia gharama za uendeshaji wa serikali ya muungano. Ili Zanzibar ichangie gharama za uendeshaji wa muungano, ni kwanza gharama hizo ziainishwe. Ili gharama za uendeshaji wa muungano ziainishwe, lazima tuwe na serikali 3. SMZ Zanzibar wajibebe, STB, Tanzania Bara wajibebe, na serikali ya JMT, hii ndio ichangiwe na SMZ na STB.
Kwanza, tume ya pamoja ya fedha ni moja ya kero za muungano.

Hivi karibuni zimeshughulikiwa baada ya Rais SSH kuingia madarakani.

Kinachoshangaza ni usiri uliotanda na kwanini kuna usiri

Pili, kwamba, lazima tuwe na serikali 3 nakubaliana nalo.

Kwasasa taasisi za muungano ni za Tanganyika kwa kubeba gharama, katika faida kama ajira ni taasisi za Muungano.

Hakuna taasisi iliyopo bara isiyo na mbdala Zanzibar.
Ikiwa ni hivyo, kwanini taasisi za Bara ziitwe za muungano?
Kwa sasa ndani ya serikali ya JMT, there is no demarcation ya gharama za uendeshaji wa muungano kwa sababu serikali hiyo hiyo ya JMT ndio serikali ya muungano kwa wizara za muungano, at the same time ndio serikali ya Tanganyika kwa shughuli ambazo sio za muungano.
Nakubaliana nawe kabisa na ndio msingi wa kutaka uwepo mpaka.

Hili ni kwa faida ya Watanganyika. Kwa mfano, Tanganyika imebeba gharama zote za muungano. Katika hilo imeibeba Zanzibar 100% nkwa kupitia Tanganyika Zanz ipo vizuri tu

Kwa mfano Zanzibar wanalipa Wazee Pensheni hata kama hawakuwahi kufanya kazi.

Si kwamba wana uchumi mkubwa bali hawana gharama zozote za kuendesha nchi.

Ulinzi na usalama, mambo ya ndani, nje, Wizara na Taasisi za muungano, 4.5% ya pato la Tanganyika , mikopo inayolipwa na machogo , mambo hayo yanatosha kabisa kuwa na ziada.
Zanzibar ina haki na uhalali wa kugomea kuchangia gharama zisizojulikana, as a result, ni Tanzania Bara pekee ndio inagharimikia gharama za uendeshaji wa muungano.
P
Hapana, kama ina haki ya kugomea gharama zisizojulikana, je, gharama za kuendesha Wizara ya ulinzi, Mambo ya ndani, Nje na Taasisi za muungano hawajui gharama zake?

Kama hawajui, kwanini kuna formula ya kugawana kodoi za Watanganyika ?
Kama hawajui kwanini wanachotewa 4.5% ya pato la kodi za Watanganyika?
Kama hawajui kwanini wanakopa na hakuna formula ya kurudisha bali zigo kwa Mtanganyika?
Kama hawajui kwanini wanadai 21% ya ajira? Nani anawalipa hao

Kwanini Zanzibar ni wazuri wa kugawana lakini hawajui kuchangia?

Kuna tatizo ! kwa bahati nzuri Watanganyika a.k.a Machogo hawajui !
 
Wazanzibar walielemika miaka mingi sana kabla ya Tanganyika, wote walikuwa wanajuwa kusoma na kuandika tangu wakati wa mkoloni, walikuwa na maji, schools, television siku nyingi sana nyuma kabla ya Tanganyika. Hivyo Hata kwenye meza ya majadiliano wako vizuri sana na ndio maana Zanzibar IPO na Tanganyika imekufa. Watu wa Bara hata kuingia mikataba ya madini Yao wanashindwa kupata faida. Mfano, Tanganyika tumekwenda kukomboa nchi nyingine bila makubaliano ya aina yoyote, pesa zetu nyingi zilipotelea huko.
Yes na machogo wanakusoma vizuri nadhani.
Siku machogo wakiamka ! sijui itakuwaje.

Kwa upande wa kuelimika sina comment! kuwa na TV ukijisaidia baharini sijui!
TV unayosikia walikuwa wanaangalia Waarabu, wengine walikuwa wanalinda bawaba!
 
Kwanza, tume ya pamoja ya fedha ni moja ya kero za muungano. Hivi karibuni zimeshughulikiwa baada ya Rais SSH kuingia madarakani. Kinachoshangaza ni usiri uliotanda na kwanini kuna usiri.
Hakuna usiri wowote isipokuwa ni utaratibu wa kawaida wa Tume zote, hufanya kazi zake in strictly confidential halafu jambo likiisha kamilika ndipo ripoti hutolewa.

Hata uendeshaji wa familia kuna mambo ya wazi kama mambo ya jikoni, sebuleni, kiambazani etc na kuna mambo ya faragha, yale ya chumbani, mfano huwezi kutangazia ulimwengu " Leo tulikuwa busy kutengeneza mtoto", mtatengeneza mtoto kimya kimya, akiisha tengenezeka, pia husemi, bali watu wataona mtu anaumuka, watajua hapa tayari mtoto ametengenezwa, ila siku akizaliwa ndipo unatangazia watu wa karibu ujio wa Mgeni na siku ya Arobaini unapomtoa nje, ndipo unatangazia umma.

Hivyo siku mtoto wa Tume ya Pamoja ya Fedha akizaliwa, tutatangaziwa.
Pili, kwamba, lazima tuwe na serikali 3 nakubaliana nalo. Kwasasa taasisi za muungano ni za Tanganyika kwa kubeba gharama, katika faida kama ajira ni za Muungano.
Hakuna taasisi iliyopo bara isiyo na mbdala Zanzibar. Ikiwa ni hivyo, kwanini taasisi za Bara ziitwe za muungano?.
Sii kweli, Taasisi za muungano ni zile Taasisi za mambo ya muungano ambapo ni Taasisi moja hiyo hiyo iko Bara na Visiwani, mfano BOT, tena muundo wa Taasisi hizi ulipaswa kuwa wa kimuungano, mfano top akitoka upande mmoja, deputy atoke upande wa pili kama ilivyo kwa Rais na VP.

Taasisi za muungano zenye muundo huu ni BOT tuu na Wizara za muungano, Waziri akitoka upande mmoja, naibu Waziri anatoka upandewa pili, This should have been done to Police kuwe na deputy IGP, CDF kuwa na deputy CDF, and do the same kwa Taasisi zote za muungano likiwemo shirika la Posta, TCRA, TCAA, Sumatra etc, tena tumewadhulumu sana Zanzibar kwa miaka yote tangu tumeungana,

Taasisi zote za muungano zinaongozwa na watu kutoka bara pekee as if Zanzibar hakuna watu wenye uwezo huo. this is not fair. . Sasa ni wakati wa kuwa na gavana wa BOT kutoka Zanzibar, CDF kutoka Zanzibar, IGP kutoka Zanzibar
Nakubaliana nawe kabisa na ndio msingi wa kutaka uwepo mpaka.
Hili ni kwa faida ya Watanganyika. Kwa mfano, Tanganyika imebeba gharama zote za muungano
Katika hilo imeibeba Zanzibar 100% na hivyo Zanzibar kwa kupitia Tanganyika ipo vizuri tu

Kwa mfano Zanzibar wanalipa Wazee Pensheni hata kama hawakuwahi kufanya kazi. Si kwamba wana uchumi mkubwa kiasi hicho bali hawana gharama zozote za kuendesha nchi.
Ulinzi na usalama, mambo ya ndani, nje, Wizara na Taasisi za muungano na hata, 4.5% ya pato la Tanganyika , mikopo inayolipwa na machogo , mambo hayo yantosha kabisa kuwa na ziada.
Mgao wa 4.5% sio mgao wa GDP ya Tanzania, bali ni mgao wa fedha za mikopo na misaada kutoka nje.
Na kwenye mikopo, Zanzibar ina haki ya kukopa kwa udhamini wa JMT, lakini sio kweli kuwa wanalipa mkopo huo ni machogo, Zanzibar ikikopa, JMT inawadhamini tuu kwasababu Zanzibar sio nchi, haiwezi kukopa mikopo ya kimataifa, Tanzania ndio nchi, hivyo Zanzibar ina haki ya kukopa ila ni kwa kudhaminiwa na JMT lakini kwenye kulipa huo mkopo, Zanzibar wanalipa wenyewe, ila endapo Zanzibar akishindwa kulipa, ndipo mdhanini anaingilia kati na kumlipia, Zanzibar haijawahi kushindwa kulipa mikopo yake
Hapana, kama ina haki ya kugomea gharama zisizojulikana, je, gharama za kuendesha Wizara ya ulinzi, Mambo ya ndani, Nje na Taasisi za muungano hawajui gharama zake?

Kama hawajui, kwanini kuna formula ya kugawana kodi za Watanganyika ?
Kama hawajui kwanini wanachotewa 4.5% ya pato la kodi za Watanganyika?
Kama hawajui kwanini wanakopa na hakuna formula ya kurudisha bali zigo kwa Mtanganyika?

Kwanini Zanzibar ni wazuri wa kugawana lakini hawajui kuchangia?
Hili la mgao wa 4.5% niliisha lifafanua sio 4.5% ya kodi za Watanzania au pato la taifa, mgao wa 4.5% ni pato la mikopo na misaada ya kimataifa ya kimaendeleo.

Wizara zote za muungano, mfano Mambo ya Ndani, Nje, Ulinzi, etc, zote ndani yake kuna mambo ya muungano,at the same time ndizo be Wizara za Bara. hakuna dermacation za kibajeti kuwa ndani ya wizara ya MFA, Jeshi au Polisi , this sum is gharama za muungano na this sum sio za muungano.

Tuiachie Tume ya pamoja ya fedha iendelee na mchakato chakula kikiiva kitapakuliwa na kuletewa mezani tayari kwa mlo.
Kuna tatizo na Watanganyika kwa bahati nzuri Watanganyika a.k.a Machogo hawajui !
Hakuna tatizo na Watanzania, Zanzibar ni sehemu yetu, na muungano ni kama ndoa, jee unatatizo lolote iwapo mwenza wako atakufaidi kwa namna yoyote?. Kama una upendo wa kweli, mwenza akifaidi, ndio umefaidi wewe!.

Mkiungana wawili nyie mnakuwa wamoja, Tanzania ni nchi moja.
P
 
Hakuna usiri wowote isipokuwa ni utaratibu wa kawaida wa Tume zote, hufanya kazi zake in strictly confidential halafu jambo likiisha kamilika ndipo ripoti hutolewa. Hata uendeshaji wa familia kuna mambo ya wazi kama mambo ya jikoni, sebuleni, kiambazani etc na kuna mambo ya faragha, yale ya chumbani, mfano huwezi kutangazia ulimwengu " Leo tulikuwa busy kutengeneza mtoto", mtatengeneza mtoto kimya kimya, akiisha tengenezeka, pia husemi, bali watu wataona mtu anaumuka, watajua hapa tayari mtoto ametengenezwa, ila siku akizaliwa ndipo unatangazia watu wa karibu ujio wa Mgeni na siku ya Arobaini unapomtoa nje, ndipo unatangazia umma. Hivyo siku mtoto wa Tume ya Pamoja ya Fedha akizaliwa, tutatangaziwa.

Sii kweli, Taasisi za muungano ni zile Taasisi za mambo ya muungano ambapo ni Taasisi moja hiyo hiyo iko Bara na Visiwani, mfano BOT, tena muundo wa Taasisi hizi ulipaswa kuwa wa kimuungano, mfano top akitoka upande mmoja, deputy atoke upande wa pili kama ilivyo kwa Rais na VP. Taasisi za muungano zenye muundo huu ni BOT tuu na Wizara za muungano, Waziri akitoka upande mmoja, naibu Waziri anatoka upandewa pili, This should have been done to Police kuwe na deputy IGP, CDF kuwa na deputy CDF, and do the same kwa Taasisi zote za muungano likiwemo shirika la Posta, TCRA, TCAA, Sumatra etc, tena tumewadhulumu sana Zanzibar kwa miaka yote tangu tumeungana, Taasisi zote za muungano zinaongozwa na watu kutoka bara pekee as if Zanzibar hakuna watu wenye uwezo huo. this is not fair. . Sasa ni wakati wa kuwa na gavana wa BOT kutoka Zanzibar, CDF kutoka Zanzibar, IGP kutoka Zanzibar

Mgao wa 4.5% sio mgao wa GDP ya Tanzania, bali ni mgao wa fedha za mikopo na misaada kutoka nje.
Na kwenye mikopo, Zanzibar ina haki ya kukopa kwa udhamini wa JMT, lakini sio kweli kuwa wanalipa mkopo huo ni machogo, Zanzibar ikikopa, JMT inawadhamini tuu kwasababu Zanzibar sio nchi, haiwezi kukopa mikopo ya kimataifa, Tanzania ndio nchi, hivyo Zanzibar ina haki ya kukopa ila ni kwa kudhaminiwa na JMT lakini kwenye kulipa huo mkopo, Zanzibar wanalipa wenyewe, ila endapo Zanzibar akishindwa kulipa, ndipo mdhanini anaingilia kati na kumlipia, Zanzibar haijawahi kushindwa kulipa mikopo yake

Hili la mgao wa 4.5% niliisha lifafanua sio 4.5% ya kodi za Watanzania au pato la taifa, mgao wa 4.5% ni pato la mikopo na misaada ya kimataifa ya kimaendeleo.
Wizara zote za muungano, mfano Mambo ya Ndani, Nje, Ulinzi, etc, zote ndani yake kuna mambo ya muungano,at the same time ndizo be Wizara za Bara. hakuna dermacation za kibajeti kuwa ndani ya wizara ya MFA, Jeshi au Polisi , this sum is gharama za muungano na this sum sio za muungano. Tuiachie Tume ya pamoja ya fedha iendelee na mchakato chakula kikiiva kitapakuliwa na kuletewa mezani tayari kwa mlo.

Hakuna tatizo na Watanzania, Zanzibar ni sehemu yetu, na muungano ni kama ndoa, jee unatatizo lolote iwapo mwenza wako atakufaidi kwa namna yoyote?. Kama una upendo wa kweli, mwenza akifaidi, ndio umefaidi wewe!. Mkiungana wawili nyie mnakuwa wamoja, Tanzania ni nchi moja.
P
Shukrani kwa ufafanuzi mzuri, kwani nimepata picha ya vingi ambavyo vimezingatiwa na vingine vingi zaidi ambavyo vinapaswa kuzingatiwa, lakini mi bado kuna hiki kimoja ambacho bado sina uelewa wake ila ningependa kupata ufafanuzi toka kwa wanajukwaa nacho ni mipaka ya kiutendaji baina ya mamlaka za kukusanya mapato za TRA na ile ya Zanzibar ZRA (kama sikosei)

hii kidogo sijaelewa mchanganuo wao kiutendaji unakuwaje hasa katika mipaka ya ukusanyaji wa mapato kule upande wa visiwani na ni kiasi gani kinaletwa kwenye kapu la pamoja

Kuhusu Zanzibari kushindwa kulipa mikopo or madai nafikiri mifano ipo, mfano ni deni la umeme ambalo walipaswa walipe TANESCO lakini walishindwa kufanya hivyo mpaka JPM alipolifuta deni hilo.

hivyo kushindwa kulipa madeni yao or mikopo yao pia inaweza kuwepo ya ziada, ila taarifa ndio isifahamike kwa umma
 
Tanganyika/Tanzania Bara na Zanzibar zina idadi tofauti la ukubwa wa eneo, idadi ya watu, mikoa, Wilaya, majimbo, bila shaka na kata, vijiji na vitongoji.

Juzi nikasikia kuwa kwa zoezi la kuweka anuani za makazi Tanganyika imepewa sh. 1billion kila mkoa na Zanzibar sh. 500,000,000 (nusu bil.) Kila mkoa. Nikajiuliza hivi tunatumia formula gani katika kugawana fedha kati ya Tanganyika na Zanzibar?

Anaefahamu naomba anijuze tafadhali.
Duuh!

Kwani Zanzibar ina mikoa mingapi?

Hata hizo fedha za anuani za makazi wanachukua kutoka 'shamba la bibi' Tanganyika?!
 
Kila Mzanzibari, pia ni Mtanzania, ana haki zote za kiraia za Mtanzania ikiwemo kumiliki ardhi, lakini sio kila Mtanzania ni Mzanzibari, haki milki ya ardhi ya Zanzibar ni Kwa Wanzanzibari pekee.

Ukioa mahali, ndugu zako wanaendelea kuwa ni ndugu zako na na unawajumlisha ndugu wa mkeo kuwa ndugu zako, wanaweza kuja kulala kwako wakati wowote, lakini wewe kwa upande wa ukweni huwezi tuu kujiendea ukweni kama unavyoweza kujiendea kwenu.

Muungano ni kama ndoa, ndani ya muungano, Zanzibar ni ukweni, wakwe wako huru kuja kwako anytime, na kufanya chochote lakini lakini wewe huwezi kujiendea tuu ukweni na kufanya chochote. Wanaoweza kufanya chochote ukweni ni wakwe tuu!.
P
Na hili sio kosa la wazanzibar hata kidogo, ni kosa la watanganyika wenyewe kuamua kuimaliza Tanganyika yao wenyewe wakidhani kuwa na Wazanzibar wangekuwa wajinga pia kama wao kuimaliza Zanzibar yao ili ibaki Tanzania moja.

Mzee wetu aligonga mwamba kwa niaba yetu sote, tujifunze kufunika kombe
 
duh hivi hawaangalii hata idadi ya watu? zote zinapewa flat rate? Maana kuna tofauti ya mkoa na Mkoa, mikoa mengine jiografia yake na idadi ya watu sio rafiki sana, na kuna mikoa baadhi ambayo idadi yake sio kubwa sana na eneo lake sio kubwa.

Sijajua hii ipoje lakini natumai kuna namna ambavyo imetumika ili kufidia
Unapotoa 1 bil kwa mkoa wa shinyanga uweke anwani za makazi na 0.5 bil kwa mkoa wa mjini magharibi sijui imezingatiwa nini, idadi ya mitaa, idadi ya wilaya au umbali kati ya wilaya na wilaya na mtaa na mtaa au imeamuliwa tu kutoka kichwani?
 
Tulieni sasa dawa inaingia vema, ni zamu yenu kulialia kuhusu muungano.
 
Kwanza, tume ya pamoja ya fedha ni moja ya kero za muungano.

Hivi karibuni zimeshughulikiwa baada ya Rais SSH kuingia madarakani.

Kinachoshangaza ni usiri uliotanda na kwanini kuna usiri

Pili, kwamba, lazima tuwe na serikali 3 nakubaliana nalo.

Kwasasa taasisi za muungano ni za Tanganyika kwa kubeba gharama, katika faida kama ajira ni taasisi za Muungano.

Hakuna taasisi iliyopo bara isiyo na mbdala Zanzibar.
Ikiwa ni hivyo, kwanini taasisi za Bara ziitwe za muungano?

Nakubaliana nawe kabisa na ndio msingi wa kutaka uwepo mpaka.

Hili ni kwa faida ya Watanganyika. Kwa mfano, Tanganyika imebeba gharama zote za muungano. Katika hilo imeibeba Zanzibar 100% nkwa kupitia Tanganyika Zanz ipo vizuri tu

Kwa mfano Zanzibar wanalipa Wazee Pensheni hata kama hawakuwahi kufanya kazi.

Si kwamba wana uchumi mkubwa bali hawana gharama zozote za kuendesha nchi.

Ulinzi na usalama, mambo ya ndani, nje, Wizara na Taasisi za muungano, 4.5% ya pato la Tanganyika , mikopo inayolipwa na machogo , mambo hayo yanatosha kabisa kuwa na ziada.

Hapana, kama ina haki ya kugomea gharama zisizojulikana, je, gharama za kuendesha Wizara ya ulinzi, Mambo ya ndani, Nje na Taasisi za muungano hawajui gharama zake?

Kama hawajui, kwanini kuna formula ya kugawana kodoi za Watanganyika ?
Kama hawajui kwanini wanachotewa 4.5% ya pato la kodi za Watanganyika?
Kama hawajui kwanini wanakopa na hakuna formula ya kurudisha bali zigo kwa Mtanganyika?
Kama hawajui kwanini wanadai 21% ya ajira? Nani anawalipa hao

Kwanini Zanzibar ni wazuri wa kugawana lakini hawajui kuchangia?

Kuna tatizo ! kwa bahati nzuri Watanganyika a.k.a Machogo hawajui !
Sasa ni zamu ya watanganyika kulalamika ndani ya muungano, inatisha sana.

Nafahamu kuwa Zanzibar kuna Board ya Mikopo kwa wanafunzi wazanzibar tu, lakini pia wanafunzi wa zanzibar pia wanapata mikopo kwenye board ya mikopo ya Tanzania THESLB.
 
Yes na machogo wanakusoma vizuri nadhani.
Siku machogo wakiamka ! sijui itakuwaje.

Kwa upande wa kuelimika sina comment! kuwa na TV ukijisaidia baharini sijui!
TV unayosikia walikuwa wanaangalia Waarabu, wengine walikuwa wanalinda bawaba!
ukikaa na uwaridi unanukia, sisi tuliyafukuza mauaridi yetu mapema tukabaki na watu wanadai Tanganganyika haiko huru hadi afrika yote iwe huru, wakati huo tunasema hivyo mzee karume alikuwa bize kuwajengea wazanzibar magorofa ya makazi, viwanja vizuri vya michezo, television, radio nzuri yenye mitambo mizuri yenye usikivu mzuri hata tanzania bara kuliko ile ya RTD, anawaletea umeme, maji, na shule watu wake.

Kifupi Tanganyika ilitumia vibaya hela walizorithi kutoka kwa mkoloni na Zanzibar walitumia vizuri fedha walizorithi kutoka kwa mkoloni wao.
 
Hakuna usiri wowote isipokuwa ni utaratibu wa kawaida wa Tume zote, hufanya kazi zake in strictly confidential halafu jambo likiisha kamilika ndipo ripoti hutolewa.

Hata uendeshaji wa familia kuna mambo ya wazi kama mambo ya jikoni, sebuleni, kiambazani etc na kuna mambo ya faragha, yale ya chumbani, mfano huwezi kutangazia ulimwengu " Leo tulikuwa busy kutengeneza mtoto", mtatengeneza mtoto kimya kimya, akiisha tengenezeka, pia husemi, bali watu wataona mtu anaumuka, watajua hapa tayari mtoto ametengenezwa, ila siku akizaliwa ndipo unatangazia watu wa karibu ujio wa Mgeni na siku ya Arobaini unapomtoa nje, ndipo unatangazia umma.

Hivyo siku mtoto wa Tume ya Pamoja ya Fedha akizaliwa, tutatangaziwa.

Sii kweli, Taasisi za muungano ni zile Taasisi za mambo ya muungano ambapo ni Taasisi moja hiyo hiyo iko Bara na Visiwani, mfano BOT, tena muundo wa Taasisi hizi ulipaswa kuwa wa kimuungano, mfano top akitoka upande mmoja, deputy atoke upande wa pili kama ilivyo kwa Rais na VP.

Taasisi za muungano zenye muundo huu ni BOT tuu na Wizara za muungano, Waziri akitoka upande mmoja, naibu Waziri anatoka upandewa pili, This should have been done to Police kuwe na deputy IGP, CDF kuwa na deputy CDF, and do the same kwa Taasisi zote za muungano likiwemo shirika la Posta, TCRA, TCAA, Sumatra etc, tena tumewadhulumu sana Zanzibar kwa miaka yote tangu tumeungana,

Taasisi zote za muungano zinaongozwa na watu kutoka bara pekee as if Zanzibar hakuna watu wenye uwezo huo. this is not fair. . Sasa ni wakati wa kuwa na gavana wa BOT kutoka Zanzibar, CDF kutoka Zanzibar, IGP kutoka Zanzibar

Mgao wa 4.5% sio mgao wa GDP ya Tanzania, bali ni mgao wa fedha za mikopo na misaada kutoka nje.
Na kwenye mikopo, Zanzibar ina haki ya kukopa kwa udhamini wa JMT, lakini sio kweli kuwa wanalipa mkopo huo ni machogo, Zanzibar ikikopa, JMT inawadhamini tuu kwasababu Zanzibar sio nchi, haiwezi kukopa mikopo ya kimataifa, Tanzania ndio nchi, hivyo Zanzibar ina haki ya kukopa ila ni kwa kudhaminiwa na JMT lakini kwenye kulipa huo mkopo, Zanzibar wanalipa wenyewe, ila endapo Zanzibar akishindwa kulipa, ndipo mdhanini anaingilia kati na kumlipia, Zanzibar haijawahi kushindwa kulipa mikopo yake

Hili la mgao wa 4.5% niliisha lifafanua sio 4.5% ya kodi za Watanzania au pato la taifa, mgao wa 4.5% ni pato la mikopo na misaada ya kimataifa ya kimaendeleo.

Wizara zote za muungano, mfano Mambo ya Ndani, Nje, Ulinzi, etc, zote ndani yake kuna mambo ya muungano,at the same time ndizo be Wizara za Bara. hakuna dermacation za kibajeti kuwa ndani ya wizara ya MFA, Jeshi au Polisi , this sum is gharama za muungano na this sum sio za muungano.

Tuiachie Tume ya pamoja ya fedha iendelee na mchakato chakula kikiiva kitapakuliwa na kuletewa mezani tayari kwa mlo.

Hakuna tatizo na Watanzania, Zanzibar ni sehemu yetu, na muungano ni kama ndoa, jee unatatizo lolote iwapo mwenza wako atakufaidi kwa namna yoyote?. Kama una upendo wa kweli, mwenza akifaidi, ndio umefaidi wewe!.

Mkiungana wawili nyie mnakuwa wamoja, Tanzania ni nchi moja.
P
Siku zote hakuna miungano duniani kote isiyokuwa na matatizo, hata USA, UK, Spain, USSR, etc miungano yao ina shida kubwa na mingine ilivunjika. Shida ya miungano ni kama majina tuliyopewa na wazazi wetu bila ridhaa yetu, hivyo kama mzazi alikupa jina la Tumbili basi utaitwa tumbili na kama mzazi wako alikuwa anaitwa Nguchiro basi jina lako utaitwa Tumbili Nguchiro. Hivyo ni lazima tukubali kuwa wazee wetu walikosea kwenye baadhi ya mambo kwa niaba yetu kama vile wakoloni walivyokosea mipaka ya nchi zetu kwaajili yetu na kuzifanya nchi nyingine zikose bahari na nyingine ndogo kabisa na nyingine kubwa kabisa. Tuangalie faida za muungano badala ya hasara zake, maana hakuna kizuri bila kasoro, na usipokubali kuliwa kidogo huli.
 
Back
Top Bottom