Mbunifu 11
Senior Member
- Mar 20, 2015
- 104
- 52
Hbr zenu wakuu,
Nisaidieni kuelewa haya yaliyonikuta; leo nimeamka asubuhi nikachemsha tangawizi kali, kiasi cha kikombe kile kikubwa then nikachanganya na vitu vifuatavyo nusu limao na apple vinegar kiasi cha kijiko kimoja cha chakula nikanywa halafu nikachukua punje 8 zile nene za vitunguu swaumu nikavikatakata nikanywa kwa kusukumizia maji kidogo, jamani jamani baada kama ya dk 40 nimejisikia vibaya sana yaani kama vile nikawa nawasiwasi iliyopitiliza halafu siwezi kutulia, pia nikawa mdhaifu ghafla na kakizunguzungu kwa mbaliii, yaani kama nimelewa hivi halafu pumzi nikawa nahisi kama inabana kwa mbaliii.
Haraka nikanywa maji mengi kidogo nikajisikia afadhali ingawa ingawa ka udhaifu ka Mwili nakahisi kwa mbalii bado kapo hii ni mini jamani? Au huo mchanganyiko haufai kiafya?
Nisaidieni kuelewa haya yaliyonikuta; leo nimeamka asubuhi nikachemsha tangawizi kali, kiasi cha kikombe kile kikubwa then nikachanganya na vitu vifuatavyo nusu limao na apple vinegar kiasi cha kijiko kimoja cha chakula nikanywa halafu nikachukua punje 8 zile nene za vitunguu swaumu nikavikatakata nikanywa kwa kusukumizia maji kidogo, jamani jamani baada kama ya dk 40 nimejisikia vibaya sana yaani kama vile nikawa nawasiwasi iliyopitiliza halafu siwezi kutulia, pia nikawa mdhaifu ghafla na kakizunguzungu kwa mbaliii, yaani kama nimelewa hivi halafu pumzi nikawa nahisi kama inabana kwa mbaliii.
Haraka nikanywa maji mengi kidogo nikajisikia afadhali ingawa ingawa ka udhaifu ka Mwili nakahisi kwa mbalii bado kapo hii ni mini jamani? Au huo mchanganyiko haufai kiafya?