nimeona kigezo cha elimu mwisho 4 ya 28 je ukiwa na 29 unaweza ukaomba izo ajiraMimi nimefanikiwa mkuu, toka jana sema nilihangaika na website toka mchana mpaka jioni ndo nikafanikiwa, so inabidi ukomae nao mpaka ukubali
π€ͺπ€ͺnimeona kigezo cha elimu mwisho 4 ya 28 je ukiwa na 29 unaweza ukaomba izo ajira
Bro hata IV 28 ulishindwa kupata kasome Hotel Management tu na hiyo IV 29 yako.nimeona kigezo cha elimu mwisho 4 ya 28 je ukiwa na 29 unaweza ukaomba izo ajira
Hapana mkuu, japo unaweza jaribu huwezi juanimeona kigezo cha elimu mwisho 4 ya 28 je ukiwa na 29 unaweza ukaomba izo ajira
Mkuu kuwa na huruma basi [emoji16][emoji23][emoji1]Bro hata IV 28 ulishindwa kupata kasome Hotel Management tu na hiyo IV 29 yako.
Sahihi haina hicho kigezoHii haina kigezo cha JKT Kazi kwenu vijana
We hufaiπ€£π€£π€£Bro hata IV 28 ulishindwa kupata kasome Hotel Management tu na hiyo IV 29 yako.
Kwanini hafai mkuuWe hufaiπ€£π€£π€£
ππππ Fata tangazo linasema nini....nimeona kigezo cha elimu mwisho 4 ya 28 je ukiwa na 29 unaweza ukaomba izo ajira
Ajitose tu mkuu.ππππ Fata tangazo linasema nini....
Sawa ila ishu zingine ni system yenyewe inatemaAjitose tu mkuu.
Sawa ila ishu zingine ni system yenyewe inatema
Ndugu yangu ujapatwa na majanga ya kimaishaupolice
SahihiSahihi haina hicho kigezo
Ila
Kwenye mfumo kuna kipengele cha Other Qualification , Hivyo wale wenye vyeti husika JKT/ JKU wanaweza weka taarifa zaao na ku_upload cheti husika.
View attachment 2988465
Komaa nayo sana mkuu, mimi nilipambana siku kuanzia mchana nikaja fanikiwa usiku saa1Mbona website yao haifunguki, kuna yeyote amefanikiwa kufungua website na kutuma atusaidie wengne???
Mkuu naomba sample ya barua PMKomaa nayo sana mkuu, mimi nilipambana siku kuanzia mchana nikaja fanikiwa usiku saa1