Yaani hapa kosa ni kutangaza tuu hii nafasi??

Mbona hizi kazi zipo miaka mingi na sidhani kama kuna mtanzania hadaway kusikia kuna watu wanazikwa na manispaa au halmashauri ya mji.

Kuna mambo wakati mwingine huwa mnajiaibisha sana tuu, watu kutekwa imekuwa ni suala la kisiasa zaidi kwa hizi trend mnazoleta humu.
 
Kumbuka: Hata yule Mwandishi wa Habari Bw. Azory Gwanda zipo taarifa kwamba alitekwa na 'watu wasiojulikana' akiwa huko huko Mkuranga zilikotangazwa hizi nafasi za kuzika Watu wasio na ndugu.
 
[emoji7]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Hata yule aliyekuwa Boss wa Wizara ya Fedha Bw. Leopold Lwajabe aliyetekwa Dsm na baadaye tulitangaziwa na Jeshi la Polisi kwamba maiti yake 'iliokotwa msituni' huko huko Mkuranga. Suala hili linahitaji mjadala wa kina na utafiti wa kina kabisa.
Intelejensia yetu inafanya kazi for the sake of politicians tu
 
Kuna kitu nyeti (kosa nyeti) huyo bwana itakuwa alifanya 🤔🤔🤔
Hata yule aliyekuwa Boss wa Wizara ya Fedha Bw. Leopold Lwajabe aliyetekwa Dsm na baadaye tulitangaziwa na Jeshi la Polisi kwamba maiti yake 'iliokotwa msituni' huko huko Mkuranga. Suala hili linahitaji mjadala wa kina na utafiti wa kina kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…