Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duhh! 😳😳😳Nyuma ya............ changombe
Kabla ya tangazo hili, Je, hizo maiti zilikuwa zinazikwa wapi na zilikuwa zinazikwa na nani???sasa mkuu hilo ni suala la kuleta mjadala kweli? kama kuna wagonjwq wanatelekezwa hospitalini bila ndugu itakuwa maiti? kuna watu wanakufa kwenye ajari na hakuna mtu anawatambua watazikwa wapi?
Dogo una maswali ya kipumbavu.Kabla ya tangazo hili, Je, hizo maiti zilikuwa zinazikwa wapi na zilikuwa zinazikwa na nani???
Weka reference ya matangazo angalau 3 kutoka halmashauri 3 tofauti ukiondoa halmashauri za majiji ambako wageni kutoka Mikoa mbalimbali huenda kutafuta fedha.Yaani hapa kosa ni kutangaza tuu hii nafasi??
Mbona hizi kazi zipo miaka mingi na sidhani kama kuna mtanzania hadaway kusikia kuna watu wanazikwa na manispaa au halmashauri ya mji.
Kuna mambo wakati mwingine huwa mnajiaibisha sana tuu, watu kutekwa imekuwa ni suala la kisiasa zaidi kwa hizi trend mnazoleta humu.
Tatizo hawajaweka kiwango cha mshahara ningeomba chapWeka reference ya matangazo angalau 3 kutoka halmashauri 3 tofauti ukiondoa halmashauri za majiji ambako wageni kutoka Mikoa mbalimbali huenda kutafuta fedha.
Mkuranga ni kama kijiji, hao wanaokufa bila kutambuliwa na ndugu zao walikwenda kutafuta nini?
370kTatizo hawajaweka kiwango cha mshahara ningeomba chap
Kivipi ?!!Tanzania imekuwa ya kishetani
[emoji7][emoji7]Nashangaa sana Makada wa Cdm kuhusisha ajira za kuzika wafu waliokosa ndugu. Mnakuwa kama mburula?
Mimi nikiwa primary school niliwahi kushuhudiwa mzee mmoja aligongwa gari. Bahatu mbaya mke na watoto hawakupata taarifa. Alozikwa na halimashuri . Lakini baada ya mke kuja kufahamu walifukua mwili na ukazikwa upya kwa heshima zote. Hii ilikuwa 1994 huko Mwanza kabla sijahamia Igunga
Hii ni ajira ya kawaida isihusishwe na utekaji. Hata ulaya watu kama hawa wapo.View attachment 3079030
haya yte anayeharibikiwa ni Samia! Yataandikwa kwenye historia ya utawala wake kuwa wakuliwa na quite a large number of unaccouted deaths katika utawala wake ambao walisadikiwa kuuawa na polisi na TISS iliyokuwa chini yake directly.
Shows any advert like this from city like Dodoma,Arusha,Mwanza,Dar es…Salaam ,you can name it….Nashangaa sana Makada wa Cdm kuhusisha ajira za kuzika wafu waliokosa ndugu. Mnakuwa kama mburula?
Mimi nikiwa primary school niliwahi kushuhudiwa mzee mmoja aligongwa gari. Bahatu mbaya mke na watoto hawakupata taarifa. Alozikwa na halimashuri . Lakini baada ya mke kuja kufahamu walifukua mwili na ukazikwa upya kwa heshima zote. Hii ilikuwa 1994 huko Mwanza kabla sijahamia Igunga
Hii ni ajira ya kawaida isihusishwe na utekaji. Hata ulaya watu kama hawa wapo.View attachment 3079030
Ya kwamba kila mgonjwa anayelazwa sehemu za huduma za afya ana NDUGU ?!!haya yte anayeharibikiwa ni Samia! Yataandikwa kwenye historia ya utawala wake kuwa wakuliwa na quite a large number of unaccouted deaths katika utawala wake ambao walisadikiwa kuuawa na polisi na TISS iliyokuwa chini yake directly.
Omba hiyo kazi na uwe mkuu wa kitengo.