Sasa kama mtu anakuwa professor na wazir wa elimu anaunga kinge kwa super glue, unashangaa nini?Mwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
Kuna ile moja aliitoa mwamba mmoja pande la jitu la kutisha raia akihojiwa na chombo kimoja ilibidi mwenyeji aokoe jahazi. Tuliaibika sana!Headmaster fulani akiwa parade asubuhi, 'Yesterday some students goes football without our communication'......sitokaa nije kusahau hili.
[emoji28][emoji28][emoji28]Nawe tena?, siyo most of teachers, ni most of the teachers.
Cheki na wewe ulichoandika....eti Queen's language.....which queen?Huo ndo ukweli most teachers are not competent when using queen's language
Sawa mwalimu wa LL [emoji16][emoji16]Dah! hapa utata maana tafsiri hizi kidogo zitanipoteza, hebu msaada kidogo hapa.Hivi hapa most imekaa kama quantifier kama determiner au ni kitu gani? nachojua most teachers inaweza kuwa correct grammatically lakini ina sound unnatural
Sawa mwalimu wa literatureCheki na wewe ulichoandika....eti Queen's language.....which queen?
Aende youtube akatafuteWewe unashangaa nini hapo .
Magufuli na Ndalichako uliwahi kuwasikia kiingareza chao [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241][emoji1241]
Most people agreed with youSasa home boy mbona unakanyaga cable na wewe.Hivi wanasema most teachers au most of teachers? Kingine hivi do we use a language or speak it?
English language is commonly used around the world as a trade language or diplomatic languageSasa home boy mbona unakanyaga cable na wewe.Hivi wanasema most teachers au most of teachers? Kingine hivi do we use a language or speak it?
Kipofu anapotaka kumuonyesha njia anayeonaSasa home boy mbona unakanyaga cable na wewe.Hivi wanasema most teachers au most of teachers? Kingine hivi do we use a language or speak it?
Sio nchi zote za wazungu wanatumia kingereza kwenye nchi zao.Ata Tanzania ingekua kingereza sio sehemu ya lugha ya kufundishia hakuna mtu angeshangaa kwanini watu hawakifahamu.watanzania bado ni malimbukeni wa lugha hasa kingereza, Kuna wazungu wengi tuu wa mataifa yaliyoendelea hawakijui hicho kingereza ila tunaona kawaida tuu, ila mtanzania asiyejua hiyo lugha anaoneka taahira
Hiyo leonel messi uko nchini kwake wanakitumia kingereza kama lugha rasmi?Leonel Messi hakijui hicho kingereza, ila wasipojua kina samatta inakua nongwa
Sema nini home boy kwanza samahani sana kama utanielewa vibaya.English language is commonly used around the world as a trade language or diplomatic language