Tatizo la walimu wa aina yako huwa na midomo mirefu sana na majungu kama haya , ujinga kama huu sijauona kwenye kada zingine wao wanajua kusitiriana mbele ya jamii hata kama mwenzao ana madhaifu.Sasa utakataa vipi wakati wote ni walimu, na aliyemthibitisha kuwa ni mwalimu ni serikali kwahiyo sisi hatuna mamlaka ya kum- disqualify, kidato Cha nne matokeo two ya mtihani wa taifa kulikuwa na A 0,B 0,C 3, D 12 na F 67
Hakielimu ni miongoni mwa taasisi inayo dhalilisha walimu kwa kiwango kikubwa sana kupitia matangazo yaoHili tangazo nimelitafakari kwa muda na nilichoona haliko fair kwa Walimu wetu kwani linawaonesha kuwa hawajui wanachofanya.
Mwalimu: Okay, we are continued from where we stopping yesterday
Mwalimu: Quip quiet
Mwalimu: Which is talking?
(Wanafunzi wanamcheka Mwalimu wao)
With due respect, Hawa watu wa Hakielimu hawakutumia njia nzuri ya kufikisha ujumbe wao kwa Serikali kwa kuwaumbua Walimu wetu kiasi hiki.
Mimi ninawatoto wanasoma English medium schools na wanafundishwa na Walimu hawahawa wa Kitanzania. Na wako vizuri Sana kwenye hiyo lugha ngeni. Tunapoutangazia ulimwengu kuwa tuna Walimu wasiojiweza kwa lugha ya kiingereza kufundisha Ni kuwadharaulisha Walimu wetu na kuwatangazia soko Majirani zetu.
Sipingi kampeni ya ku promote kiswahili kuwa ndio lugha ya kufundishia na kujifunzia, ninachopinga Ni pale tunapo fanya promotion hiyo kwa kuumbua wengine Kama kwamba ndio sababu ya tatizo katika mfumo wetu wa Elimu.
Ieleweke hata huo ufundishaji wa kiswahili ukianza, hautakuwa mrahisi kwa jinsi tunavyodhania. Maandalizi mapana Ni muhimu kwa mfumo mpana na imara wa Elimu ya Nchi hii.
Walimu wetu waheshimiwe na wathaminiwe. Kazi wanayofanya kwa Nchi hii Ni kubwa na katika mazingira magumu. Tusiruhusu kampeni zinazo wadhalilisha kama tangazo hili la Hakielimu.
Zipo idara nyingi sana tanzania zina huduma mbovu mbona hakuna vitu jamii ya hakielimu kuchambua madhaifu hayo? Kwa nini iwe ni elimu na si afya wala kitu kingine?Usikute haki elimu ni ya mwekezaji toka nje,lengo kuwadown grade walimu wetu.
Tuwachimbue.
Linatudhalilisha watz wote kwamba hatuwezi kumudu lugha za kigeni.Mwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
------
Kabla ya kulipiga 'stop' wahusika na wadau watafiti kama kuna ukweli au la. Ingawaje hata hao watafiti kama ni wa ndani wanaweza wasione ukweli!!Mwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
------
Hata asilimia kubwa ya viongozi wetu wakiwamo Mawaziri na hata Maraisi wanaongea broken pia, lakini mbona hao hawaigilizwi Ni Walimu tu kila siku?Tuacheni unafki, asilimia kubwa ya walimu wanaongea broken english.
Atumie kiswahiliMwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
------
Ulikariri hukuelewa.Hii kwangu sio ishu, eti kwamba lugha ndo chanzo cha mwanafunz kutoelewa na kufeli.. wengi wetu tumetokea shule za st.kayumba na sekondar tukasoma za kata hakuna walimu na bdo tukasoma na kufaulu vzur tuu... hilo la lugha sio point
siyo walimu wote wamefika chuo.Wengine hadi wamemaliza kidato cha4 hawajuwi tensi wala hawajawahi kuongea kingereza shule.Wakabahatika kwenda chuo cha ualimu unadhani huko ndiyo watajuwa kingereza?Mwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
------
Mesi kutojua kingereza hakumfanyi Samata asijue. These are two independent eventsLeonel Messi hakijui hicho kingereza, ila wasipojua kina samatta inakua nongwa
Kiongozi sijaongeza wala kupunguza herufi yoyote katika hilo, amini nakwambia!Daaaa! Mwamba hapa umezid
Bora hata umemjibu. Maana akili yake imejaa makamasi kama ya hao wapuuzi wenzake wa Haki Elimu.Kwani kujiboresha na kuwa mwalimu bora ni kujua kuongea kingereza kwa ufasaha!? Ndivyo mlivyo kalilishwa na wajinga wenzenu kwamba kuongea kingereza ndio kustaarabika na kuwa na akili!? Kweli wajinga na watumwa wa mawazo bado mpo wengi sana nchi hii.
Uelewa wako ni mdogo kama mawazo yako mgando. Mwalimu anayefundisha english basi awe bora na si bora mwalimu, mwalimu wa chemistry awe mbobezi katika fani hiyo and so on.Kwani kujiboresha na kuwa mwalimu bora ni kujua kuongea kingereza kwa ufasaha!? Ndivyo mlivyo kalilishwa na wajinga wenzenu kwamba kuongea kingereza ndio kustaarabika na kuwa na akili!? Kweli wajinga na watumwa wa mawazo bado mpo wengi sana nchi hii.
Wewe ni choko tu kama huyo boya mwenzakoBora hata umemjibu. Maana akili yake imejaa makamasi kama ya hao wapuuzi wenzake wa Haki Elimu.
Shida ni kwamba chumbani hutaki kuyamaliza na ukumbini pia bado hutaki kuyamaliza, tukamalizie wapi sasa shekhe?Hata asilimia kubwa ya viongozi wetu wakiwamo Mawaziri na hata Maraisi wanaongea broken pia, lakini mbona hao hawaigilizwi Ni Walimu tu kila siku?
Kuna aibu za chumbani, zinamaliziwa chumbani sio ukumbini shekhe!
Una akili timamu?Zipo idara nyingi sana tanzania zina huduma mbovu mbona hakuna vitu jamii ya hakielimu kuchambua madhaifu hayo? Kwa nini iwe ni elimu na si afya wala kitu kingine?
Usicho kijua kuhusu lugha ni kwamba kuna lugha ya mazungumzo na lugha ya kufundisha hivi ni vitu viwili tofauti kwa walio soma linguistic wananielewa vyema lakin wewe sidhani kama utanielewa maana nakuona kabisa kichwani mtupu ingawa wewe unajiona mahiri.Uelewa wako ni mdogo kama mawazo yako mgando. Mwalimu anayefundisha english basi awe bora na si bora mwalimu, mwalimu wa chemistry awe mbobezi katika fani hiyo and so on.
Ni kitu kipi kinachosumbua ubongo wako mwalimu kashasha?