Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chap!Mwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
Close your mouth! Kweli English ni tatizo ila lile tangazo wamezidishaMwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
Unaelewa vipi..kama huku soma na kufaulu."Mwalimu ni yule aliyeelewa, siyo aliyesoma na kufaulu"
yeye kasema walimu wengi alafu wewe ukasema wengi wa walimuSasa home boy mbona unakanyaga cable na wewe.Hivi wanasema most teachers au most of teachers? Kingine hivi do we use a language or speak it?
Acha waseme ukweli pole Kwa kuumiaMwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!
Even you, have made mistake in your sentenceHuo ndo ukweli most teachers are not competent when using queen's language
Sio utaahira hiyo ni international language..muhiku kuijua..haya komaa na kiswahili chako.watanzania bado ni malimbukeni wa lugha hasa kingereza, Kuna wazungu wengi tuu wa mataifa yaliyoendelea hawakijui hicho kingereza ila tunaona kawaida tuu, ila mtanzania asiyejua hiyo lugha anaoneka taahira
Dah! hapa utata maana tafsiri hizi kidogo zitanipoteza, hebu msaada kidogo hapa.Hivi hapa most imekaa kama quantifier kama determiner au ni kitu gani? nachojua most teachers inaweza kuwa correct grammatically lakini ina sound unnaturalyeye kasema walimu wengi alafu wewe ukasema wengi wa walimu
Haya huwa ni maoni ya watu wasiojua Kingereza, hujitetea hivi yaaniwatanzania bado ni malimbukeni wa lugha hasa kingereza, Kuna wazungu wengi tuu wa mataifa yaliyoendelea hawakijui hicho kingereza ila tunaona kawaida tuu, ila mtanzania asiyejua hiyo lugha anaoneka taahira
Leonel Messi hakijui hicho kingereza, ila wasipojua kina samatta inakua nongwaHaya huwa ni maoni ya watu wasiojua Kingereza, hujitetea hivi yaani
Ni kweli hamjui Kiingereza ndiyo sababu hata sie wanafunzi mnaotufundisha hatujui maana Tabula rasa anamfundisha tabularasa mwenzie. Lisifutwe ujumbe wake ufanyiwe kaziMwalimu yupo darasani anasema, which is talking? Wanafunzi wanaishia kushangaa.
Tangazo hili la haki elimu ni kama linadhalilisha kada ya ualimu. Je ni kweli walimu wengi hawajui Kiingereza? Sasa inakuaje mtu anafika hadi chuo kikuu hajui kimombo? Je kada nyingine nazo vipi kuhusu kujua kiingereza kwa watu wake?
My take:
Tangazo lile lipigwe stop asap!