Majina gani yapo karibu kutoka ?Ya interview ? Maana bado hawajaita, wewe unauliza "wanafanya(ga) kazi gani, umeushitua umati....Jamn mmejadili mambo mengi ila ningependa kujua hawa MDAs and LGAs huwa wanafanya nn kwa upande wa kada ya Takwimu nisaidini ndugu zangu. Majina yapo karibu kutoka
Kama umeweza kung'amua kuwa majina yako karibu kutoka,umeshindwa nini kung'amua kada ya takwimu huwa wanafanya nini?uliomba kitu usichokijua?Jamn mmejadili mambo mengi ila ningependa kujua hawa MDAs and LGAs huwa wanafanya nn kwa upande wa kada ya Takwimu nisaidini ndugu zangu. Majina yapo karibu kutoka
Hahahahaa, ulisema kweli mkuuShida inakuja kila nikiwaza mlolongo wa mpka majina kutoka ,plus interview na Connection Kama zote
Nakosa nguvu ku apply
Mkuu shusha silaha chini, hizo ni nzito sana.Kama umeweza kung'amua kuwa majina yako karibu kutoka,umeshindwa nini kung'amua kada ya takwimu huwa wanafanya nini?uliomba kitu usichokijua?
Daah umenikumbusha mbali hii komentiHahahahaa, ulisema kweli mkuu
Uliapply mkuu?Daah umenikumbusha mbali hii komenti
Ndio na nikakandwaUliapply mkuu?
Hawajita jizohivi kwenye hili tangazo waliitwa kweli?? niliomba humo???
Hahahaa, pole sanaNdio na nikakandwa
SijaonaHivi majina ya walifanikiwa kuitwa Interview ya Afisa mazingira yametolewa kweli?
Ameshatoka mtaani huyo yuko kiwira saa hiiHahahaa, pole sana
Bado hawajamalizaa.Uzi sasa umefika tamati kujadiliwa , tayari majina yenu ya LGA's na MDA's ya kuitwa katika usaili yapo kwenye website ya utumishi kaangalieni. Mie nawatakia mafanikio mema.
Sioni muhimu sana wa kuapply kwn ni mbinu tu za kisiasa hakuna anaitwa kwenye interview hii app ilikuwa inafanya kaz fasaha kipindi cha magufuri ila sio sasaKatibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Makatibu Wakuu wa Wizara, Watendaji Wakuu wa Idara Zinazojitegemea, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri za Jiji/Manispaa/Miji na Wilaya anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi Elfu moja mia tisa na nne (1904) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.
Tena nyingi tuBado hawajamalizaa.
Kuna kada bado hazijaitwa huko MDAs na LGAs