Tangazo la nafasi za Kazi 1,904 kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

Tangazo la nafasi za Kazi 1,904 kutoka Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma

Jamn mmejadili mambo mengi ila ningependa kujua hawa MDAs and LGAs huwa wanafanya nn kwa upande wa kada ya Takwimu nisaidini ndugu zangu. Majina yapo karibu kutoka
Majina gani yapo karibu kutoka ?Ya interview ? Maana bado hawajaita, wewe unauliza "wanafanya(ga) kazi gani, umeushitua umati....
 
Jamn mmejadili mambo mengi ila ningependa kujua hawa MDAs and LGAs huwa wanafanya nn kwa upande wa kada ya Takwimu nisaidini ndugu zangu. Majina yapo karibu kutoka
Kama umeweza kung'amua kuwa majina yako karibu kutoka,umeshindwa nini kung'amua kada ya takwimu huwa wanafanya nini?uliomba kitu usichokijua?
 
Hivi majina ya walifanikiwa kuitwa Interview ya Afisa mazingira yametolewa kweli?
 
Uzi sasa umefika tamati kujadiliwa , tayari majina yenu ya LGA's na MDA's ya kuitwa katika usaili yapo kwenye website ya utumishi kaangalieni. Mie nawatakia mafanikio mema.
 
Uzi sasa umefika tamati kujadiliwa , tayari majina yenu ya LGA's na MDA's ya kuitwa katika usaili yapo kwenye website ya utumishi kaangalieni. Mie nawatakia mafanikio mema.
Bado hawajamalizaa.

Kuna kada bado hazijaitwa huko MDAs na LGAs
 
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Makatibu Wakuu wa Wizara, Watendaji Wakuu wa Idara Zinazojitegemea, Makatibu Tawala wa Mikoa, Wakurugenzi wa Halmashauri za Jiji/Manispaa/Miji na Wilaya anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi Elfu moja mia tisa na nne (1904) kama ilivyoainishwa katika tangazo hili.
Sioni muhimu sana wa kuapply kwn ni mbinu tu za kisiasa hakuna anaitwa kwenye interview hii app ilikuwa inafanya kaz fasaha kipindi cha magufuri ila sio sasa
 
Back
Top Bottom