Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

Tangu akamatwe Scorpion, Mshana Jr hajaonekana JF

Wandugu,

Kati ya watu ninaowakubali JF, Mshana Jr ni namba moja. Si kawaida kukaa nusu saa bila kukuta walao comment yenye busara ya huyu member mwenzetu.

Kwakuwa nimekosa vitu vyake adimu kule Jamii Intelligence na Jamii Photo, nikaamua niangalie profile yake na kushtushwa kukuta" Mshana Jr was last seen: Saturday at 09:33 Am."Hili jambo si la kawaida kwa nguli huyu wa JF.

Naomba kujuzwa kwa wale wamjuaye, vipi ana uhusiano wowote na Scorpion au yeye ndiye Scorpion mana tulio wengi humu tunatumia ID fake.

NIMEMISS BUSARA NA MAWAZO YAKE KWA SIKU NNE SASA.
Niliwaza sana kuhusu huyu jamaa, hata kuna washikaji nakawasimulia kumhusu... Alipotea ghafla..!
 
Tarehe 8 mpaka leo 18...

10 days Mshana Jr. Hebu tujuze za huko ulipokuwa??

Au ulienda tafuta dawa??
 
bora umekuja master vijana wako tulipata hofu sana.maana tunategea siku moja ututoe mahali flani
 
Alikua korea kuchukua mzigo wa viatu hivyo wale wahitaji mumuone , anauza jumla kwa bello moja dolla 70 au laki moja na nusu ya kitanzania ni vyema wahitaji mumfwate pm huyu mjasiliamali Mshana Jr
 
Wandugu,

Kati ya watu ninaowakubali JF, Mshana Jr ni namba moja. Si kawaida kukaa nusu saa bila kukuta walao comment yenye busara ya huyu member mwenzetu.

Kwakuwa nimekosa vitu vyake adimu kule Jamii Intelligence na Jamii Photo, nikaamua niangalie profile yake na kushtushwa kukuta" Mshana Jr was last seen: Saturday at 09:33 Am."Hili jambo si la kawaida kwa nguli huyu wa JF.

Naomba kujuzwa kwa wale wamjuaye, vipi ana uhusiano wowote na Scorpion au yeye ndiye Scorpion mana tulio wengi humu tunatumia ID fake.

NIMEMISS BUSARA NA MAWAZO YAKE KWA SIKU NNE SASA.
Isijekuwa mshana Jr ndiye Scorpion..![emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Yuko kwenye vikao na wachawi wenzake . Wana mkutano mkuu wa wachawi wa kila mwaka na kwa mwaka huu wanafanyia chato .
Nimecheka mpaka abiria wenzangu wamenishangaa..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Atakuwa ameenda Msoga kumuuliza Jk kwa nini alikubali kumwachia kiti huyu jamaa na kusababisha leo hii watu Wanalia..!!!
 
Wandugu,

Kati ya watu ninaowakubali JF, Mshana Jr ni namba moja. Si kawaida kukaa nusu saa bila kukuta walao comment yenye busara ya huyu member mwenzetu.

Kwakuwa nimekosa vitu vyake adimu kule Jamii Intelligence na Jamii Photo, nikaamua niangalie profile yake na kushtushwa kukuta" Mshana Jr was last seen: Saturday at 09:33 Am."Hili jambo si la kawaida kwa nguli huyu wa JF.

Naomba kujuzwa kwa wale wamjuaye, vipi ana uhusiano wowote na Scorpion au yeye ndiye Scorpion mana tulio wengi humu tunatumia ID fake.

NIMEMISS BUSARA NA MAWAZO YAKE KWA SIKU NNE SASA.
mshana jr ni mshirikina na mkuu wa wachawi humu JF, atakuwa ameanguka na ungo kwenye ile ajali ya Mbagala. RIP mshana jr
 
Back
Top Bottom