Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
mfate church nenda nae day 1, day 2, day 3 unakula mzigo umaamsha zako.... mbona umepata mawazo nae wanawake si tupo wengi? au ni mtamu sana??sasa itakuwaje 🤔
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mfate church nenda nae day 1, day 2, day 3 unakula mzigo umaamsha zako.... mbona umepata mawazo nae wanawake si tupo wengi? au ni mtamu sana??sasa itakuwaje 🤔
unapewa za Galilaya siomtamu kiaina siunajua walokole 🤣🤣🤣
but nitafata ushauli wako
Natamani ungekuwa naibu spika ungetutetea wanaume.mfanye church nenda nae day 1, day 2, day 3 unakula mzigo umaamsha zako.... mbona umepata mawazo nae wanawake si tupo wengi? au ni mtamu sana??
kama kuna mtumishi amchukue tuh, wale jamaa huwezi shindana nao wanafigisu sana
mfate church nenda nae day 1, day 2, day 3 unakula mzigo umaamsha zako.... mbona umepata mawazo nae wanawake si tupo wengi? au ni mtamu sana??
Ni mambo ya wataka vya uvunguni hayo....Hizi mbinu za kivita hizi ulisomea wapi...
huyo baharia noma🤣🤣🤣Ni mambo ya wataka vya uvunguni hayo....
kuna jamaa yeye alikua kila akipiga sound binti wa kilokole haelewi, ikabidi amfate huko huko church akaanza kupiga na kinanda binti akatoa mzigo, jamaa kajilia akarudi mtaani kuendelea na maisha ndio mwisho wa kupiga tena kinanda na kwenda church
Ni mambo ya wataka vya uvunguni hayo....
kuna jamaa yeye alikua kila akipiga sound binti wa kilokole haelewi, ikabidi amfate huko huko church akaanza kupiga na kinanda binti akatoa mzigo, jamaa kajilia akarudi mtaani kuendelea na maisha ndio mwisho wa kupiga tena kinanda na kwenda church
Sio angeenda kutuchongea kama Job? Job alipomuona Yesu anatembea na mkewe Galilaya akaenda kuliambia Bunge la JMT.Natamani ungekuwa naibu spika ungetutetea wanaume.
kuna watu wana utamu extra inabidi kumkimbiza tu kama mtetea vile....Naam, kama jasusi vile...😊
Ingawaje sio poa sana, wachuchu mpo wengi sana, mchuchu mmoja akileta mizinguo na ukiona humsomi, unatafuta mchuchu mwingine tu...
Nyie wanawqke ni mbuzi kabisaHapo haupewi tena mzigo, akitoka kanisani atakuambia kufanya ni lango la shetani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni mambo ya wataka vya uvunguni hayo....
kuna jamaa yeye alikua kila akipiga sound binti wa kilokole haelewi, ikabidi amfate huko huko church akaanza kupiga na kinanda binti akatoa mzigo, jamaa kajilia akarudi mtaani kuendelea na maisha ndio mwisho wa kupiga tena kinanda na kwenda church
Na nyie ni kondoo 😁Nyie wanawqke ni mbuzi kabisa
Ulete mrejesho mkuungoja nione muelekeo wake huu mwezi nitapata jibu