Tangu alijue kanisa ndio anazidi kunisahau

Tangu alijue kanisa ndio anazidi kunisahau

mfanye church nenda nae day 1, day 2, day 3 unakula mzigo umaamsha zako.... mbona umepata mawazo nae wanawake si tupo wengi? au ni mtamu sana??
mtamu kiaina siunajua walokole 🤣🤣🤣
but nitafata ushauli wako
 
Hizi mbinu za kivita hizi ulisomea wapi...
Ni mambo ya wataka vya uvunguni hayo....
kuna jamaa yeye alikua kila akipiga sound binti wa kilokole haelewi, ikabidi amfate huko huko church akaanza kupiga na kinanda binti akatoa mzigo, jamaa kajilia akarudi mtaani kuendelea na maisha ndio mwisho wa kupiga tena kinanda na kwenda church
 
Ni mambo ya wataka vya uvunguni hayo....
kuna jamaa yeye alikua kila akipiga sound binti wa kilokole haelewi, ikabidi amfate huko huko church akaanza kupiga na kinanda binti akatoa mzigo, jamaa kajilia akarudi mtaani kuendelea na maisha ndio mwisho wa kupiga tena kinanda na kwenda church
huyo baharia noma🤣🤣🤣
 
Ni mambo ya wataka vya uvunguni hayo....
kuna jamaa yeye alikua kila akipiga sound binti wa kilokole haelewi, ikabidi amfate huko huko church akaanza kupiga na kinanda binti akatoa mzigo, jamaa kajilia akarudi mtaani kuendelea na maisha ndio mwisho wa kupiga tena kinanda na kwenda church

Naam, kama jasusi vile...😊

Ingawaje sio poa sana, wachuchu mpo wengi sana, mchuchu mmoja akileta mizinguo na ukiona humsomi, unatafuta mchuchu mwingine tu...
 
Naam, kama jasusi vile...😊

Ingawaje sio poa sana, wachuchu mpo wengi sana, mchuchu mmoja akileta mizinguo na ukiona humsomi, unatafuta mchuchu mwingine tu...
kuna watu wana utamu extra inabidi kumkimbiza tu kama mtetea vile....
 
Ni mambo ya wataka vya uvunguni hayo....
kuna jamaa yeye alikua kila akipiga sound binti wa kilokole haelewi, ikabidi amfate huko huko church akaanza kupiga na kinanda binti akatoa mzigo, jamaa kajilia akarudi mtaani kuendelea na maisha ndio mwisho wa kupiga tena kinanda na kwenda church
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atakuwa ndo yule demu amefanikiwa kujenga vyumba viwili na kuacha msingi upande mwingine kwa hiyo anaona humsumbui kwa lolote, la kufanya achana nae tu maana anaelekea miaka 40 hana mtoto wala kuolewa acha abaki na mbususu yake imchachie!
 
Back
Top Bottom