FORBIDDEN HISTORY
Senior Member
- Jul 28, 2024
- 125
- 224
Ahsnte mkuu yani basi tuPole mkuu
Asante mkuuPole sana mkuu
Unatumia mganga gani?Biashara ina miaka 2Β½ lakini hakuna progess ya maana
Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mamabo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au?, nitaendashe familia??
πππ
Sina mkuuUnatumia mganga gani?
Mganga wake atakua yupo mbagalaUnatumia mganga gani?
Mkuuππ we acha tukuanzia chini ni kazi ngumu Sana, ila msingi ukiwa imara uta furahia
Ahamie wa KimanzichanaMganga wake atakua yupo mbagala
Unauza nini?Biashara ina miaka 2Β½ lakini hakuna progess ya maana
Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au?, nitaendeshaje familia??
πππ
Waganga nao wanalia njaa __uongo mwingi sanaKachungulie mkuu usikae kizembe.
Kwa mganga mkuu??Kachungulie mkuu usikae kizembe
Nikutafutie mganga???Sina mkuu
Hahahaha huko atatapeliwa hata hicho kidogo alichonachoAhamie wa Kimanzichana
Nenda tanga uko handeni au pangani mganga unamkuta magomeni mapipa kaka uyo mganga?Waganga nao wanalia njaa __uongo mwingi sana