Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naelewa, nimemtuliza si unaona kaedit uzi umekaa poa sasa.Maumivu boss, hiyo Hali usiombe ikukute
Hakika yani najihisi kama ni laaana fulani hivi , aisseee#KUNA WATU HUMU MUDA HUU WAPO NDANI KITANDANI WAMETULIA TU WANASUBIRI UGALI WA BURE__HAWAWEZI KUKUELEWA MKUU
Ahsante hata nilidhani nimemaliza kuandikaNaelewa, nimemtuliza si unaona kaedit uzi umekaa poa sasa.
Kumbe, Mimi nimeukuta Uzi uko shwaliNaelewa, nimemtuliza si unaona kaedit uzi umekaa poa sasa.
Nifanyeje mkuu, tafadhari nisaidie nijue cha kufanyaMkuu ule upepo wako wa mwanzani unaifungua hiyo biashara Yako ndio upepo wako halisi, pambana ulejeshe Hali yako ya awali. Maisha ni vita boss
Fanya SWOT analysis itakuongezea kitu.Ahsante hata nilidhani nimemaliza kuandika
Yani moyo wangu umekuwa mzto
Ni kwl waganga wapo au ni stori tu mkuu?
#swala la kuwepo kwa waganga sio swala fikirishi maana hata maandiko yanasema hao watu nikweli wapo_shida kumpata wakweli napia kuutumikia uchawi nayo pia nikazi nyingine maana ukishaingia huko kutoka huweziAhsante hata nilidhani nimemaliza kuandika
Yani moyo wangu umekuwa mzto
Ni kwl waganga wapo au ni stori tu mkuu
Mkuu ww ni me au she? Toa kwanza hizo emoj za kulia... Tutakusaidiaje ss unalia?Nifanyeje mkuu, tafadhari nisaidie nijue cha kufanya
Watoto wangu mkuu watoto wanngu mkuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
#ongea na wakuu wa jamiiforum wakupe machimbo ukasafishe nyota_japo wengine wanajifanya walokole humuNifanyeje mkuu, tafadhari nisaidie nijue cha kufanya
Watoto wangu mkuu watoto wanngu mkuu😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Sorry mkuu,Mkuu ww ni me au she? Toa kwanza hizo emoj za kulia... Tutakusaidiaje ss unalia?
Yeah mkuuKumbe, Mimi nimeukuta Uzi uko shwali
#hahhaha_ila nazani lengo lakuweka emoji zakulia nikuonesha msisitizo kwamba anapitia magumuMkuu ww ni me au she? Toa kwanza hizo emoj za kulia... Tutakusaidiaje ss unalia?
Aina ya biasharaBiashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭
Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.
Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,
Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.
Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
#USHAURI MZURI SANA HUUSijajua wewe ni dini gani? Ila kuna kitu kinaitwa fungu la kumi.........
Amka asubuhi na mapema omba, kabla haujafungua biashara omba, unqvyofunga biashara omba ukiuza sana mwambie Mungu ahsante, usipouza kabisa mwambie Mungu ahsante then toa fungu la kumi kila mwisho wa mwezi ikiwezekana funga kuiombea biashara yako na cha mwisho kabisa jinenee mazuri kwenye biashara yako na kwa kila jambo lako hakuna kitu kina nguvu kama maneno
Mungu alisema na iwe nuru kukawa na jua maneno maneno jinenee maneno positive ndugu yangu (KILA LAKHERI) 🙏🏽