Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

Tangu asubuhi sijauza hata Tsh. 100 aisee

Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.

Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭

Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.

Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,

Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.

Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Nakupa mfano possible tofauti na biashara yake but angalia hili.
Sehemu nilipo kuna mtu anauza vitafunio,mtu aliekua anakaanga akaondoka so mapishi yakabadilika nakua tofauti na mwanzo wateja wakaanza hama mmoja mmoja mwisho biashara ikaanza doda,chapati zinakutana na chakula cha mchana.
So angalia vitu vidogo sana ambavyo ulikua unafanya na kukuwezesha kupata faida,possible mdomo or bizaa wenzio wamebadilika kwakupenda vitu vingine or hata jinsi ulivyokua unawajibu wateja.
Pia inawezekana kuna mtu umemtoa aliekua na mvuto wa biashara ww ukamtoa.
Usiache angalia mienendo yako pia
 
Pole sana mkuu kwenye ulimwengu wa biashara inabidi uchague either Ulimwengu wa Nuru au giza, biashara Zina mambo mazito nyuma ya pazia
Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.

Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭

Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.

Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,

Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.

Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
 
Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.

Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭

Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.

Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,

Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.

Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
.njoo in box tuhojiane kidogo halafu tusaidiane bureee
 
Hardware ya vifaa vidogo vidogo
Mkuu pole sana,
Hardware yako ina mtaji kiasi gani?

Trend inabadilika sana siku hizi, watu wanaingia maduka yenye kila kitu, hizo hardware ndio kabisa mtu anataka akiingia dukani amalizane kila kitu humo.

Kingine, siku hizi wenye hardware wanajiongeza sana, wanafanya delivery ya materials, wenye mitaji midogo wanapata shida sana.
 
Back
Top Bottom