Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
NdioKwa mganga mkuu??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioKwa mganga mkuu??
Mimi sio mshauriiAhsnte mkuu yani basi tu
Mganga wangu fundi sana_imagine ananiagiza mpaka mihogo yakukaaangaNikutafutie mganga???
#hahahaha waganga watanga jau sana kaka_huko utaambiwa njoo namkeo mfanye dawa kwapamojaNenda tanga uko handeni au pangani mganga unamkuta magomeni mapipa kaka uyo mganga?
Unauza bidhaa gani na unauzia eneo gani mkoa ganiBiashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭
#atume nahela yakutolea maana mizimu inatumia simu siku hiziUmerogwa kweli.
Tuma sadaka yako haraka sana tukufanyie maombi ya ukombozi wa biashara.
Wahi sasa kabla yule Muovu hajateka biashara yako.
Acha basi#hahahaha waganga watanga jau sana kaka_huko utaambiwa njoo namkeo mfanye dawa kwapamoja
unauza bidhaa gani? alafu nani anakukimbiza? tulia uandike vizuriBiashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭
Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.
Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,
Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.
Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Naiskia huko mauganga yao yanaweza kukufunguka kiroho mkuu.Ndio
#amini nakwambia__mkeo akiwa mzuri mtajikuta mnakaa hata wikiAcha basi
Kabisa kabisa.#atume nahela yakutolea maana mizimu inatumia simu siku hizi
😭😭 Acha tu mkuuPole mkuu
#sema waganga jau sana _mm nikisikia mganga anakaa dar hata nguvu zinaniishaa mara mganga anajitangaza redioni 😁😁Kabisa kabisa.
Afanye haraka kutuma sadaka yake. Apate ukombozi wa biashara yake.
Maumivu boss, hiyo Hali usiombe ikukuteMbona unaandika kama unakimbizwa tulia uandike vizuri
Biashara ni matangazo mkuu#sema waganga jau sana _mm nikisikia mganga anakaa dar hata nguvu zinaniishaa mara mganga anajitangaza redioni 😁😁
Hakika yani nimejikuta hata vidole haviungani😭Maumivu boss, hiyo Hali usiombe ikukute