Strong25
JF-Expert Member
- Dec 6, 2021
- 394
- 834
#wenye majina wanasumbua sana 😁😁Usitafute fundi mwenye jina mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
#wenye majina wanasumbua sana 😁😁Usitafute fundi mwenye jina mkuu
Haya maisha bhana! Biblia inasema Njia za Mungu hazichunguziki! Sielewi kabisaSijajua wewe ni dini gani? Ila kuna kitu kinaitwa fungu la kumi.........
Amka asubuhi na mapema omba, kabla haujafungua biashara omba, unqvyofunga biashara omba ukiuza sana mwambie Mungu ahsante, usipouza kabisa mwambie Mungu ahsante then toa fungu la kumi kila mwisho wa mwezi ikiwezekana funga kuiombea biashara yako na cha mwisho kabisa jinenee mazuri kwenye biashara yako na kwa kila jambo lako hakuna kitu kina nguvu kama maneno
Mungu alisema na iwe nuru kukawa na jua maneno maneno jinenee maneno positive ndugu yangu (KILA LAKHERI) 🙏🏽
#tena afanye haraka sana😁😁Njoo in box hutajuta
Sikia ndugu...Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭
Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.
Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,
Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.
Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Mkuu jichunguze ,,,vipi katika harakati zako ulishawahi kumuacha mkeo kwenye biashara yako aendeshe hata mara moja iwe kwa dharura au iwe ndiyo kawaida yenu ?Biashara ina miaka 2½ lakini hakuna progess ya maana. Mwanzo nilianza vizuri ila ghafla mambo yaka kata.
Aisee nimeerogwwaa au? nitaendeshaje familia? 😭😭😭
Nifanyeje wakuu, naombeni msiwe na masihara tafadhari, sijawahi fanyia mtu ubaya kwa nini huu ugumu wote huuu.
Sehemu niliopo imechangamka kibiashara, pia kuna maduka kama langu,
Kweli ukata wa namna hii, mwaka jana mwaka mzima nilipigwa na ukataa mmbaya nikaambulia madeni,.
Kinachoniumiza ni kuwa nilianza vizuri sana hadi kuongeza mzigo ghfla wateja wakakata😭😭😭😭😭😭
Mwisho kaomba ushauri! Ongea maneno ya kumtia moyo kama huwezi pita hivii..!Ni taarifa tu ama unataka tufanye bini
Ili mumrambe na hicho kidogo alichobaki nacho au sioUmerogwa kweli.
Tuma sadaka yako haraka sana tukufanyie maombi ya ukombozi wa biashara.
Wahi sasa kabla yule Muovu hajateka biashara yako.
Haapana mkuu its only me i swearMkuu jichunguze ,,,vipi katika harakati zako ulishawahi kumuacha mkeo kwenye biashara yako aendeshe hata mara moja iwe kwa dharura au iwe ndiyo kawaida yenu ?
Nb. Wanawake wana midomo michafu na maringo ya kipuuzi kwenye biashara za waume zao kiasi cha kuwakwaza wateja.
Acha tu mkuu , maumivu ni ya mtu anayoyajua 😭Mwisho kaomba ushauri! Ongea maneno ya kumtia moyo kama huwezi pita hivii..!
Hakuna kitu kibaya kama kukosa ridhki, sasa unavyosema neno kama hili unakua unamkosea mleta mada.
Mbona unapenda kuniandama? Mimi nimeuliza. Lakini unawezaje kumshauri mtu bila kuwa well informed? Hajasema hata anauza nini na wapiMwisho kaomba ushauri! Ongea maneno ya kumtia moyo kama huwezi pita hivii..!
Hakuna kitu kibaya kama kukosa ridhki, sasa unavyosema neno kama hili unakua unamkosea mleta mada.
Nakula kiporo kwanini nisiwe na hasira?Mbona unapenda kuiandama? Mimi nimeuliza. Lakini unawezaje kumshauri mtu bila kuwa well informed? Hajasema hata anauza nini na wapi
Hii nafanya kwa siku saba. Au ni mara moja tu mkuu wangu?NAKUPA HII, NAOMBA MREJESHO BAADA YA SIKU 7
Loweka Karafuu kwenye maji" mwagia kwenye mlango wa kuingilia dukani kwako au uchome kama vile udi asubuhi na mapema unapoingia dukani kwako au loweka kwenye maji kisha siku inayofuata unanyunyizia yale maji mbele ya duka lako.
MREJESHO TAFADHALI SANA.
Wengine ni majina tu kama comorienne#wenye majina wanasumbua sana 😁😁
Hardware ya vifaa vidogo vidogo
Fanya siku 7 mfululizo, kisha utafanya hii kwa ajili ya ulinzi wa biashara yakoHii nafanya kwa siku saba. Au ni mara moja tu mkuu wangu?
💪🏿💪🏿 Ahsante mtaalamu wanguFanya siku 7 mfululizo, kisha utafanya hii kwa ajili ya ulinzi wa biashara yako
Tumia Chumvi nyeusi ni mchanganyiko wa chumvi hii ya ungaunga pamoja na vumbi la udi, nikisema vumbi la udi namaanisha lile vumbi linalobakia baada ya udi kuungua, vumbi lake lile sasa lichukue uchanganye na chumvi ya unga ili kutengeneza chumvi nyeusi ambayo inaweza kutumika kwa ulinzi nyumbani kwako, chumbani kwako, kazini kwako, kwenye biashara zako n.k. pia inasaidia kuondoa nishati (energy) mbaya inayozunguka maeneo hayo niliyoyataja. Weka sehemu ya chini ya mlango wako yaani unyunyizie chini ya mlango wako ili kuzuia wavamizi, nikisema wavamizi nafikiri umenielewa?
Udi ni wowote unaweza kutumia ila ikiwa utapata udi Basil, Cinnamon, Rose Geranium, au Gingeroot itakuwa nzuri zaidi, hizi unazipata duka la dawa za asili.
Naomba ulete mrejesho hapa hapa kuanzia tarehe 8 mwezi huu
hata MUNGUSina mkuu
Kumbuka kua na imani na unachokifanya.💪🏿💪🏿 Ahsante mtaalamu wangu