Unaona sasa?Ndio maana mwanzo nilisema hivi...kama ni kuleta machapisho wote tunayo machapisho...wewe hutayaamini yale niletayo mimi na hali kadhalika mimi sitayaamini yale utakayoleta wewe...ndio maana nikasema lets base on what is happening huku mitaani na kwenye vituo vya afya...hapo ndipo tutapata ukweli ambao mwisho wa siku utarandana na machapisho aliyoleta mmojawapo,yaani mimi au wewe,kinachotokea huku mitaani na kwenye vituo vya afya ndio shahidi wa kweli kutambua ni nani yuko sahihi.Kwanini unakimbia hoja hii?
Mwengeso nimeshaziona hizo video..
Kuona si kuelewa.
.....
Narudia tena hizo video ni za mwaka 1970-80 na huyo Gallos aliiba chapisho la mfaransa mwenzake kwa kusema yeye ndiye amevumbua AIDS........ sijui kama unapata picha hapo.....
He he heee....nimecheka sana hapo kwenye bold mpaka kuna kundi la watu hapa nilipo wamestuka....he heee...
Ndio maana nimekwambia kuona au kusoma si kuelewa...hata kama umejichanganya,daktari anayejielewa hawezi kujichanganya kama wewe ulivyojichanganya....na hapa umerudia mara ya pili....utajichanganya vipi kwenye jambo basic kama hili mara mbili kama wewe kweli unajua unachokisema?Ndio maana nilikwambia umwite kaka yako mkuyati akusaidie,wewe bado sana...
Eti Galo ni mfaransa na ameiba chapisho la mfaransa mwenzake...he he heee..nimecheka sana....we dogo Galo sio mfaransa.
Eti amevumbua AIDS....he he heee...we dogo AIDS sio kitu cha kuvumbua.....halafu story nzima haizungumzii uvuambuaji wa AIDS bali inazungumzia uvumbuaji wa huyo HIV feki....sawa dogo?
Sasa dogo sikiliza...
AIDS ni syndrome na huyo HIV(feki) ni kirusi hewa kinachosingiziwa kusababisha hiyo AIDS...umeelewa eenh?AIDS na HIV ni mambo mawili tofauti,kimoja ni halisi lakini kingine si halisi...yaani AIDS ni kweli ipo lakini haisababishwi na huyo HIV(feki),pia AIDS haitishi kama ulivyoaminishwa,AIDS ilikuwepo tangu enzi za kuumbwa kwa mwanadamu na haikuwa kitu cha kukitolea macho.....lakini huyo HIV(feki) hayupo kiuhalisia,bali HIV ni missile tu inayotumika kusambaza uongo huu ili kutimiza agenda ya kuuza madawa ya ARVs.....umeelewa dogo?
Sasa mwite kaka yako mkuyati naye apate ujumbe wake hapa.Mtanyooka tu,hata kama hamtaki.