Tangu mchepuko wangu aanze vicoba, amekuwa na tabia ya kuniibia

Kabisaa yaani angekua mke mdogo ofisho kabisa kwa ndugu na jamaa ila mkewe ataumia Sanaa!namuonea huruma mnoo mke mkubwa akija kujua
Yaani duh,ukiwaza tena hapa pagumu![emoji134]sijui jmn mi mwenyewe siwezi aisee!,weee kushare kunauma jmn! Mi siwezi bora nisijue kabisaaa
 
[emoji134][emoji134][emoji3]
Nachofurahi ni kuwa humuachi unamwambia ukweli tu!

Nasubiri mrejesho wa kesho hapa baada ya kwenda kumsaidia kutafuta[emoji23]
Siti ya mbele kabisa...

BTW, kwann leo hujaenda kwa wifi jmn?
Huyu hana jipya akipewa papuchilo anasahau yote.
 
[emoji3][emoji3]pole
 
Hujawai kuniangusha, worry out.
Ntalitekeleza Hilo[emoji4][emoji106]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
It is the "you can't be serious " for me[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…