Tangu nianze kuishi na demu ghetto nimeacha Nyeto

Tangu nianze kuishi na demu ghetto nimeacha Nyeto

1. Usiache mbachao kwa msala upitao.
2. Cha mkononi ndicho cha msingi.
3. Zimwi likujualo halikuli likakwisha.
4. Heri nusu shari kuliko shari kamili.
5. Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
6. Heri ndege mmoja mkononi kuliko wawili mtini.
7. Usitukane wakunga na uzazi ungalipo.
8. Chema chajiuza, kibaya chajitembeza.
9. Asiye na lake hana lake.
10. Cha kuvunda hakina ubani.
 
We itakua ulioa una miaka 18, hivi genye linavokereketa kichupa kikijaaa ndo ukae unasubiri mpaka uoe? Maisha ni haya haya bwashe ukipata fursa we nyandua kidogo kikubwa usimlaghai binti wa watu kubalianeni vizuri
Nilioa namiaka 23 na si kwamba hayo mambo sikuyapitia no.
 
Akijibu hili nishtue .
Nitakushtua mkuu,maana utadhani bao la nyeto linajaa kikombe na kupelekea upungufu, na la kukojolea ke linatoka kidogo alipelekei uhaba wa mbegu.
Tena nyeto mtu akipiga moja ni ngumu kurudia,ila kwenye ke unaweza enda rounds za kutosha mpaka mwisho unaona ni upepo tu unatoka.
 
Hakika dawa ya kuacha nyeto automatically ni kukaa na mwanamke pamoja

Nlikua mdau wa nyeto a.k.a mkono bao tangu mwaka 2004 hadi mwanzoni mwa mwaka 2025

Hatimaye nikapata mtoto mzuri wa mwaka 2005 naishi nae maskani, huwezi amini ni mwezi sasa nimeachana na nyeto na siitamani tena

Maana nikiwaza nyeto tu nakutana na mbususu ya moto ya demu wangu naachana na suala la kujichukulia sheria mkononi

Wale wenye nia ya kuacha nyeto nawashauri chukua demu kaa nae ghetto utaacha mwenyewe automatically

Vijana oeni kuepuka kujichukulia sheria mkononi.
Vp wew mbegu zako zpo imara maan kunajamaa yetu analia humu Kwa madhara ya upgaji nyeto Kwa mda mrefu
 
kumbe imekuchukua miaka 21 kwenye hii tasnia
wengne hatujafika ata miaka kumi unatushauri ujinga na sisi tutaacha nyeto mpk pale na sisi tupate demu wakuishi nae ghetto
 
Haya ni baadhi matano ya kiroho.

Madhara ya punyeto kiroho yanaweza kutazamwa kutoka katika muktadha wa imani za kidini na mafundisho ya kiroho. Ingawa tafsiri za madhara haya zinategemea dhehebu na imani ya mtu binafsi, hapa ni baadhi ya madhara yanayoweza kutajwa:

1. Kujihisi na hatia na aibu

Dini nyingi, hasa Ukristo na Uislamu, zinafundisha kuwa punyeto ni tendo lisilofaa. Hii inaweza kusababisha mtu kujihisi na hatia, aibu, au kuwa mbali na imani yake.


2. Kukosa mawasiliano mazuri na Mungu

Watu wengi wa kiroho wanaamini kuwa punyeto inaweza kupunguza hamu ya kusali, kutafakari Neno la Mungu, au kushiriki katika shughuli za kiroho.


3. Kujitenga na ibada na huduma

Mtu anaweza kuanza kuhisi hana sifa za kushiriki katika ibada au huduma kwa sababu anahisi anafanya dhambi mara kwa mara. Hii inaweza kusababisha kujitenga na jumuiya ya waumini.


4. Kulevya akili na tamaa mbaya

Punyeto inaweza kusababisha utegemezi wa kingono, ambapo mtu anakuwa mtumwa wa tamaa zake. Katika muktadha wa kiroho, hii inaweza kutafsiriwa kama kushindwa na mwili badala ya kuishi kwa roho.


5. Kupoteza heshima binafsi na utakatifu wa mwili

Imani nyingi zinafundisha kuwa mwili ni hekalu la Mungu, na hivyo unapaswa kutunzwa kwa utakatifu. Punyeto inaweza kuonekana kama kitendo kinachodhalilisha mwili na kupunguza hadhi ya mtu mbele za Mungu.


Ikiwa unakabiliana na changamoto hii na unahisi inaathiri maisha yako ya kiroho, unaweza kutafuta msaada wa kiroho kutoka kwa viongozi wa dini au kusali na kutafakari zaidi kuhusu njia za kudhibiti tamaa.
Acha mbwembwe, sio wote tunaimani na mambo ya kimungu . Nyeto is better ever,
 
Hakika dawa ya kuacha nyeto automatically ni kukaa na mwanamke pamoja

Nlikua mdau wa nyeto a.k.a mkono bao tangu mwaka 2004 hadi mwanzoni mwa mwaka 2025

Hatimaye nikapata mtoto mzuri wa mwaka 2005 naishi nae maskani, huwezi amini ni mwezi sasa nimeachana na nyeto na siitamani tena

Maana nikiwaza nyeto tu nakutana na mbususu ya moto ya demu wangu naachana na suala la kujichukulia sheria mkononi

Wale wenye nia ya kuacha nyeto nawashauri chukua demu kaa nae ghetto utaacha mwenyewe automatically

Vijana oeni kuepuka kujichukulia sheria mkononi.
Mkiachana utarudi kwa kasi ya mwanga.. hatutaki utugongee usiku usiku kutaka urudishiwe membership card maana umetudhihaki CHAPUTA
 
Umekua ukipiga nyeto toka enzi za Vasco Dagama.... watu mnavyoipondea nyeto mtu asipokuwa na msimamo anaweza akaacha..
 
Nitakushtua mkuu,maana utadhani bao la nyeto linajaa kikombe na kupelekea upungufu, na la kukojolea ke linatoka kidogo alipelekei uhaba wa mbegu.
Tena nyeto mtu akipiga moja ni ngumu kurudia,ila kwenye ke unaweza enda rounds za kutosha mpaka mwisho unaona ni upepo tu unatoka.
Yaani nilitaka nishangae .nyeto inasaidia sana hata magonjwa ya zinaa hupati kuna kipindi nilitaka nimpe demu 20000 nimle nikasema ngoja niingie bafuni nshtue nilivyomaliza nikajikuta lile zoezi nahairisha nika save 20
 
Yani unakaa na mtoto ambaye wewe ulianza nyeto wakati yeye bado hajazaliwa
Kwani haiwezekani mkuu?, kumzidi mwanamke miaka 12 mbona fresh tu. Kwa kukadiria mtoa mada yupo around 33 au 34. Maana ake demu wake tayari aahafikisha miaka 20
 
Back
Top Bottom