Tangu nimeoa naona nafaidika sana na ndoa yangu

Hahahahahaha maugwadu huyajui wewe. Hongera sana lakini usiishie kumsifia pembeni mwambie muhusika na umuonyeshe kwa vitendo vya KIMAPENZI NA UPENDO.


 
Hahahahahaha maugwadu huyajui wewe. Hongera sana lakini usiishie kumsifia pembeni mwambie muhusika na umuonyeshe kwa vitendo vya KIMAPENZI NA UPENDO.

Ugwadu siujui kabisa..yeye pia anayafahamu haya na anaenjoy sana
 
Hivi serikali inazarauliwa na viongozi wengine au maana watu ndani ya serikali wanafanya sabottage ya sgr na jhpp na serikali ipo kimya HATA MWAKA HAUISHA
 
Kweli mkuu ndoa ukimpata mdada alosimama maniner utajuta kuchelewa, binafsi nnajutia sana kuchelewa kuoa maana huyu Muha ananipeya life good sana, she loves me tokea nikiwa kapuku mpaka sahii ninaweza leta kila kitu home, amesoma shule kubwa, big brain, big office na wala hajasau majukum ya ndoa, anawapenda na kuwaheshim wazee wangu na mwisho kanizalia handsome mmoja balaa munoo, Vijana oeni
 
Bado Sana ungekuwa na miaka zaidi ya ishirini ujumbe wako ungesound Kwa sasa bado unatambaa kabisa


Na hujui majukumu yako unashadadia ulioa ili akufurie, akupikie, na NK

We jamaa hujui wajibu wako umemlemea mkeo subiri siku ameanza naniliii
 
Porojo dot com, wanawake wa sasa hawezi kutumia jina lako labda kama hajakwenda shule umeoa Mwantumu.

Wenye akili timamu watakuwa wameelewa nimeandika.

Thread yako ni soga tu la kubuy time.
 
Tunakupa muda tu wala usijali [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…