Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Ikiwa umepanga sio kwako ondoka mwache akae pekee. Kwani anachoheshimu ni pesa sio wewe
 
Nilitaka nisicoment chochote lkn nikaona hapana ili kukusaidia mwanaume mwenzangu. Kaka hapa kwanza ninahitaji kujua mambo kadhaa kutoka kwako;

•Kabla ya kufunga ndoa je mlipata muda wa kuchunguzana kwenye hatua ya uchumba kama ni ndio je ni kwa muda gani?
•Mlifunga ndoa ya dhehebu gani?
•Umri wenu ni kiasi gani ?

Tabia za hawa wakina mama ni kama zinafanana hivi kwa sehemu kubwa,ninayasema haya mimi nikiwa ni muhanga wa unayopitia kwasasa.

Ni kweli kwamba ukiwa unapitia hali hii huwa tunapatwa na mawazo tofauti tofauti wakati mwingine kuna baadhi yetu huchukua maamuzi ya kujitoa uhai kwasababu ya kukwepa fedhea hii, sasa nini cha kufanya iko hivi;

●Muanze kwa kuzungumza wenyewe ndani na usichoke kwakuwa wewe ndio unaiyongoza hiyo serikali yako na ukumbuke wewe ndio mwanaume.(usikubali kuifadhi vitu moyoni vitakuumiza)

●Ikishindikana kwa yeye kuendelea kukuonesha hizo dharau za wazi wazi basi kuna mtu anaitwa (MSHENGA)huyu ni mtu muhimu sana kwenye kuisimamia mahusiano yenu na sio kwa mjumbe au mwenyekiti.

Bado nakazia huyo huyo mshenga kwasababu ya umuhimu wao, kumbuka mambo yenu ya ndani hayatakiwi kutoka nje nukuu pale juu, sio kwa mjumbe wala kwa kwa baba yako au kwao kwanza mpk pale mshenga atakaposema ngoma ngumu hivyo atalazimika kuwaita wazazi wa pande zote mbili na hapo ndio maamuzi ya kibabe yatafanyika.

Nimepitia comenti za wengi wanakushauri ondoka muwachie kila kitu na ukaanze upya Mimi nasema BIG NO🙄 huwo sio uwamuzi wa kiume tena kwa kijana ambae ameoa tena kwa ndoa kabisa,uwamuzi wa namna hiyo hufanywa na hawa vijana wanaokimbilia kuishi na mabinti bila kufata utaratibu hivyo huchukua uwamuzi wa kuacha vilevile kama alivyofanya wakati wa kumchukua kwa kutofata utaratibu.

Naomba nimalizie kwa kusema kwamba mtihani unaopitia kwa hivi sasa sio mtihani mdogo lkn ni namna ya kukufundisha ukomavu kwenye ndoa na ipo mitihani mingi tu na ndio maana huwa tunaambiwa ndoa sio lele mama unapaswa kukaza hawa ndio wanawake tabia zao kwa sehemu kubwa zinafanana wakati mwingine hufanya mambo kwa kushindikizwa tu na marafiki, ndugu au jamaa zao hivyo kwa kuzingatia vikao vya mara kwa mara na mshenga vitawasaidia nyinyi wote kutanua akili zenu na kupata uzoefu kwenye ndoa(Hata mimi mke wangu alianza iyo tabia lkn kikao cha tatu na cha mwisho alikuja kubadilika mazima)hawa wanawake ni kama watoto wadogo sometime unapaswa umstue kwa vikofi miwili vitatu ili ajue upo serious wanafanya vitu kwa kujaribu.
 
Matumiz anayatoa wapi trudie wkt keshakwambia kazi Hana anashinda TU nyumbn?

Amesema pamoja na kusimamishwa kazi ila still matumizi anayatoa yeye mkuu. Kasema anafanya kazi za watu kupitia PC akiwa nyumbani na ndio maana nikamshauri kama matumizi anatoa yeye basi kila mmoja asimame na majukumu yake.

Maana yeye bado anaplay part ya mume kutunza familia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Nilichoona amekufanyia dhihaka hapo ni moja tu, nalo ni la kuzuia kushiriki tendo la ndoa. Mengine yote hajakosea, wewe ndio unamuda mwingi na wakutosha home[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa kwanini kupika na kufua uone nongwa. Unakua unapojiwekea scale ipimie na kwako, kama wewe ndio mkewe angebaki home, siungemwambia afanye hivyohivyo isipokuwa kwaupande wa tendo la ndoa. Acha nongwa mzee, hamfanani majukumu ila kama muda unaomwingi hivyo vitu utavifanya. Kinachonikera hapo ni kunyimwa tendo la ndoa tu.
 
Chief jiandae visa vya makusudi apo anatafuta sababu za kutemana .

Hii same story imenitokea juzi tu KWA wife niliempenda na kumuamini .
Badala uchumi kuyumba alitengeneza mazingira ya niwe nakasirika mda wote (namshukuru mungu sikuwahi kumgusa ata singi )
Atatengeneza mazingira ya uwe unamnyenyekea Ili ukasirike .
Vitimbwi vyote atakuletea mwisho wa siku mume utakuwa na hasira zako na tendo la ndoa utalikinai (Izo ni plan baadaye sana ndio utakuja kugundua zilikuwa za makusudi )
Jiandae na vikao maana ataenda kulalamika humtimizi haja zake tendo na huduma za ndani .

Ukweli nilipigana vitimbwi na dharau mwisho wa siku anajitangazia kwao nimemuacha na mbaya zaidi alishapakaza mbaya kwao akaja home kimya kimya akabeba vitu .

Usiku narudi home nakuta godoro tu niliumia sana sikutaka purukushani kupiga piga simu najua sababu mti wa pesa umekauka yote haya yametokea

Ila yote na yote Jipange Ili usije ukakonda KWA mawazo. Good luck budy
Dah! Pole sana kaka,wanawake wengi mawazo yao ni mafupi sana. Pambana ipo siku familia yao itakuheshimu zaidi.
 
Hakuna mwanamke wa kukaa mahali ambapo hapana uhakika hata ukaoe mzaramo wa Samvula Chole eti dela la shughuli hana kisa anakuvumilia *****.
Na vice versa Mwanamke atakukubali na kukuheshimu hata kama kazi yako ni ya kusafisha maliwato ya stendi ali mradi miamala inasoma.

Ila tukubali Dunia ya leo hakuna mapenzi ni unafiki tu...ukiwa nazo Mwanamke ataigiza hata kwa miaka kumi ya ndoa, ila zikipukutika anarudi kwenye uhalisia.
 
Mkuu pole sana kwa hayo majanga ya ndoa, dalili zinaonyesha anakutafutia sababu ya kuachana hivyo jipe moyo utashinda majarabu wala usiruhusu moyo wako uwe wa kwanza kuamua bali yeye ndio ajitoe n hadi hapo keshakupa picha fulani ktk maisha.

Nashauri tafuta namna ya kupata kipato kwa shughuli nyingine ilimradi usikae nyumbani tu. Ukitoka ndio utakutana na fursa kuliko kubaki nyumbani tu.
 
Na vice versa Mwanamke atakukubali na kukuheshimu hata kama kazi yako ni ya kusafisha maliwato ya stendi ali mradi miamala inasoma.

Ila tukubali Dunia ya leo hakuna mapenzi ni unafiki tu...ukiwa nazo Mwanamke ataigiza hata kwa miaka kumi ya ndoa, ila zikipukutika anarudi kwenye uhalisia.
Huu ni ukweli kabisa.
 
Msiachabe, ondoka nyumbani usiage, na asijue ulipo, badili namba ya simu mpe baba yako tu, na nfo ajue ulipo na mweleze why umeondoka, ukifika fanya kazi kwa bidii oa mke mwingine.
Ni njia nyingine ya kukimbia familia yako. Sio uwanaume bali kukimbia majukumu. Ukifilisika, mwanamke atakuonyesha the highest level of disrespect ila sasa, njoo tuone uvumilivu wako maana hicho ndicho kipimo cha uvumilivu wako.

Ukikimbia, basi tusije wasema wanawake maana mwanaume akiwa na pesa nayehuonyesha the highest amount of disloyalty with no love na tunawaambia tuvumilie. Wewe siunapambana ili ufike uko mbali, chakukufanya ukimbie familia ni nini hasa?

Kikombe hichohicho ukinywe boss, lasivyo tusiwalaumu wanawake maana hutoa sababu hizohizo wanapozikimbia familia zao na tunawabeza balaa.
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Vibao viwili vingempa adabu. Ila wewe ni mdhaifu.
 
Mkuu nakubusu, natafuta mke kama wewe wa kunifulisha nguo. I hope haujaolewa bado!
🤣🤣🤣🤣 baada ya mwezi,ili na ww uwanzishe uzi eeenh?"(nafulishwa nguo na mwanamke wa jamii forum)"
 
Kwanza pole

Mwanamke mpaka amekubali kuishi na wewe Kuna namna fulani tu ameona atafaidika, yani ipo namna anafaidika, iwe fedha, umaarufu, usalama, show Kali yani kivyovyote vile Kuna namna tu ameona atafaidika kwakua na wewe

Mwanaume yeye mwanamke amemwelewa tu iwe sura au tako, inakuwa imeisha hiyo anamuoa huyo mwanamke, hata kama hana kazi, hata kama sio maarufu, hatakama hatonufaikia kivyovyote vile ilimladi tu amempenda watazaa watoto mambo yataenda

Mwanamke roho itamuua sana kutokana na ukweli kwamba wewe mwanaume upo tu nyumbani unakula, unavaa, unakunya yani umekaa alafu yeye ndio anavuja jasho, aisee hiki kitu mwanamke kinamkeleketa sana roho yake sanaaa, na hiyo ndio maana halisi ya kauli maarufu kwamba "Wanawake ni wabinafsi"

Automatically saizi yeye ndio anajiona baba mwenye nyumba kwasabab anavuja jasho mchana kutwa usiku anakukuta wewe na mtoto mpo tu sebuleni mnachekacheka, nan ni mke hapo mkuu?

Kwahiyo ukiteteleka kiuchumi sio kwamba mwanamke kabadilika hapana ila ndio walivyo yaani hawawezi kuvumilia ile hali ya wewe umekaa tu nyumbani alafu yeye avuje jasho, hawawezi.

Sasa kufidia hizo hasira na makasiriko ambayo yamemjaa kifuani na anashindwa kukuchana ndio anakupa kazi za kipumbavu pumbavu ili tu uteseke ndio angalau roho yake ilizike, yani hii ni nature mkuu.

Hapo ni mawili tu mkuu, utafute mishe au mtimue vinginevyo utapiga huyo mpaka uue mtoto wa watu wakufunge jela mwanao abaki yatima, na ukimpiga ataona ni kama umeibishia serikali hivi, si unajua kinachotokeaga ukiibishia serikali??


Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ndugu yangu, wanawake akili zao ni za kijinga sana ndio maana tuliambiwa ishini nao kwa akili.
 
Njia ni moja tu mkuu toka katafute pesa, sasa kama ajira ndo imesimama wewe utakaa apo om mpaka lini?

Maswala mengine jiulize na wewe kuwa nitakaa hapa mpaka lini? Kukaa na mwanamke kila saaa hautoki lazima ugombane, na wakati mwengine huwa sisi wanaume tunaisi tunakosewa kwasababu hatupati ile heshima tunayo stahili,

Hii yote ni kuwa jobless huwa tuna jistukia ivi kitu kidogo tunaona kikubwa, binafsi sikushauri umuwache au kupiga, chukua maneno yake kama changamoto yakujenge, yakupe ujasiri, ukajichanganye urudi na senti kidogo om, wewe unasema huwezi kujichanganya sasa itakuwaje?

Na kama ndo utakuwa apo om kila siku yatakuja makubwa hukuwai kuyaona, nashauri hivi mimi nimepitia unachopitia ilikuwa kama fursa kwangu nilijifunza mengi mno kupitia kile kipindi brother!!

Jifunze namna yakujabiliana na changamoto na sio kil jambo alianyalo ni baya, wakati mwengine wanaongea ivyo ili kutuchangamsha tutoke, tuchukue nafasi yetu kama baba, usimchukie muache akujenge brother!!! Hayo maneno yake ndo yatakujenga ila akicheka cheka utazoea vbaya! Siku moja utakuja kunshukuru uyo mkeo ndo anakupa energy ivyo yakutoka ukapambane mkuu
Positive
 
Back
Top Bottom