Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Usiwe na haraka ya kuondoka nyumbani mkuu, wewe hata kama huna mishe ,amka asubuhi sana nenda kazunguke huko mjini wee tafuta mishe yeyote ya kufanya , ukikosa usirudi nyumbani pitia mida ya vijiweni kashinde kwenye kahawa, bao , draft, hata kama huna ela ya kahawa wewe piga tuu stori na masela japo ziwe za maana unajitengenezea connection, amka mapema sana kama unaenda job, jioni hakikisha yeye karudi ndio na wewe urudi nyumbani, pia usimwambie kama hujapata mishe nyingine kwenye ela ulio save unakua unaweka kidogo mfukoni kwa hesabu kali alafu unarudi nayo home hivyo hivyo, siku moja moja unapitia matunda hata ya buku unarudi na kamfuko mkononi.. jaribu hii ikishindikana safiri nenda kijijini jifanye kuna maswala ya ukoo huko ..huku unasoma hali ya hewa na huku unatafuta mishe za hapa na pale , usichague kazi mkuu

MWANAMKE UKIWA HUNA KAZI ANAKUONA WEWE NI TAKA TAKA TUU, JAPO SISI WAKIWA HAWANA HATA MISHE TUNAWAONA NI MALAIKA, MWANAMKE NI MBINAFSI SANA TAMBUA HILI
Ushauri mzuri sana umempa mkuu.
 
Ktk maisha hamna kipind kigumu mwanamue anapitia Kama kukosa Ela ya kulisha familia.

Na kibaya zaidi MKE ulienae ndani nae akubadilikie,

Aisee Utahs Moyo wako unapitishwa ktk tanuri kali la Moto[emoji26]
Wanawake tunawapenda ila ni wakuwa nao makini sana. Ni vizuri kuoa mwanamke ukiwa huna kitu akukubalie kama ulivyo ili siku ukiwa nacho life still goes on. Ukiwa huna anaelewa
 
nilimuuliza kesho yake tukiwa tumetulia na mimi nmpoa na hasira kuhusu hili swala akajiona yuko sawa still, leo nmeshinda nalo linanitafuna sana moyoni nmeamua kuja kulitema huku
Mkuu ondoka hapo nyumbani katafute kazi.
Utakufa kwa stress.

Mwanamke ukiwa huna hela thamani yako kwake inakuwa haipo. Atakutuma kazi zote za kishenzi.
 
aisee hawa wanawake wakishakuona huna kazi na ndalama haziingi lazima uzione rangi zao halisi [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
hapo cha kufanya mwanawane ni kufukuza tuu maana mwanamke mara mia atombwe huko nje lakini sio kuleta dharau wakati mwanawane u are down. piga chini fasta

Kabisa amutoe wenge kwanza
 
😀😀😀Kuna jamaa alikuwa na mchumba wakati anafanya kazi. Miezi miwili kabla ya ndoa akatumbuliwa, ndoa ilipofungwa haikuchukua six months ikavunjika.
Wanawake wengi matapeli hawawezi kuvumilia mwanaume kama huna pesa and the culprit nikukosa kazi tu.

Yani akishajua mkataba umeisha vinaanza vimbwanga ili muachane tu kabla shida hazijaanza kuwazonga
 
Wanawake wa hiyo sehemu wanaitwa KV, ni kv kweli. Mwambie maagano ya ndoa yanasena "kuwa pamoja wakati wa raha na shida"
 
Polee sana brother, hili nenda nalo kwa busara huyo ni mke mkuu! Usikae om kusimama kazi haimaanishi hakuna kazi zingine!!!

Kama unaakiba kidogo fungua ata biashara jichanganye tafuta pesa, wewe ni baba kukaa apo om sio sawa, haya umuondoshe apo om mtoto atalelewa na nani?

Apo nikutafuta pesa tu mzee inaonekana hukuwa na muda wakukaa na familia nakumjua mwenzio yukoje....... biblia imetutaka tuishi nao kwaakili unajua kwann tuliambiwa tutumie akili kwa wanawake?

Brother toka tafuta mishe yoyote kifuatacho ni kibaya zaidi mkuu, utakuja kukuta siku ana mchepuko kabisa na atakuonyesha wazi wazi, kufukuza sio tatizo” naamini ukitoka atakuelewa au kama hukuwa na akina muazime uzungushe mtaa then utarudisha,

Ndoa na iheshimiwe na alicho kiunganisha mungu?!!! Tunaishi hapo kwenye maandiko, Dont give up brother
Hadi hapo ana mchepuko ila hajamfungulia mlango wa chumbani kwake tu. Mwanamke akianza pigo za vitimbi na kulazimisha kila mtu achukue 50 zake maana ni kwamba anataka awe free na chepuko lake.
 
Habari,
Hapa ndo panahitaji ujasiri. Mke ni wako na wewe ndo mmewe, na maisha ni yenu na familia yako.
Pata muda na mwenzako:

1: Orodhesha mabaya na mazuri ya mkeo kwako na familia yako/watoto.

2: Mke wako aje na mabaya na mazuri yako kwake na kwa familia.

3: Kaeni wawili bila mihemko na kujadili pande zote kwa kusikilizana.

4: Amueni kulinganana kilichowafanya kuwa pamoja tangu mwanzo, je mabaya yenu kati yenu yamezidi mazuri?

5: Je kwenye mabaya na mazuri ni yapi yanaweza kubadilishwa au kuendelezwa na je inawezekana?

6: Kwa yasiyoweza kubadilishwa je yanatosha kuganya maamuzi mengine zaidi ya yale yaliyowaweka pamoja?
Sj mpaka huyo mwenzio atake majadiliano, kwa mwanamke akitaka muachane atakukera 24/7 anaweza kuona hata unanuka vibaya ukikaa karibu yake.

No discussion yani hapo mwana ni kujikaza tu asonge mbele
 
Back
Top Bottom