Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
💯🤝 mwenye kusikia na asikieIla tukubali Dunia ya leo hakuna mapenzi ni unafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
💯🤝 mwenye kusikia na asikieIla tukubali Dunia ya leo hakuna mapenzi ni unafiki
Hahahaha usirudi nyumaShida inakuwa moja wanahangaika wee
Kisha wanarudi wenyewe uwe umefanikiwa au haujafanikiwa huwa wanarudi tu na MAJUTO
Shida inakuwa wanarudi na mtoto mwingine
Kwangu ni ngumu na nlimuambia LIVE bila chenga kabisa
Yaan uniache mwenyewe kwenye NDOA uondoke Ukazini uzarishwe mtoto kisha urudi kwangu
Hilo haliwezekani sahau
Kama PAPUCHI kaileta naichakata vizuri tu
Inabidi mwamba apitie hizi nondo kidogoMi mwnyw nashkuru wife wangu lasaba[emoji4]
Kakwambia kodi ya meza anatoa kama kawaidaKama ni kweli wewe ni moja kati ya wale wanaume wazembe sana..unakaaje ndani ukisubiria kuletewa na mwanamke..mwanaume mwiko kukaa ndani ata kama unaumwa ndo iwe principle..toka nje katafute shughuli ya kufanya ata ukirudi bila pesa kesho toka tena na tena..fanya ata udalali
HUa sielewi watu wanaolazimisha mtu utoke nyumbani kila asubuhi na urudi usiku sababu tu huna kazi, yaani kwa mfano unatoka unaenda wapi sasa wakati kazi zote skilled zinaombwa kwa utaratibu wa barua ama barua pepe ama simu.pamoja na kuwa nashinda ndani ila hela napata, kuna watu nawafanyia kazi kwa pc yangu tu nyumbani
Mwanaume utakiwi kukimbia mji kisa mwanamke ana kusumbuaHapa nikushaur TU,
Kwakua Mkeo uwezo wa kulisha watoto anao,kimya Kimya Hama TU Apo nymbn ukapange zako chumba.
Mambo yakikaa sawa utarud
Ila jua kabisa, uyo mke ulienae sio mwenzako
Uwe unatoka mkuu tafuta chimbo uwe unaenda hata kufanyia kazi zako, kikubwa usishinde nyumbani the whole day.pamoja na kuwa nashinda ndani ila hela napata, kuna watu nawafanyia kazi kwa pc yangu tu nyumbani
Kazi zipo nyingi ajira ndio hakuna. Mwanaume kushinda nyumbani Sio kabisa.Aende wapi saa 12 na Hana kazi
[emoji3][emoji3][emoji3]Kuna jamaa alikuwa na mchumba wakati anafanya kazi. Miezi miwili kabla ya ndoa akatumbuliwa, ndoa ilipofungwa haikuchukua six months ikavunjika.
Umewasilisha mawazo ya wanawake wengiUwe unaamka kuokotaokota,kukaa ndani na huna hela hiyo ni shida
Aiseeee[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]ndoa za show off,pambana mkuu ujinasue ss hatuna cha kukushauri zaid ya ww kukaa na serikali yako ya kichwasijui kama ni ya kitoto ningeisema hapa ema humu kuna watu wengi watanijua na huwa wanaona ndoa yetu ni mfano hata marafiki wa mke wangu huwa wanatusifia sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]bora wewe ata umeweza mwaga tofali sie wengine tunaishia kusafisha kiwanja tuu. hela zikifika million threesome inaondoka nazo [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]