Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

HUa sielewi watu wanaolazimisha mtu utoke nyumbani kila asubuhi na urudi usiku sababu tu huna kazi, yaani kwa mfano unatoka unaenda wapi sasa wakati kazi zote skilled zinaombwa kwa utaratibu wa barua ama barua pepe ama simu.
Watu wanamaanisha abadilishe kijiwe tu. Kipindi flani nilipitiaga hio hali mwenzangu akawa anasisitiza nitoke tu. Kwa kuwa nilikuwa sina pa kwenda nilichokuwa nafanya nachill zangu mpaka muda wa saa 10 kisha nasepa naenda kijiwe kwa wana.

Ubaya wake ni kuwa kama huingizi hata 100 ila alimradi nimetoka tu.
 
Mkuu toka hapo. Tafuta mishe nje ya Mkoa ulipo kimya kimya. Ukibadili mazingira na unakoenda komaa mbaya.

Jitahidi huko ukiwa, fungua account za malengo za watoto weka pesa za kutosha kwa ajili ya watoto ili wasiteleleke kielimu.

Nia yako ikiwa ya dhati Muumba hatokuacha, matendo yako yaongee zaidi kuliko maneno.

Tafuta hela kama kichaaa, weka akiba zako za kueleweka na ikiwezekana anzisha makazi yako kwa ajili ya Watoto.

Be a Man of Steel.
 
HUa sielewi watu wanaolazimisha mtu utoke nyumbani kila asubuhi na urudi usiku sababu tu huna kazi, yaani kwa mfano unatoka unaenda wapi sasa wakati kazi zote skilled zinaombwa kwa utaratibu wa barua ama barua pepe ama simu.

Mwanaume unatakiwa uwe na plan b.. yaani ukisimamishea kazi ndio unashinda ndani kutwa nzima unalala na kuamka kutazama tv?

Kuwa na vijiwe vya kupigia deiwaka hata wekend.. siku ukiachishwa kazi yako unaenda kushinda plan b yako
 
Pole aiseh!
Huyo mwanamke hana mapenzi tena na wewe maana ameshakuona ni mzigo. Jiandae na ratiba za kuchelewa kurudi na kuto kurudi nyumbani kabisa.
 
Watu wanamaanisha abadilishe kijiwe tu. Kipindi flani nilipitiaga hio hali mwenzangu akawa anasisitiza nitoke tu. Kwa kuwa nilikuwa sina pa kwenda nilichokuwa nafanya nachill zangu mpaka muda wa saa 10 kisha nasepa naenda kijiwe kwa wana. Ubaya wake ni kuwa kama huingizi hata 100 ila alimradi nimetoka tu.
Exactly mkuu, umenipa neno sahihi "kubadilisha kijiwe"
 
Kati ya vitu ambavyo naogopa kwenye maisha yangu ni kuoa wanawake wa namna hiyo….Daah! ndo maana kwenye ndoa wanaume tunakufa mapema, maana maswaibu ni mengi.

Mkuu ukifanya masihara utapata ugonjwa wa moyo au magonjwa ya B.P kwa kuwaza sana.

Tusikimbilie kuoa kwa uzuri alionao mwanamke au kwa kipato cha mwanamke, bali tabia na hurka. Pole sana mkuu
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Mwanaume unaweza kuishi na mkeo akiwa hana mishe. Ila mwanamke kuishi na mwanaume hana mchongo ni ngumu. Sema ile kikawaida mwanaume ni nguzo ya familia.

Hata kama unabet lakini kuna mambo lazima uyafanye kama baba hapo nyumbani. Cha msingi ni kupambana hata hiko kidogo unachopata kifike nyumbani. Usawa huu wanaume wengi tu hawana michongo na wake zao ndio wanasimamia shoo.

Ila nasisi wanaume licha ya hizi changamoto tusikae tu, make sure unafanya jambo ili mradi uhudumie familia.
 
Chief jiandae visa vya makusudi apo anatafuta sababu za kutemana .

Hii same story imenitokea juzi tu KWA wife niliempenda na kumuamini .
Badala uchumi kuyumba alitengeneza mazingira ya niwe nakasirika mda wote (namshukuru mungu sikuwahi kumgusa ata singi )
Atatengeneza mazingira ya uwe unamnyenyekea Ili ukasirike .
Vitimbwi vyote atakuletea mwisho wa siku mume utakuwa na hasira zako na tendo la ndoa utalikinai (Izo ni plan baadaye sana ndio utakuja kugundua zilikuwa za makusudi )
Jiandae na vikao maana ataenda kulalamika humtimizi haja zake tendo na huduma za ndani .

Ukweli nilipigana vitimbwi na dharau mwisho wa siku anajitangazia kwao nimemuacha na mbaya zaidi alishapakaza mbaya kwao akaja home kimya kimya akabeba vitu .

Usiku narudi home nakuta godoro tu niliumia sana sikutaka purukushani kupiga piga simu najua sababu mti wa pesa umekauka yote haya yametokea.

Ila yote na yote Jipange Ili usije ukakonda KWA mawazo. Good luck budy
Yani mawazo lazima cha msingi ni kukaza tu, mishe mishe zipo mjini. Ila vitimbi vyake visije mfanya akaleta zile za kuuana, hapa itakua sio poa kabisa. Mwishowe atajutia akiwa nyuma ya nondo na mke ndo hivo wana wanakula tu kirahisi.

Jitahidi kutumia huu mwanya kama changamoto ya kukujenga. Pia ningemshauri mdau asali sana na mungu atamsaidia
 
Mwanaume unatakiwa uwe na plan b.. yaani ukisimamishea kazi ndio unashinda ndani kutwa nzima unalala na kuamka kutazama tv?

Kuwa na vijiwe vya kupigia deiwaka hata wekend.. siku ukiachishwa kazi yako unaenda kushinda plan b yako
Hii ni kwa kila fani? Ama inachagua fani?
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?

Watu kama hao ishi nao kwaakili.
Kuwa mvumilivu, jifanye hamnazo, kisha muongezee mtoto mwingine,
Mengine siwezi yasema hadharani
 
aisee hawa wanawake wakishakuona huna kazi na ndalama haziingi lazima uzione rangi zao halisi [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
hapo cha kufanya mwanawane ni kufukuza tuu maana mwanamke mara mia atombwe huko nje lakini sio kuleta dharau wakati mwanawane u are down. piga chini fasta
Hpn nibora asitombwe Bora hzo zarau kuliko kugegedewa huku unajuwa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom