Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Tangu nipatwe na Matatizo kazini, mke wangu amebadilika tabia

Me sina msaada wowote ila kwa ambao bado hamjaoa usiruhusu mwanamke wako akuzidi kipato kamwe, narudia tena true love is a scam, don't fall for that maisha yako yote
 
Ulikosea tangu mwanzo. Ilibidi huyo mwanamke umwachishe kazi kipindi umemuoa tu. Abaki nyumbani ili hata na wewe ulivopata matatizo ya kikazi mnakua sawa wote majobless mnalala na njaa safi kabisa na anakua anakuheshimu. Au The unpaid Seller unasemaje.

Wanaume wenzio humu jf hawataki utani wanawake hakuna kufanya kazi washinde tu nyumbani. Hata mambo yao yakiyumba wanakaa wanaangaliana tu
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Kwani nawewe ni wa marangu?
 
Nenda dawati la Jinsia hio ni domestic violence too bad this case n mubaba 😁😁
 
Unawaza wakati mwanamke ana kazi sisi wajuba tunatelekeza watoto wakati mama zao hawana kazi
 
Mambo ya kawaida hayo😁😁😁😁

Hata ninyi mnaoona ndoa zenu zipo poa zinaenda vizuri ni kwasababu tu mkono unaenda kinywani hapo nyumbani.

Ila mambo yakienda ndivyo sivyo asilimia 68 mtaonja joto la jua😂

Tofauti ni window period ya uvumilivu wengine mapicha picha yataanza mapema wengine itafika miaka 2 ndio ianze wengine hata 5yrs😁
 
Tunasemaga humu wanaume kuoa mtumishi sio kupunguza ukali wa maishaaa.

Haya pambana na jengele lako. Amkaaa katafute hata vibarua uhudumie familia yako vinginevyo fua chupi maana mshabadilishana majukumu hapo mume kawa mlea familia mke kawa mtafutaji kwa jasho.
 
Wale waliosema wanaoa ili wake zao wawasaidie kipindi mambo ni magumu(kiuchumi na kiafya) njooni hapa mtuambie imekuaje kwenye hii kesi ya jamaa.

Nawashangaaga sana wanaume wa hivyo. Uoga wa majukumu unafanya wanaume wasiwe na sauti ya kiume sikuhizi wamebaki kama makondoo.

Binafsi nasema kabisa asije mtu kunioa akategemea nimsaidie maisha, aje afanye majukumu yake kama mume nitamzalia na watoto nitalea.

Pesa zangu ni zangu.
Ova.
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Unaambiwa siku Eva alipoleta chakula mezani [ Eva alipoleta tunda Adam ale] ndipo bustani ya Eden ilipofia hapo. Huyo hakua mke anayekupenda alipenda kazi,aliolew na kazi yako siyo wewe
 
Ulikosea tangu mwanzo. Ilibidi huyo mwanamke umwachishe kazi kipindi umemuoa tu. Abaki nyumbani ili hata na wewe ulivopata matatizo ya kikazi mnakua sawa wote majobless mnalala na njaa safi kabisa na anakua anakuheshimu. Au The unpaid Seller unasemaje. Wanaume wenzio humu jf hawataki utani wanawake hakuna kufanya kazi washinde tu nyumbani. Hata mambo yao yakiyumba wanakaa wanaangaliana tu
Amwachishe kazi tena????? Ooooh god yaani mfano Leo aje mtu anichishe kazi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hell no apite kushoto kwakweli.
 
Nawashangaaga sana wanaume wa hivyo.
Uoga wa majukumu unafanya wanaume wasiwe na sauti ya kiume sikuhizi wamebaki kama makondoo.
Binafsi nasema kabisa asije mtu kunioa akategemea nimsaidie maisha, aje afanye majukumu yake kama mume nitamzalia na watoto nitalea.
Pesa zangu ni zangu.
Ova.
 
Nawashangaaga sana wanaume wa hivyo.
Uoga wa majukumu unafanya wanaume wasiwe na sauti ya kiume sikuhizi wamebaki kama makondoo.
Binafsi nasema kabisa asije mtu kunioa akategemea nimsaidie maisha, aje afanye majukumu yake kama mume nitamzalia na watoto nitalea.
Pesa zangu ni zangu.
Ova.
Sikiliza utapigwa mimba za kutosha then unaachwa kama kawa ukiwa mpuuzi
 
Habari za jioni wanajukwaa wa MMU, ikiwa mmetoka katika mihangaiko akili na mwili vimechoka nawaletea jambo jingine hili tupate kulijadili.

Mimi na mke wangu ni waajiliwa yeye ni mtumishi wa umma na mimi ni mtumishi wa sekta binafsi, ndoa yetu ina miaka mitatu sasa na tuna mtoto mmoja (asante sana MUNGU kwa hili).

Shida iliyonileta kwenu ni kuwa hapa karibuni nimepata matatizo ya kikazi sasa imenibidi niwe nashinda nyumbani kwa sababu mimi siyo mtu wa kukaa nje sana nahisi ndipo matatizo yalipoanzia. Tangu nipatwe na hii hali mke wangu amebadilika tabia sijui kama ni makusudi au lah.

Niwe muwazi kuwa mke wangu amenizidi mshahara lakini pamoja na hayo sijawahi kuona tabia hizi kwake hadi hapo nilipopatwa na hizo shida kazini.

Tabia zipo nyingi ila naleta tatu zilizonishitua;

~ Kwanza amekuwa hataki kushiriki nami tendo.

~ Pili sababu huwa nashinda na mtoto huwa napika kwa ajili yangu na mtoto ambapo ye akirudi anapika kwa ajili ya wote kwani anasema sijui kupika. Sasa hapo juzi kati alinambia itabidi nijifunze kupika kama nataka kuendelea kuwa naye.

~ Tatu ni kuwa tuna machine ya kufulia sasa imeharibika, nikamuomba kuwa nikipata hela tutafanya matengenezo akanijibu kama ni hivyo basi niwee namfulia nguo zikiwemo chupi zake daah.

Mimi nimefikiria uamuzi wa kuachana naye licha ya kuwa na mtoto naye, kwani sina mpango wa kumpiga na hiyo juzi ilibaki kidogo nipige arudi kwao Vunjo Mashariki na ulemavu wa uso alivyosema niwe namfulia.

Nauliza tu wanawake wa humu haya anayofanya mwenzenu ni halali kweli?
Wala usichoshe watu mkuu, hapo huna mke umeona takataka! Dunia hii imejaa wanawake wapumbavu sana!
 
Back
Top Bottom