Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mm nmemaanisha matuta ya barabara kusawazishwa na magari yanayopita 😎😂 Spika kuvumishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm nmemaanisha matuta ya barabara kusawazishwa na magari yanayopita 😎😂 Spika kuvumishwa.
Watakwambia hayajakukuta...Mkuu hongera kwa kuyashinda majaribu/changamoto
Napenda kusikia na kuwaona watu aina yako, kwenda kwa waganga ni matumizi mabaya ya akili na muda.
Hiyo miwani vipi ?Mm nmemaanisha matuta ya barabara kusawazishwa na magari yanayopita 😎
So pain. Takuja nianzishe Uzi wa hili jaribu
Team ni kitu muhimu sana kama unaona aibu kumwambia rafiki yako shida zako jua huyo sio rafiki yako. Tafuta mtu ambaye unaweza kumfungukia kila kitu kwa asilimia mia moja mkaelewana. Usijionee aibu na usiogope tabia zako. Kama unapenda mademu tafuta marafiki wanaopenda mademu, kama unalewa mpaka unazima tafuta mtu kama huyo. Hawa ndio watakufanya ujielewe na ukikaa nao ndio utajijua unakosea wapi na muda wa kubadilika ukifika utaanza kuona wanazingua. Ukisjhafika level hii ndio unaenda kutafuta marafiki unaotaka uwe kama wao.Hello
Hapo zamani
Njaa nimewahi kulala zaidi ya mara moja.
Nimewahi kukosa mahali pa kulala.
Nimewahi kulala porini peke yangu.
Nimewahi kushikwa mjini kwa kosa la uzurulaji.
Nimewahi kukataliwa na mtu niliyemwamini kutia Saini fomu yangu ya kujiunga kidato cha 5.
N.k.
N.k
Baada ya miaka takribani 10 ya amani nimejikuta nimetumbukia kwenye jaribu moja konki for me. Yawezekana kwako wewe msomaji ni cha mtoto.
Ila safari hii, hii miezi 2 nimepitia magumu yaliyoniumiza zaidi ya hayo niliyoyataja juu. I hope sasa na hili limepita, kama moto tuseme majibu yenye joto ndo yamebaki.
Taleta Uzi soon pindi tu likiisha kwa 100%.
Sikwenda kwa mganga wala kwa manabii matapeli wanaofanya biashara kwa mgongo wa jina la Yesu.
Sasa sidhani kama kuna jaribu kubwa zaidi ya haya niliyopitia.
Am matured.
Mungu , utukufu na heshima ni vyako.
ujakutana na waganga kijanaMkuu hongera kwa kuyashinda majaribu/changamoto
Napenda kusikia na kuwaona watu aina yako, kwenda kwa waganga ni matumizi mabaya ya akili na muda.
Nyota yako ni ipi nikushauri sio kwa pesa wengi wenu fahamu Nyota zenu zipi. Labda Nyota yako ya pundaHello
Hapo zamani
Njaa nimewahi kulala zaidi ya mara moja.
Nimewahi kukosa mahali pa kulala.
Nimewahi kulala porini peke yangu.
Nimewahi kushikwa mjini kwa kosa la uzurulaji.
Nimewahi kukataliwa na mtu niliyemwamini kutia Saini fomu yangu ya kujiunga kidato cha 5.
N.k.
N.k
Baada ya miaka takribani 10 ya amani nimejikuta nimetumbukia kwenye jaribu moja konki for me. Yawezekana kwako wewe msomaji ni cha mtoto.
Ila safari hii, hii miezi 2 nimepitia magumu yaliyoniumiza zaidi ya hayo niliyoyataja juu. I hope sasa na hili limepita, kama moto tuseme majibu yenye joto ndo yamebaki.
Taleta Uzi soon pindi tu likiisha kwa 100%.
Sikwenda kwa mganga wala kwa manabii matapeli wanaofanya biashara kwa mgongo wa jina la Yesu.
Sasa sidhani kama kuna jaribu kubwa zaidi ya haya niliyopitia.
Am matured.
Mungu , utukufu na heshima ni vyako.
Kauzu + seriousHiyo miwani vipi ?
Kauzu au Bandidu ?