Tangu nizaliwe nimepitia changamoto ngumu ngumu ila hii ya sasa too much. Sasa naweza kusema hakuna jambo la kunipeleka kwa waganga au manabii fake

Tangu nizaliwe nimepitia changamoto ngumu ngumu ila hii ya sasa too much. Sasa naweza kusema hakuna jambo la kunipeleka kwa waganga au manabii fake

Hello
Hapo zamani
Njaa nimewahi kulala zaidi ya mara moja.
Nimewahi kukosa mahali pa kulala.
Nimewahi kulala porini peke yangu.
Nimewahi kushikwa mjini kwa kosa la uzurulaji.
Nimewahi kukataliwa na mtu niliyemwamini kutia Saini fomu yangu ya kujiunga kidato cha 5.
N.k.
N.k
Baada ya miaka takribani 10 ya amani nimejikuta nimetumbukia kwenye jaribu moja konki for me. Yawezekana kwako wewe msomaji ni cha mtoto.
Ila safari hii, hii miezi 2 nimepitia magumu yaliyoniumiza zaidi ya hayo niliyoyataja juu. I hope sasa na hili limepita, kama moto tuseme majibu yenye joto ndo yamebaki.
Taleta Uzi soon pindi tu likiisha kwa 100%.
Sikwenda kwa mganga wala kwa manabii matapeli wanaofanya biashara kwa mgongo wa jina la Yesu.
Sasa sidhani kama kuna jaribu kubwa zaidi ya haya niliyopitia.
Am matured.
Mungu , utukufu na heshima ni vyako.
Team ni kitu muhimu sana kama unaona aibu kumwambia rafiki yako shida zako jua huyo sio rafiki yako. Tafuta mtu ambaye unaweza kumfungukia kila kitu kwa asilimia mia moja mkaelewana. Usijionee aibu na usiogope tabia zako. Kama unapenda mademu tafuta marafiki wanaopenda mademu, kama unalewa mpaka unazima tafuta mtu kama huyo. Hawa ndio watakufanya ujielewe na ukikaa nao ndio utajijua unakosea wapi na muda wa kubadilika ukifika utaanza kuona wanazingua. Ukisjhafika level hii ndio unaenda kutafuta marafiki unaotaka uwe kama wao.
 
Hello
Hapo zamani
Njaa nimewahi kulala zaidi ya mara moja.
Nimewahi kukosa mahali pa kulala.
Nimewahi kulala porini peke yangu.
Nimewahi kushikwa mjini kwa kosa la uzurulaji.
Nimewahi kukataliwa na mtu niliyemwamini kutia Saini fomu yangu ya kujiunga kidato cha 5.
N.k.
N.k
Baada ya miaka takribani 10 ya amani nimejikuta nimetumbukia kwenye jaribu moja konki for me. Yawezekana kwako wewe msomaji ni cha mtoto.
Ila safari hii, hii miezi 2 nimepitia magumu yaliyoniumiza zaidi ya hayo niliyoyataja juu. I hope sasa na hili limepita, kama moto tuseme majibu yenye joto ndo yamebaki.
Taleta Uzi soon pindi tu likiisha kwa 100%.
Sikwenda kwa mganga wala kwa manabii matapeli wanaofanya biashara kwa mgongo wa jina la Yesu.
Sasa sidhani kama kuna jaribu kubwa zaidi ya haya niliyopitia.
Am matured.
Mungu , utukufu na heshima ni vyako.
Nyota yako ni ipi nikushauri sio kwa pesa wengi wenu fahamu Nyota zenu zipi. Labda Nyota yako ya punda
 
Back
Top Bottom